Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Msimamo wa Yehova kuhusu ibada za watu wa mataifa (wapagani)

Kulingana na mafundisho ya Biblia tukufu, msimamo wa Yehova au Allah (s.w.) kuhusu ibada za watu wa mataifa au wapagani, ni "ubatili", ni "chukizo" na ni "najisi" tupu. Msimamo wake huu unathibitishwa na maandiko yafuatayo ya Biblia tukufu kama yalivyomkariri Yeye mwenyewe (Yehova au Allah s.w.) akisema:

"BWANA anasema hivi, Msijifunze njia ya mataifa, wala msishangae kwa sababu ya ishara za mbinguni, maana mataifa hushangaa kwa sababu ya ishara hizo. Maana desturi za watu hao ni ubatili; maana mtu mmoja hukata mti mwituni, kazi ya mikono ya fundi na shoka". (Yeremia 10:2-3).

"Msijitie unajisi katika mambo hayo hata mojawapo, kwa maana hizo taifa nitakazozitoa mbele zenu zimekuwa najisi kwa mambo hayo yote; na hiyo nchi imekuwa najisi, kwa ajili ya hayo naipatiliza uovu wake juu yake, na hiyo nchi yatapika wenyeji wake na kuwatoa. Kwa hiyo mtazishika amri zangu na hukumu zangu, wala msifanye machukizo hayo mojawapo; yeye aliye mzalia, wala mgeni aketiye kati yenu; kwa kuwa hao watu wa nchi wameyafanya machukizo haya yote, hao waliotangulia mbele zenu, na hiyo nchi imekuwa najisi... kwani mtu awaye yote atakayefanya machukizo hayo mojawapo, nafsi hizo zitakazofanya zitakatiliwa mbali na watu wao. Kwa ajili ya hayo yashikeni mausia yangu, ili kwamba msifanye kabisa desturi hizi zichukizazo mojawapo zilizotangulia kufanywa mbele zenu, wala msijitie unajisi katika mambo hayo, mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Mambo ya Walawi 18:24-30 ).

"Na wa mataifa BWANA aiwaambia wana wa Israeili, msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao..." (1 Wafalme 11:3)

"Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua". (Mathayo 7:6).

Kwa uchache, huu ndio msimamo halisi wa Yehova kuhusu ibada za watu wa mataifa au wapagani; kwamba ni chukizo, najisi na ni ubatili mtupu kwake (Yehova).

Mnatia aibu kwenda kula denda jiwe kila mwaka mnakufa
saudis-leave-piles-of-dead-people-in-mecca-to-be-bulldozed.jpg
Hajj.jpg
 
The Stone is not be worshipped or regarded as anything but a marker.

eti marker baba kassim akaota eti umefanana na mwazi Wa bi hajiri akawa anakula sembe mboga picha ya samaki, akala denda lile jiwe Omary alitaka kugoma akamkazia macho omari akatoa za chembe
IMG_20180912_213156_271.jpg
 
Ahahahahahahahahahahhahahahah unarudia yaleyale wewe kweli kuku , hapo hakuna hoja mpya unabaki kulialia swafan kalala na aisha , nimekwambia uislamu unataratibu zake , ili mtu awe na hatia lazima mashahidi wapatikane , nje ya hapo ni uzushi mtupu, swali ni rahisI unaweza thibitisha hao mashahidi wanne ? kama uwezi tutakupuuza ww kwa kuwa ni mdaku, swala la mtume kulala na maiti tumelimaliza ulichobaki ni kutapatapa,kuhusu wakiwa mwanamke na mwanaume wakiwa wawili, watatu ni shetwan hii hata mtoto wa chekechea anaelewa kuwa hadith hii inahusu watu ambao ni halali kuoana hivyo ushawishi wa shetani kuwafanya hawa kutenda ufuska ni mkubwa wakiwa wawili sasa hata hili tukufundishe alaaaaaaaa,mengine ulioyaleta sijaona hoja ya msingi maana ni mambo ambayo hata binti wangu wa darasa la 1 a naweza kukujibu

Huo ujinga peleka masjidi waliko kama wewe! mna uchu hadi kuingilia na kuingiliwa na maiti, mnyama kama Punda, mnyewe kwa mnyewe, kuntha...itakuwa Swafan na aisha wako mtu.2 Wa.3 ibilisi kwa siku.3 na aisha ana KIU ya ujana kama alivyo swafan hapo kala mzigo HATUDANGANYIKI
aisha-and-safwan-3-638%20(1).jpg
unatetea hata ujinga hili unalo
 
Umekosa dalali za kuthibitisha madai yako, unalalamika kama mke wenza



Umekosa dalali za kuthibitisha madai yako, unalalamika kama mke wenza

Najisikia kama ningemchapia Mimi badala ya Swafan hadi kambusti mimba lilipigwa debe la nguvu madina akiongoza View attachment 864991 akamtoa allah mfukoni View attachment 865002View attachment 865003View attachment 865005 Babu alikuwa na wivu ile mbaya hadi kapiga pin eti wakeze sawa na mama zenu msiwaoe baada yake halafu yeye kwa wanawake wa wenzake anawachapia huku akidai yeye si baba wa yeyote
IMG_20180913_140531_973.jpg
huku yeye allah amempa kibali achape kila mwanamke muislam
IMG_20180913_142111_999.jpg
IMG_20180913_142156_446.jpg
alipo mchapia zaid akamtoa allah mfukoni
IMG_20180913_142039_885.jpg
wake zake anawapiga mikwala kwa kuwatishia allah
IMG_20180913_141927_105.jpg
IMG_20180913_142011_358.jpg
IMG_20180913_132410_786.jpg
wekeni suratul Swafan
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki. Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.




﴿وَيَسْأَلُونَكَ عَن ذِى الْقَرْنَيْنِ قُلْ سَأَتْلُواْ عَلَيْكُم مِّنْهُ ذِكْراً - إِنَّا مَكَّنَّا لَهُ فِى الاٌّرْضِ وَآتَيْنَـهُ مِن كُلِّ شَىْءٍ سَبَباً ﴾
(83. And they ask you about Dhul-Qarnayn. Say: "I shall recite to you something of his story.'') (84. Verily, We established him in the earth, and We gave him the means of everything.)

The Story of Dhul-Qarnayn Allah says to His Prophet ,
﴿وَيَسْـَلُونَكَ﴾

(And they ask you) O Muhammad ,

﴿عَن ذِى الْقَرْنَيْنِ﴾
(about Dhul-Qarnayn.) i.e., about his story. We have already mentioned how the disbelievers of Makkah sent word to the People of the Book and asked them for some information with which they could test the Prophet . They (the People of the Book) said, `Ask him about a man who traveled extensively throughout the earth, and about some young men who nobody knows what they did, and about the Ruh (the soul),' then Surat Al-Kahf was revealed. Dhul-Qarnayn had great Power
﴿إِنَّا مَكَّنَّا لَهُ فِى الاٌّرْضِ﴾
(Verily, We established him in the earth,) means, `We have given him great power, so that he had all that kings could have of might, armies, war equipment and siege machinery.' So he had dominion over the east and the west, all countries and their kings submitted to him, and all the nations, Arab and non-Arab, served him. Some of them said he was called Dhul-Qarnayn (the one with two horns) because he reached the two "Horns" of the sun, east and west, where it rises and where it sets.
﴿وَآتَيْنَـهُ مِن كُلِّ شَىْءٍ سَبَباً﴾
(and We gave him the means of everything.) Ibn `Abbas, Mujahid, Sa`id bin Jubayr, `Ikrimah, As-Suddi, Qatadah, Ad-Dahhak and others said, "This means knowledge.'' Qatadah also said,
﴿وَآتَيْنَـهُ مِن كُلِّ شَىْءٍ سَبَباً﴾
(and We gave him the means of everything.) "The different parts and features of the earth.'' Concerning Bilqis, Allah said,
﴿وَأُوتِيَتْ مِن كُلِّ شَىْءٍ﴾
(she has been given all things) ﴿27:23﴾, meaning all things that monarchs like her are given. Thus too was Dhul-Qarnayn: Allah gave him the means of all things, meaning the means and power to conquer all areas, regions and countries, to defeat enemies, suppress the kings of the earth and humiliate the people of Shirk. He was given all that a man like him would need. And Allah knows best.


﴿فَأَتْبَعَ سَبَباً - حَتَّى إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ الشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِى عَيْنٍ حَمِئَةٍ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْماً قُلْنَا يذَا الْقَرْنَيْنِ إِمَّآ أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّآ أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْناً - قَالَ أَمَّا مَن ظَلَمَ فَسَوْفَ نُعَذِّبُهُ ثُمَّ يُرَدُّ إِلَى رَبِّهِ فَيُعَذِّبُهُ عَذَاباً نُّكْراً - وَأَمَّا مَنْ آمَنَ وَعَمِلَ صَـلِحاً فَلَهُ جَزَآءً الْحُسْنَى وَسَنَقُولُ لَهُ مِنْ أَمْرِنَا يُسْراً ﴾
(85. So he followed a way.) (86. Until, when he reached the setting place of the sun, he found it setting in a spring of Hami'ah. And he found near it a people. We said: "O Dhul-Qarnayn! Either you punish them or treat them with kindness.'') (87. He said: "As for him who does wrong, we shall punish him, and then he will be brought back unto his Lord, Who will punish him with a terrible torment (Hell).'') (88. "But as for him who believes and works righteousness, he shall have the best reward, and we shall speak unto him mild words.'')

His traveling and reaching the Place where the Sun sets (the West)
﴿فَأَتْبَعَ سَبَباً ﴾
(So he followed a way.) Ibn `Abbas said that he followed different routes to achieve what he wanted.

وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِى عَيْنٍ حَمِئَةٍ﴾
(he found it setting in a spring of Hami'ah) meaning, he saw the sun as if it were setting in the ocean. This is something which everyone who goes to the coast can see: it looks as if the sun is setting into the sea but in fact it never leaves its path in which it is fixed. Hami'ah is, according to one of the two views, derived from the word Hama'ah, which means mud. This is like the Ayah:

kwahiyo ukiisoma Sura Al kahf kwenye hizo aya ulizoziweka utagundua kwamba aliesema kaona jua limezama kwenye matope ni "Dhul Qarnayn" na ndo aliwasimulia watu wake... na utaona Mungu ndo anamsimulia Muhhamad (S.A.W) kile ambacho Dhul Qarnayn aliwaambia watu wake na sio kwamba Mungu nae aliona hivyo, Lah... na hiyo aya ilishuka maana kuna watu ambao walikua hawamuamini Muhammad kama ni mjumbe wa Allah na ili wamuamini ndo wakamuuliza maswali matatu na moja wapo walitaka waelezwe kuhusu "Dhul Qarnayn",, na kumbuka wao walishasimuliwa story za huyo Dhul Qarnayn so walitaka kusikia yale waloyasikia kwa Muhammad.. ndo maana na Muhammad alisimuliwa yale aloyafanya Dhul Qarnaan......

Reason why this Surah was revealed

Muhammad bin Ishaq mentioned the reason why this Surah was revealed. He said that an old man from among the people of Egypt who came to them some forty-odd years ago told him, from `Ikrimah that Ibn `Abbas said: "The Quraysh sent An-Nadr bin Al-Harith and `Uqbah bin Abi Mu`it to the Jewish rabbis in Al-Madinah, and told them: `Ask them (the rabbis) about Muhammad, and describe him to them, and tell them what he is saying. They are the people of the first Book, and they have more knowledge of the Prophets than we do.' So they set out and when they reached Al-Madinah, they asked the Jewish rabbis about the Messenger of Allah . They described him to them and told them some of what he had said. They said, `You are the people of the Tawrah and we have come to you so that you can tell us about this companion of ours.' They (the rabbis) said, `Ask him about three things which we will tell you to ask, and if he answers them then he is a Prophet who has been sent (by Allah); if he does not, then he is saying things that are not true, in which case how you will deal with him will be up to you. Ask him about some young men in ancient times, what was their story For theirs is a strange and wondrous tale. Ask him about a man who travelled a great deal and reached the east and the west of the earth. What was his story And ask him about the Ruh (soul or spirit) -- what is it If he tells you about these things, then he is a Prophet, so follow him, but if he does not tell you, then he is a man who is making things up, so deal with him as you see fit.' So An-Nadr and `Uqbah left and came back to the Quraysh, and said: `O people of Quraysh, we have come to you with a decisive solution which will put an end to the problem between you and Muhammad. The Jewish rabbis told us to ask him about some matters,' and they told the Quraysh what they were. Then they came to the Messenger of Allah and said, `O Muhammad, tell us,' and they asked him about the things they had been told to ask. The Messenger of Allah said,
«أُخْبِرُكُمْ غَدًا عَمَّا سَأَلْتُمْ عَنْه»

(I will tell you tomorrow about what you have asked me.) but he did not say `If Allah wills.' So they went away, and the Messenger of Allah stayed for fifteen days without any revelation from Allah concerning that, and Jibril, peace be upon him, did not come to him either. The people of Makkah started to doubt him, and said, `Muhammad promised to tell us the next day, and now fifteen days have gone by and he has not told us anything in response to the questions we asked.' The Messenger of Allah felt sad because of the delay in revelation, and was grieved by what the people of Makkah were saying about him. Then Jibril came to him from Allah with the Surah about the companions of Al-Kahf, which also contained a rebuke for feeling sad about the idolators. The Surah also told him about the things they had asked him about, the young men and the traveler. The question about the Ruh was answered in the Ayah;
﴿وَيَسْـَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ قُلِ الرُّوحُ﴾


Quran isome yote na kwa utulivu na uelewe, ukishindwa elewa uliza,, so tusichukue maneno ya kwenye vitabu vya dini na kuweka tafsiri ya moja kwa moja.... you need to read and understand the full concept... hope ntakua nimejitahidi kujibu maswali yako
 
Ungejibu ningeshangaa. Manake hapo huna la kusema.
Maelezo yako yote yamejaa uongo. Unategemea ni jibu kitu gani sasa?.
Nimeona unajifurahisha tu. Bora Hata ungebabaisha kidogo kwa kuweka na kaukweli kidogo. Lakini kila kitu umeongea uongo. Ikabidi nikwambie acha Taqiyyah.
 
Maelezo yako yote yamejaa uongo. Unategemea ni jibu kitu gani sasa?.
Nimeona unajifurahisha tu. Bora Hata ungebabaisha kidogo kwa kuweka na kaukweli kidogo. Lakini kila kitu umeongea uongo. Ikabidi nikwambie acha Taqiyyah.
Ungesema uongo upi? Manake maelezo yote yako wazi na yanajieleza yenyewe kutoka kwenye Bible na Quran. Hakuna neno nililolibuni. Sasa kama uliona nililolisema uongo wewe ungeliweka sawa na ungetoa ushahidi wa kutoka Quran au Biblia yako.

Kusema wewe "muongo" bila kielelezo chochote ni kukubali maneno yangu ni ya kweli na huwezi kuyatengua kwa sababu ukweli wake ni bayana.

Kwa hiyo kwa aibu unaamua kuzusha uwongo juu yangu.
 
Let us look at the Bible's sacred black stones:


Genesis 28:18

When Jacob got up early the next morning, he took the rock that he had used for a pillow and stood it up for a place of worship. Then he poured olive oil on the rock to dedicate it to God,


So here we clearly see that the rock that Jacob, peace be upon him, used for sleeping and resting became a holy object of worship that needed to be anointed by having oil being poured on it. We further read from the Bible about holy stones that GOD Almighty supposedly forbade the believers from even edging or trimming:

Exodus 20:25

25 If you ever build an altar for me out of stones, do not use any tools to chisel the stones, because that would make the altar unfit.


Other translations of this verse:


Exodus 20:25

King James Version (KJV)
25 And if thou wilt make me an altar of stone, thou shalt not build it of hewn stone: for if thou lift up thy tool upon it, thou hast polluted it.


Exodus 20:25

New American Standard Bible (NASB)
25 If you make an altar of stone for Me, you shall not build it of cut stones, for if you wield your tool on it, you will profane it.


Exodus 20:25
Revised Standard Version (RSV)
25 And if you make me an altar of stone, you shall not build it of hewn stones; for if you wield your tool upon it you profane it.


Exodus 24:4
4 Then Moses wrote down what the Lord had said. The next morning Moses got up early. He built an altar at the foot of the mountain and set up a large stone for each of the twelve tribes of Israel.


Exodus 25:1-9

The Sacred Tent

1 The Lord said to Moses:
2 Tell everyone in Israel who wants to give gifts that they must bring them to you.
3 Here is a list of what you are to collect: Gold, silver, and bronze;
4 blue, purple, and red wool; fine linen; goat hair;
5 tanned ram skins; fine leather; acacia wood;
6 olive oil for the lamp; sweet-smelling spices to mix with the oil for dedicating the tent and ordaining the priests;
7 and onyx stones for the sacred vest and the breastpiece.
8 I also want them to build a special place where I can live among my people.
9 Make it and its furnishings exactly like the pattern I will show you.


black_onyx_stone.png
natural_onyx_stone.png

Black Onyx Stone Natural Onyx Stone





Again, the black stone in Mecca was a meteorite that was sent down by Allah Almighty to Prophet Abraham and his son Ishmael, peace be upon both of them, to give the precise location of where the Kaaba was to be built by them.

We believe that Prophets Abraham and Ishmael built the Kaaba.

The black stone is placed in one of the corners of the Kaaba, and it serves as a starting and ending point for the Circumambulation (tawaaf) 7 times around the Kaaba, which is also 100% supported in the Bible's previous Scriptures.
Mwanzo 28:18-19
[18]Yakobo akaondoka asubuhi na mapema, akalitwaa lile JIWE aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha kama nguzo, na kumimina mafuta juu yake.
[19]Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.



Kutoka 20:25
[25]Nawe ukinifanyia madhabahu ya MAWE, hutaijenga ya mawe yaliyochongwa; kwa kuwa ukiwa wewe umetumia chombo chako katika kuichonga umeitia unajisi.


Kutoka 24:4
Basi Musa akayaandika maneno yote ya BWANA, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli,



Kutoka 25:1-9
[1]BWANA akanena na Musa, akamwambia,
[2]Waambie wana wa Israeli kwamba wanitwalie sadaka; kila mtu ambaye moyo wake wampa kupenda mtatwaa kwake sadaka yangu.
[3]Sadaka utakayopokea mikononi mwao ni hii; dhahabu, na fedha, na shaba,
[4]na nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na za rangi nyekundu, na nguo za kitani safi, na singa za mbuzi;
[5]na ngozi za kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo, na miti ya mshita,
[6]na mafuta ya ile taa, na viungo vya manukato kwa yale mafuta ya kupaka, na kwa ule uvumba wenye harufu nzuri;
[7]na VITO vya shohamu, na VITO vingine vya kutiwa kwa ile naivera, na kwa kile kifuko cha kifuani.

[8]Nao na wanifanyie patakatifu; ili nipate kukaa kati yao.
[9]Sawasawa na haya yote nikuonyeshayo, mfano wa maskani, na mfano wa vyombo vyake vyote, ndivyo mtakavyovifanya.


BADO SIJALUBALIANA NA SABABU ULIZOZIWEKA.

HAKIKA HAKUNA UHUSIANO WOWOTE WA MECCA NA JERUSALEMU WALA BETHELI
 
Maelezo yako yote yamejaa uongo. Unategemea ni jibu kitu gani sasa?.
Nimeona unajifurahisha tu. Bora Hata ungebabaisha kidogo kwa kuweka na kaukweli kidogo. Lakini kila kitu umeongea uongo. Ikabidi nikwambie acha Taqiyyah.
Tunaelewa kuwa Imani ni kitu kigumu kuachana nacho. Utaona watu wanaabudu Kya, Mwezi, Mvua, Ng'ombe, hata Mapumbu. Lakini ukimwambia hiyo sio sahihi hakuelewi. Kwa sababu amezaliwa kujua hivyo na kufundishwa hivyo miaka yote. Si rahisi kumuelewesha. Nanyi hivyo hivyo, mumekuwa kujua kuwa kiumbe mwenzenu ni MUNGU na kuabudu Sanamu ambalo halifanani hata na yeye. Hata kama tukiwaambia lakini hamutuelewi. Imani ni kitu hatari. Ili ujue ukweli unahitaji akili za ziada na MUNGU atake kukuelekeza mahala alipo. Ushauri wangu, toka nje ya hiyo imani yako kisha fuatilia maneno tunayokuambia katika Uzi huu na yafanyie kazi. Utapata ukweli.
 
Mwanzo 28:18-19
[18]Yakobo akaondoka asubuhi na mapema, akalitwaa lile JIWE aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha kama nguzo, na kumimina mafuta juu yake.
[19]Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.



Kutoka 20:25
[25]Nawe ukinifanyia madhabahu ya MAWE, hutaijenga ya mawe yaliyochongwa; kwa kuwa ukiwa wewe umetumia chombo chako katika kuichonga umeitia unajisi.


Kutoka 24:4
Basi Musa akayaandika maneno yote ya BWANA, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli,



Kutoka 25:1-9
[1]BWANA akanena na Musa, akamwambia,
[2]Waambie wana wa Israeli kwamba wanitwalie sadaka; kila mtu ambaye moyo wake wampa kupenda mtatwaa kwake sadaka yangu.
[3]Sadaka utakayopokea mikononi mwao ni hii; dhahabu, na fedha, na shaba,
[4]na nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na za rangi nyekundu, na nguo za kitani safi, na singa za mbuzi;
[5]na ngozi za kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo, na miti ya mshita,
[6]na mafuta ya ile taa, na viungo vya manukato kwa yale mafuta ya kupaka, na kwa ule uvumba wenye harufu nzuri;
[7]na VITO vya shohamu, na VITO vingine vya kutiwa kwa ile naivera, na kwa kile kifuko cha kifuani.

[8]Nao na wanifanyie patakatifu; ili nipate kukaa kati yao.
[9]Sawasawa na haya yote nikuonyeshayo, mfano wa maskani, na mfano wa vyombo vyake vyote, ndivyo mtakavyovifanya.


BADO SIJALUBALIANA NA SABABU ULIZOZIWEKA.

HAKIKA HAKUNA UHUSIANO WOWOTE WA MECCA NA JERUSALEMU WALA BETHELI


Umetumia bibliayako ya Queen James version ??

Hata ukikubali ndio iweje kwa KIPOFU NA KIZIWI ??

Lini uliponiambia nimekubaliana na wewe ??:p:p:p:p
 
Tunaelewa kuwa Imani ni kitu kigumu kuachana nacho. Utaona watu wanaabudu Kya, Mwezi, Mvua, Ng'ombe, hata Mapumbu. Lakini ukimwambia hiyo sio sahihi hakuelewi. Kwa sababu amezaliwa kujua hivyo na kufundishwa hivyo miaka yote. Si rahisi kumuelewesha. Nanyi hivyo hivyo, mumekuwa kujua kuwa kiumbe mwenzenu ni MUNGU na kuabudu Sanamu ambalo halifanani hata na yeye. Hata kama tukiwaambia lakini hamutuelewi. Imani ni kitu hatari. Ili ujue ukweli unahitaji akili za ziada na MUNGU atake kukuelekeza mahala alipo. Ushauri wangu, toka nje ya hiyo imani yako kisha fuatilia maneno tunayokuambia katika Uzi huu na yafanyie kazi. Utapata ukweli.

Wacha ramli wewe naona hata koloani husomi ndio sababu mambo mengi unayaleta toka mukichwa wee weka Msitari Mmoja toka Biblia Takatifu kwamba Wakristo wana muabudu Mtu halafu hii ayat ambayo allah alisema Wale wasemao sisi ni Wakristo miongoni mwao ni Wacha "MUNGU NA WASOMI"
IMG_20180806_124946_626.jpg
alikuwa anamaanisha ni mtu ndie Mungu au baba fatuma alikufa kabla hajakusomea hii verse ndio sababu aliwasema nyinyi msio jua kusoma ni waongo wakubwa
IMG_20180911_192542_350.jpg
hebu Fichaga majinga jinga yako dogobros
 
Kama Quran kaindika Muhhamad kwa mujibu wa wakristo basi jamaa genius sana maana bible imeandika na watu 40 na bado makosa kibao sio kisayans wala ya kirohi lakin kama Quran yote kaandika muhammad peke yake na akafanikiwa kishawashi watu 1.8 B wamuamin basi jamaa alikuwa genius sana na hapo hapo unaambiwa alikuwa hajui kusoma na kuandika.!
 
eti marker baba kassim akaota eti umefanana na mwazi Wa bi hajiri akawa anakula sembe mboga picha ya samaki, akala denda lile jiwe Omary alitaka kugoma akamkazia macho omari akatoa za chembe View attachment 864714

mungu wako aliyejibandika nyama mpaka za kuleeeeee, kazi yake hiyo ,

jee hiyo ni worship???? akimwabudu mary magdalene ???

Jesus Kissed Mary Magdalene on the Mouth': the Gnostic Gospels Could Rewrite Religious History



And the companion of the [...] Mary Magdalene. [...] loved her more than all the disciples, and used to kiss her often on her [...]. The rest of the disciples [...]. They said to him "Why do you love her more than all of us?" The Savior answered and said to them, "Why do I not love you like her? When a blind man and one who sees are both together in darkness, they are no different from one another. When the light comes, then he who sees will see the light, and he who is blind will remain in darkness."​

The 'lacuna', or gap, which hides where Jesus kissed Mary has tantalised scholars for decades."
 
Wacha ramli wewe naona hata koloani husomi ndio sababu mambo mengi unayaleta toka mukichwa wee weka Msitari Mmoja toka Biblia Takatifu kwamba Wakristo wana muabudu Mtu halafu hii ayat ambayo allah alisema Wale wasemao sisi ni Wakristo miongoni mwao ni Wacha "MUNGU NA WASOMI" View attachment 865292 alikuwa anamaanisha ni mtu ndie Mungu au baba fatuma alikufa kabla hajakusomea hii verse ndio sababu aliwasema nyinyi msio jua kusoma ni waongo wakubwa View attachment 865297 hebu Fichaga majinga jinga yako dogobros


mkristo kwa kiarabu anaitwajeeee ???
 
Mkuu kaa vizuri sana katika uzi huu kwa maana ukija pupa utakosa mlango wa kutokea! Hapo Mungu anaongeleaje habari za Alexander the Great? Alexander, aongelewe hapo kwa faida ya nani hasa? Mungu alikuwa anamueleza Muhammad habari za Alexander kwa ili Muhammad apate picha gani hasa?

Hivi unafahamu kuwa Alexander the Great aliishi miaka mingi sana kabla ya hata Yesu Kristu kuzaliwa au hata Muhammad?

Mtawala aliyeitwa Aleksanda Mkuu (Alexander the Great) alikuwa ni mtawala(Mfalme) wa Makedonia (336-323 KK).Makedonia ni eneo la kijiografia na kihistoria katika Peninsula ya Balkani, kusini-mashariki mwa bara la Ulaya.Je,ni lini Muhammad aliwahi kufika Makedonia kabla hajazaliwa hadi akaweza kuona jinsi Alexander alivyoliona Jua likizama katika matope?
Usikosoe kwa nguvu wanaotoa majibu kinyume na matakwa yako, Qur'an imezungumzia watu wengi na mambo yaliyofanywa na hao watu kabla ya Muhammad MF musa, daudi etc.bila shaka Qur'an ni maneno ya Allah ndio maana inazungumzia mambo yaliyotokea kitambo kabla mtume hajazaliwa, BT umefanya vema kuleta Uzi huu lakini punguza ushabiki kwa upande unaoutaka na usioutaka ili tupokee maarifa kwa Uhuru,
 
Picha ya kwanza na ya tano nikiwa namsimulia mtu jinsI nilivyoliona jua linazama nikamiambia nimeliona jua linazama kwenye maji nitakua namaanisha linazama kwenye maji kweli au ndivyo nilivyoona kwa muono wangu? VipI kuhusu picha ya pili Jua si naliona linazama ardhini? Na picha ya tatu utamuelezeaje mtu kwamba unaliona jua linazama vipi? Nikisema nyuma ya mlima nitakosea? Picha ya nne nikisema jua limezama kwenye mawingu meusi je?

Nadhani hata huyo anaesimuliwa katika Qur an anasema aliliona jua linazama katika matope meusi kwa muono kama huo hapo juu.View attachment 814741View attachment 814742View attachment 814743View attachment 814744View attachment 814745
We umejibu,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom