Mtumishi upo masomoni, uliomba ruhusa na mwajiri hakupitisha.

Barua hata ikisainiwa na ofisa elimu kama mkurugenzi haja ipitisha ni kazi bure kwa sababu mkurugenzi mdio mwajiri wako na ndio bosi wako namba moja. Hivyo kama ulienda ni dhahiri ulikiuka taratibu
Pili kitendo cha kuto pata mshahara na salary slip zikawa zinakuja pia nalo ni tatizo sababu inaonesha hazina inatuma pesa na bado inatambua kuwa wewe ni mtumish wa umma ,kwenye pesa hapo kuna usanii, kuna mtu ana access acount yako kinyume cha sheria.
Kuhusu kuto pewa barua ya kusimamishwa nalo ni kosa sababu pasipo barua halali wewe bado ni mtumishi na kwa kigezo hicho cha mshahara wako kuendelea kutoka ni dhahiri hawana pa kujificha.

Mshahara haufanyi mtu kuwa mtumishi halali, hapo linakuwa ni kosa la hao watu wa utumishi au fedha kutopeleka taarifa hazina ili mshahara huo usitishwe.. Na hiyo ndio inayoitwa mishahara kwa watumishi hewa, ni sawa na mtumishi anaelipwa nusu mshahara sababu ya kuwa na kesi ya kitumishi labda, mshahara wake huwa unakuja wote kutoka hazina lakini mwajiri anampa nusu wakati akisubiri maamuzi ya kesi yake, akishinda mtumishi basi atalipwa nusu zake zote na akishindwa zile nuzu zote zitatakiwa kurudishwa hazina..kwa hiyo ishu ya mshahara hapa ndo yale mambo ya utumishi hewa haimfanyi mlalamikaji kuwa mtumishi halali automatically..
 
Soma sheria ya ajira na mahusiano kazini,pia kama ulistahili kwenda shule na mkuu DED akafanya hila kukufukuzisha kazi basi huo ni ubaguzi eneo la kazi pia huwa kuna taratibu za kufukuzwa kazi hasa kupewa taarifa ya kusudio la kufukuzwa kazi na sababu ili ujitete hapo ungeweza kutoa hoja zako na zikapimwa,waone viongizi wa chama cha wafanyakazi kama umejiunga,wewe bado ni mtumishi ndiyo maana unapata salary slip ambayo ni ushahidi mmoja wapo,uko wapi tukusaidie?
 
kwakuwa salary slips bado zinakuja maana yake ni kwamba mshahara haujasimamishwa na kwamba wewe bado ni mtumishi halali. dai mishahara yako yote ! kama mkurugenzi ni mzembe shauri yake.
Kama saslary silp inatoka kila mwezi ni kwamba wewe bado mtumishi halali unayetambuliwa na hazina. Mshahara wako umewekwa pending na mkurugenzi wako. Fuatilia, ukimbana atakupa mishahara yako yote.
Huwa iko hivi, inapotokea mtumishi haonekani kazini mkurugenzi anatakiwa kuwasiliana na hazina mara moja ndani ya wiki 1-2 kuitaarifu hazina kusitisha mshahara akiambatanisha na sababu ya kufanya hivyo hazina na kwenye mamalaka zingine zilizopo juu yake.
 
kwakuwa salary slips bado zinakuja maana yake ni kwamba mshahara haujasimamishwa na kwamba wewe bado ni mtumishi halali. dai mishahara yako yote ! kama mkurugenzi ni mzembe shauri yake.
Kama saslary silp inatoka kila mwezi ni kwamba wewe bado mtumishi halali unayetambuliwa na hazina. Mshahara wako umewekwa pending na mkurugenzi wako. Fuatilia, ukimbana atakupa mishahara yako yote.
Huwa iko hivi, inapotokea mtumishi haonekani kazini mkurugenzi anatakiwa kuwasiliana na hazina mara moja ndani ya wiki 1-2 kuitaarifu hazina kusitisha mshahara akiambatanisha na sababu ya kufanya hivyo hazina na kwenye mamalaka zingine zilizopo juu yake.
 
Kama saslary silp inatoka kila mwezi ni kwamba wewe bado mtumishi halali unayetambuliwa na hazina. Mshahara wako umewekwa pending na mkurugenzi wako. Fuatilia, ukimbana atakupa mishahara yako yote.
Huwa iko hivi, inapotokea mtumishi haonekani kazini mkurugenzi anatakiwa kuwasiliana na hazina mara moja ndani ya wiki 1-2 kuitaarifu hazina kusitisha mshahara akiambatanisha na sababu ya kufanya hivyo hazina na kwenye mamalaka zingine zilizopo juu yake.
Huu Uzi bado upo?
 
Back
Top Bottom