Mtumishi mpya wa Serikali anapewa wiki ngapi kabla ya kuripoti kazini?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,074
42,850
Ninavyojua Mimi Ni kwamba majina yanatakiwa yatoke kabla ya week sita au nane ili muajiriwa akajiandae kabla hajareport kituo chake Cha kazi.

Sasa kama inavyosemekana kuwa ajira mikataba mipya itaanza Mosi Julai na leo zimebaki week tano tu kufikia tarehe moja mwezi wa saba ili mwaka mpya wa fedha uanze.

Hivi kweli kuna dalili za ajira wakuu au tuendelee kuumiza matumbo kwa kusubiri mpaka September au December kabisa.
 
Yaani kumaliza Application tu hapo hata deadline haijaisha tayari umeshajenga matumaini, kwamba ushapata kazi?
 
Huko uliko unaamini umeshapata tayari baada ya kuomba?
Ok. Labda nikudokeze kidogo niliomba nafasi za kujitolea chini ya ruwasa tokea March na ilikuwa za kuchagua mikoa mitatu kwa miezi sita na waziri aweso kila Mara anakumbusha kwamba miradi tupewe tuijenge hela zipo ila mpk Sasa kimya hawajatupigia simu ndo maana nikajisemea labda mpk tarehe moja July Sasa ndo nauliza je kwa mtumishi kikawaida anatakiwa apewe week ngapi kabla
 
Week 2.

Yaani ukiitwa kazini, unaenda kuriport hafu unaomba likizo ya week 2.

RUWASA intern wameshaanza kuita, wanaitwa kwa direct communication sio kwa kutoa majina. Ila wameanza ile mikoa ambayo kuna miradi ya Maji inaendelea.
 
Hili life bro ila POA nicheke furahia Sana ila omba yasikukute.btw soon as possible tutakula shavu naamini Magufuli alishatengeneza mifumo ya kazi nyingi kuwepo
Magufuli katengeneza ajira kedekede na alikuwa anaajiri sana ila nashangaa wewe mpaka leo hukupata ajira enzi zake😅😅
 
Week 2.

Yaani ukiitwa kazini, unaenda kuriport hafu unaomba likizo ya week 2.

RUWASA intern wameshaanza kuita, wanaitwa kwa direct communication sio kwa kutoa majina. Ila wameanza ile mikoa ambayo kuna miradi ya Maji inaendelea.
Shukrani Sana mkuu kwa hiyo nihakikishe kuanzia week ijayo a kuendelea simu ipatikane 24 hours...

Ila pia kwa zile nafasi za veta niliombaga plumbing ili niongeze ujuzi kdg jana kanipigia simu Akauliza tu ninafanya shughuli gani kwa Sasa nikamjibu biashara ndogo ndogo za kutembeza akaniuliza je huko mtaani una vijana wenzako ambao Ni mafundi nikamjibu ndio akasema je Kama wakija Huku mtaani nitaweza kuwaoshesha hao mafundi

Hakunambia kingine akakata Sasa sijui ndo maswali yenyewe ya usaili wameamua kwa njia hiyo
 
Shukrani Sana mkuu kwa hiyo nihakikishe kuanzia week ijayo a kuendelea simu ipatikane 24 hours...

Ila pia kwa zile nafasi za veta niliombaga plumbing ili niongeze ujuzi kdg jana kanipigia simu Akauliza tu ninafanya shughuli gani kwa Sasa nikamjibu biashara ndogo ndogo za kutembeza akaniuliza je huko mtaani una vijana wenzako ambao Ni mafundi nikamjibu ndio akasema je Kama wakija Huku mtaani nitaweza kuwaoshesha hao mafundi

Hakunambia kingine akakata Sasa sijui ndo maswali yenyewe ya usaili wameamua kwa njia hiyo
Alitumia namba ya mkononi au ya landline?

Maana kwa zile nafasi lazima kuna watu watapigwa sana hela wataambiwa watume hela.

Kuhusu kuwaonesha, si unatafuta vijana kadhaa tu mbona wamejazana.
 
Magufuli katengeneza ajira kedekede na alikuwa anaajiri sana ila nashangaa wewe mpaka leo hukupata ajira enzi zake
Embu kaa kwa password kaa kwa kutulia watu tulishaharibikiwa maisha kitaa af na wewe unakuja kunichanganya hapa..wewe hapo ulipo una nafasi gani Una kazi gani
 
Alitumia namba ya mkononi au ya landline?

Maana kwa zile nafasi lazima kuna watu watapigwa sana hela wataambiwa watume hela.

Kuhusu kuwaonesha, si unatafuta vijana kadhaa tu mbona wamejazana.
Alitumia ya mkononi ya Voda kabisa.sidhani Kama wanaweza kuwafuatilia watu wote hao Zaidi ya 2000 tuliomba kwenye mkoa wangu Labda Kama wanatupigia ambao tume qualify pekee
 
Week 2.

Yaani ukiitwa kazini, unaenda kuriport hafu unaomba likizo ya week 2.

RUWASA intern wameshaanza kuita, wanaitwa kwa direct communication sio kwa kutoa majina. Ila wameanza ile mikoa ambayo kuna miradi ya Maji inaendelea.
Hivi hiyo likizo inaombwa kwa mwajiri au mkuu wako wa kituo cha kazi.!?
 
Mshkaji wangu ushatoboa? Hongera nigga
Bado jombaa ndo tunasikilizia hapa tunajipigia pigia promo huenda wahusika wakasoma hi thread wakajiongeza wajue kbs watu tumechafukwa kitaa sio poa
 
Ok. Labda nikudokeze kidogo niliomba nafasi za kujitolea chini ya ruwasa tokea March na ilikuwa za kuchagua mikoa mitatu kwa miezi sita na waziri aweso kila Mara anakumbusha kwamba miradi tupewe tuijenge hela zipo ila mpk Sasa kimya hawajatupigia simu ndo maana nikajisemea labda mpk tarehe moja July Sasa ndo nauliza je kwa mtumishi kikawaida anatakiwa apewe week ngapi kabla
Sasa wewe unaenda kujitolea au kuajiriwa? Umesema tena ni miezi 6 tu sasa haya ya utumishi yanaingia vipi hapo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom