Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,983
Sheria za utumishi wa umma kwa ufahamu wangu haziruhushu mtumishi wa umma kuingia kazini/ofisini akiwa amevaa sare za chama fulani cha siasa au kuwa na chochote chenye muelekeo huo.
Sasa watu wanaofanya kikao cha chama Ikulu tena muda wa kazi,wana tofauti gani na mtumishi atakaeamua kuingia kazini na sare za chama fulani cha siasa?
Mliposema watu wafanye kazi mpaka mkazuia mikutano ya kisiasa huku nyinyi mkifanya vikao vya chama Ikulu tena muda wa kazi tuwaeleweje?
Sasa watu wanaofanya kikao cha chama Ikulu tena muda wa kazi,wana tofauti gani na mtumishi atakaeamua kuingia kazini na sare za chama fulani cha siasa?
Mliposema watu wafanye kazi mpaka mkazuia mikutano ya kisiasa huku nyinyi mkifanya vikao vya chama Ikulu tena muda wa kazi tuwaeleweje?