Mtumishi benki ya EXIM kamatwa na mamilioni ya wizi gesti

Mtu unaiba milioni 140 dodoma unaenda gesti Singida
Watu wana IQ ndogo kweli, hapo ungeenda kujichimbia vijiji ambavyo bodaboda hazifiki , ukae huko angalau miaka 2 hadi soo lipoe kwanza, kisha unabadili jina na vitambulisho vyako unahamia mkoa wa mbali kabisa unaanzisha biashara

Kwa teknolojia ilivyokuwa siku hizi ukiiba inatakiwa umejipanga kukabiliana na system za polisi ama humalizi round
 
Hapo majuzi alikamatwa mfanyakazi CRDB, Leo EXIM, hawa vijana si wafanye kazi, tamaa za nini.

Naisi wanapofunga hesabu ya siku fedha zilizopo wanazimezea mate na kuzitamani
Wanatamani kusukuma matako ya nyani wangali vijana
 
Halafu walivyo wapumbavu wakiiba wanaishia kupiga misele ya ovyo Dar Mbeya Mwanza Arusha!

Wanaiba wakiwa hawana malengo pambaff kbsa hawa
Hawana plann kabisa yaan unaiba huku unatumia lain ya simu ya tz dadek lazima udakwe tu
 
Duh kaiba pesa afu kaenda kujificha gest jamaa chizi kweli unaiba pesa dodoma afu unaenda kujificha bahi

Duh kweli akili kumkichwa kanikumbusha kuna jamaa alimpa mwanafunzi mimba huko kahama afu jamaa akaenda kujificha kagongwa
Wakamnyakaaa...!!Akapigwa miaka 30
 
wizi makini lazima uwe na exit plan kabla haujafanyika..

hawajasoma story ya boston bank robbery iliyoletwa humu jamvini...

unakuta mtu kama huyu ameiba hela halafu kaenda kujificha gesti huku ana simu yake ya mkononi au laini.. hajui simu zinasoma gps.. na pia hela zote kazibeba za nini kusafiri nazo?

hizo zinachimbiwa sehemu kisha anasepa na kiasi kidogo cha kumfikisha pa kujifichia.

magaidi wanakwambia sehemu safe ya mhalifu mkubwa kujificha ni karibu na makao makuu ya polisi, usalama wa taifa au makao makuu ya jeshi.. hata osama aliishi miaka zaidi ya 10 karibu na kambi kuu ya jeshi pakistan...
Uko sahihi kabisa Hawa vijana hawajui kabisa wanaiba wanakaa na mihelaa yote wakati watu wanakaa hata miaka 2 hawagusi hata Mia na wako mjini tu
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Uzembe wake umemkamatisha. Hela kama hizo unatakiwa usiwasiliane na ndugu zako kamwe....

Ila alama za vidole zitasababisha wezi wakamatwe sana maana hata ukitupa laini bado itasoma fulani yupo hewani
Unatakiwa kuishi bila network access ya Aina yeyote ile na unatakiwa baada ya kuiba tu uwe na plan kabisa ya kutoka na Kama hauna nawashauri msiibe bora uwe masikini

Na Kama unaiba Basi unajua point zote za kutokea

" Katika panya Mia panya muerevu Yuko mmoja tu ambae anajua matundu meng ya kutokea" huu msemo Ni rahis na mgumu kuuelewa ila kwa wapigaji washaelewa
 
Ni amart usipikamatwa....
kuna njia nyingi sana za kutafuta hapa chini ya jua...
Binafsi siamini katika huo mfumo wa wizi
Wiz Ni win and loose situation tu ukicheza vizuri umewini tatizo plan zetu za wizi tunapanga wiki ndio tuibe panga plan miez na miaka ukipiga wanajua hapa tumepigwa kitaaluma kabisa
 
Hapo majuzi alikamatwa mfanyakazi CRDB, Leo EXIM, hawa vijana si wafanye kazi, tamaa za nini.
Naisi wanapofunga hesabu ya siku fedha zilizopo wanazimezea mate na kuzitamani
Janga Kubwa Sana Vijana Sijui Tunakwama Wapi Hadi Tunakuwa Na Akili Kama Nyani
Yaani Ukiingia Kwenye Shamba La Mahindi Unakula Heka Nzima Leo Leo Bila Kufikiria Kesho

Watu Wanatunza Akiba Yeye Anajibebea Anakimbia
 
Ah ah wanasema asilimia 80 ya wezi wa mabank hukamatwa kipindi cha matumizi
.....you got be able to lay low until heat is down or else you are going to leave a papertrail
 
Wanataka shortcut
Akili mawazo yao ni kununua tako la nyani na kutesa na mabebeiz
Alafu Mtaani utawaskia watu wanasema jamaa ni very smart kichwani

Ova

Mafanikio hayana shortcut na ukitaka shortcut utaambuka mapema sana
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom