JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,458
Mwamposa amezungumza hayo na kuwaomba waandishi wa habari kuwa waandike habari za Kizalendo zaidi na sio za kulichafua taifa lao.
“Biblia inasema wakati wapo Adam na Eva alitokea nyoka, hata katika maisha yetu ya kawaida nyoka wapo.
“Nyie waandishi wa habari ni watu wazuri sana lakini ni watu wabaya sana, Waandishi ni watu muhimu sana pia ni wabaya sana, katika bustani ya edeni Shetani alikuwa mwandishi wa habari lakini ni mbaya
“Mambo yote mazuri au mabaya Duniani huwa yanaanzishwa na mtu mmoja kisha yanasambaa,” - Mwamposa.
Chanzo: Bongo 5