Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Alimbusu kwani alimwabudu ??Amembusu mtu sawa wapi Yesu kabusu jiwe
Alimbusu kwani alimwabudu ??Amembusu mtu sawa wapi Yesu kabusu jiwe
Wanamfanya yesu kama mbuzi ahahahaahahahahaJIBU NI HILI
Kama bado unaamini kuwa alikufa msalabani, basi alikuwa ni mtume wa uwongo na amelaaniwa na Mungu kwa mujibu wa vifungu hivi:
Kumbukumbu 13:5 “Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe...”
Kumbukumbu 21:22-23: “Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti; mzoga wake
usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi wako.”
Kuamini kifo hicho cha msalabani ni kuabisha unabii wake.
Wayahudi wanadai kuwa wao wamemuua Yesu msalabani ili kuonyesha kuwa Yesu ni nabii wa uwongo.
Wakristo wanaamini kuuliwa msalabani, ni lazima kwa ajili ya imani yao ya kuokolewa dhambi na, matokeo yake,
wanalazimika waamini kulaaniwa kwa Yesu, vilevile.
Imani hii ya Kikristo inapingana na mafundisho ya Biblia katika Hosea 6:6 “Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.”
Pia inapingana na mafundisho ya Yesu mwenyewe katika Matayo 9:13 “Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya,
Nataka rehema, wala si sadaka...”
Yesu amesema tena katika Matayo 12:7 “Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia
Ahahaahahaahhahahahhahahhaa amekosa pakutokea ata kubusu anaona ajabuAlimbusu kwani alimwabudu ??
Ahahahahahahhaajajaajaj unaanza kutoa mapepo, wakristo awaelewi na watapata tabu sana asa kitendo cha kumfanya mtu kuwa Mungu kitawatafuna sanaHuna MAMLAKA WALA SIFA YA kuwasema WAKRISTO tatizo la kutojua kusoma bado limekunda na utakufa nalo kama aliyo kufa baba kassim
Pepo ya kuimba imba anaitaka nani? yaani mimi nijitese ujira uwe kuimba , kauli yangu ipo pale pale Mungu awezi kufanywa Toy na viumbe wake, huo ni upungufu wa akiliwewe mwenyewe umeandika HATUELEWI sasa ukiambiwa sababu ya KUTOELEWA WA KUKUELEWESHA KAFAÀ KAFA... usiwe mbishi kama ust omary aliesema kwamba wowote atakaesema baba kassim kafa namsembua kichwa HAKI YA MUNGU USIPO TUBU KAULI YAKO YA MUNGU HANA UWEZO KAMA UTAIONA PEPO KWA KUFURU HIYO LABDA MUNGU BABU YAKO ALIYE MZAA mushahara TUBU DAUDI KABLA HUJANUNA
Ahahaahahaahhahahahhahahhaa amekosa pakutokea ata kubusu anaona ajabu
Ni kweli wapo miongoni mwao kama wewe , Mungu anakwambia Yesu ni mtu alietumwa na Mungu , Wewe umeendelea kutoa mishipa ya shingo na kutoka povu eti yesu ni Mungu, wewe huwezi kujua kitabu bali utajua kufuru zile za bwana Paulo ahahahahahhahaahahahaaangekamilisha angesema View attachment 866160 tatizo bado linakurudia kwamba HUJUI KUSOMA kama unaona unajua KUSOMA kamkoromee allah na baba kassim walio sema HUJUI KUSOMA, HUJUIIII ni mazwazwa tu! na dalili mojawapo ni kwamba HUJUI NI KUMBISHIA mgen wakti si yeye aliye sema ilaha kanukuu kauli ya allah kwa mdomo Wa baba fatuù kwamba HAMJUI KUSOMA kama kweli wewe sio kafir kwa kauli HIYO YA ALLAH KUWA HUJUI KUSOMA ungepiga takbirr kubwa na kufunga bakuli lako
Ahahaahahhhahahahahahaha dondosha moja moja mpaka adabu iwapate wajue muumba wa mbingu na nchi anahitaji heshima sio kumlinganisha na viumbe vyenye kwenda chooniInabidi tuwachukulie tu kwani ni kuliko wanafunzi wa chekechea , wanakunya na kujikojolea hapohapo, vitu vinawaingia polepole lakini shetani hawawachi bado
na wauwache tutibu haya maradhi sugu ya wakristo ahahahahaahhahahahaMBONA HUU UZI HAUPELEKWI KULE MAFICHONI
wewe mwenyewe umeandika HATUELEWI sasa ukiambiwa sababu ya KUTOELEWA WA KUKUELEWESHA KAFAÀ KAFA... usiwe mbishi kama ust omary aliesema kwamba wowote atakaesema baba kassim kafa namsembua kichwa HAKI YA MUNGU USIPO TUBU KAULI YAKO YA MUNGU HANA UWEZO KAMA UTAIONA PEPO KWA KUFURU HIYO LABDA MUNGU BABU YAKO ALIYE MZAA mushahara TUBU DAUDI KABLA HUJANUNA
Mkristo...usijifanye Fundi Wa lugha zaidi ya aliye Tafsir hilo daftari lenu
Tusidharau uwezo wa Mungu. Yuda hawezi kua factor..Ahahaahahahah ndio maana nikakwambia ishara ya Yona unaijua? Shetani na yuda ndio mashujaa kwenye tukio hilo la kutengenezwa, kama unabisha muondoe shetani uone kama yuda angefanya usaliti huo mnaoutengeneza kwa mayesu wa kichina
Alimbusu kwani alimwabudu ??
Jibu swali wacha mboyoyo ahahahahahhahahahahahahah
Nimeweka mto usingizi mnonooo kumbe hujui ADUI MKUBWA UISILAMU NI VITABU VYA KISILAMU NA WAISILAMU WENYEWEUmeiganda Al baqara 78 kama ruba , huna jengine ndio iliyobakia , HAMAA HUKOOO USIJITIE WAZIMU
unakurubuka as if umetoka kwenye miratul rasul ha kumuingilia maiti hilo jibu ulilo leta limewiana vipi na mazungumzo yangu na gavanaunataka kila alilofanya yesu mtume afanye ahahahahaahahaahha Yesu njaa ilimkamata mpaka akatoa laana kwa mti , kweli njaa mbaya
Kama ulishaona hivi karibuni Bondia wa wa Kibongo Hassan alipigana na Bondia wa kiingereza na kumpiga. Baada ya hapo alikuja mkalimani mmoja ambaye alikuwa anatafsiri maneno ya Hassan kwa kizungu wakati akihojiwa na mwandishi wa habari wa Uingereza. Huyo mkalimani alikuwa anaongea maneno tofauti na alichokuwa akikisema bondia Hassan. Lakini aliyekuwa anajua kuwa huyo mkalimani anachapia uongo tu ni mtu anayejua kiswahili tu. Kwa wazungu walikuwa wanamuona mkalimani mtu SAFI kabisa na huenda wamempa sifa nyingi huko kwao kwa kutafsiri bila kusita. Wazungu ni sawa na vipofu na sisi wenye kujua kiswahili ni sawa na wenye macho.You killed it, even a fool can understand your detailed explanation. Bravo.
Some people reject the truth only because it requires change.
Ukisikia ubongo, mapupu na paya za kitimoto ndio hizo masudiAhahahhahahahahaahhahaha siku hizi ukituma mapicha tunakuona umepagawa
Kwa akili za mtu ASIEJUA KUSOMA NA ANAE MSOMEA KAFA UMEPATIAAhahahahahahahahaha tatizo sio kusimuliwa tatizo ni kusimuliana uongo , kama 1+1+1=1.huu ni uongo uliovuka mipaka lazima tukufundishe ili ujinga ukutoke, kuwa mpole
Kwa akili za misukule umepatia funguka upate DAAWA sawiaInamaana ujui au unajitoa akili 1+1+1=1 hii hesabu umewai kuiona wap? Ahahahahahahauauauauuauauauauauau