Vikwazo vimekuwa vingi mno
1. Walianza kusema ukienda kusoma lazima akasome fani yako. Kama wewe ni mhasibu lazima ukasomee mambo hayo sio udaktari
2. Kama hiyo haitoshi wakaja na kigezo cha kujilipia ada ili mwajiri asilipe kama unataka ruhusa. Wakati huo kila mwajiri anatenga bajeti ya kuendeleza watumishi wake.
3. Hiyo haikutosha wakaja na kigezo cha daraja. Ukienda masomoni hutapanda daraja hadi urudi na kutumikia elimu yako kwa miaka 3.
Katiba imetoa Uhuru kwa mtu yeyote kujiendeleza kwa fani yeyote atakayopendezwa nayo.
Serikali inachukulia watumishi kujiendeleza ni anasa. Mama Samia ingia na huku ili hivi vigezo visivyo na msingi viondolewe.
1. Walianza kusema ukienda kusoma lazima akasome fani yako. Kama wewe ni mhasibu lazima ukasomee mambo hayo sio udaktari
2. Kama hiyo haitoshi wakaja na kigezo cha kujilipia ada ili mwajiri asilipe kama unataka ruhusa. Wakati huo kila mwajiri anatenga bajeti ya kuendeleza watumishi wake.
3. Hiyo haikutosha wakaja na kigezo cha daraja. Ukienda masomoni hutapanda daraja hadi urudi na kutumikia elimu yako kwa miaka 3.
Katiba imetoa Uhuru kwa mtu yeyote kujiendeleza kwa fani yeyote atakayopendezwa nayo.
Serikali inachukulia watumishi kujiendeleza ni anasa. Mama Samia ingia na huku ili hivi vigezo visivyo na msingi viondolewe.