Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
1.Nashukuru sana kwa maelezo yako..Japo wewe huna Ukristo wowote. Hata up bringing yako haina viashiria vya Kuujua Ukristo. Ndio maana ukaona unayo maswali magumu.

2. “Believers, do not ask about things which, if revealed to you, would disappoint you. Some people before you did ask such questions, and on that account LOST THEIR FAITH.” (Quran. 5: 101-102)


Hii ayah INAWAAMRISHA waislamu wasiulizeulize kuhusu mambo ya imani yao. Kwasababu wakiulizauliza, wataiacha Imani. Kama ambavyo kuna waamini, waliouliza kabla yao waliachana na Imani kwa kuukataa Uislamu.

Kumbe basi unaamini kwasababu hauko Free to think outside the Koranic Box. This is only for blind faith. Mtu ambaye ni Sound and Sane hawezi kuendelea kuamini katika mashakamashaka ya Islam.


3. ISLAM IS FOR ARABS ALONE.

The Quran 10:47 says,
And for every people there is a Messenger.

And Quran14: 4 says,
And WE have not sent any Messenger except with REVELATION IN THE LANGUAGE of his people in order that he might MAKE THINGS CLEAR TO THEM .
Hii verse inaonyesha kua Uislamu ni mahususi kwa Waarabu. Na wasio waarabu hawahitaji kusilimu

Quran 16:36.
And WE DID RAISE among every people a Messenger

Quran 5:48
For EACH OF YOU WE prescribed a clear spiritual Law and a manifest way in secular matters

Quran 32:3
It [the Quran] is the truth from your Lord; that you [Muhammad] may warn a people to TO WHOM NO WARNER HAS COME BEFORE YOU, that they may be guided.

Quran 36.6
[This is a revelation] That thou mayest warn a people WHOSE FATHERS WERE NOT WARNED , and so they are heedless.


AYATI HIZI ZA KORAN zimerudiwa kulithibitisha hilo mara nyingi sana. Ili kuondoa mashaka YOTE.

Allah anasema kila Jamii ya watu wana mtume wao.
Muhammad ni kwa wale ambao hawakupata mtume wao. Yaani waarabu.Ili waarabu wasije wakalalamika kua hawajaletewa mtume. Allah akaweka uislamu kwaajili yao.

Quran 6: 156- 157 explain,
Lest you should say, `The Book was sent down only to two peoples before us, (Jews and Christians) and AND WE WERE INDEED UNAWARE OF WHAT THEY READ
Or LEST YOU SHOULD SAY, `Had the Book been sent down to us, we should surely have been better guided than they.’ There has now come to you a CLEAR EVIDENCE FROM YOUR LORD and a GUIDANCE and A MERCY.

Na ili kuthibitisha hilo Ayati inahakikisha kua kama Koran ingeshushwa kwa wasio waarabu wasinge amini.

Quran. 26: 198-199
And if WE had sent it down to one of the NON-ARABS, and he had read it to them, THEY WOULD NEVER HAVE BELIEVED IN IT.

Na ili kuepuka usumbufu Koran inazidi kusema. Inawataka wakristo kufuata mafundisho yao na mafunuo yao. Koran ni kwa wale tu wasiopata mafunuo.


Quran 5:19
O People of the Book, there indeed has come to you Our Messenger, after a break in the series of Messengers, who makes things clear to you lest you should say, `There has come to us no bearer of glad tidings and no Warner.’ So a bearer of glad tidings and a warner has indeed come to you. And ALLAH has power over all things.

Kwakua Allah anajua kuna watu wabishi Sana na hawaelewi. Na Yeye Anataka hata viziwi waelewe kile anachomaanisha kwa msisitizo kabisa

Quran 6:92
And this is a Book which WE have revealed, full of blessings, to fulfill that which preceded it, and to enable thee to warn the *Mother of towns and those around it.* أُمَّ الْقُرَى وَمَنْ حَوْلَهَا

Mother of Town: ina maanisha _Umul Qura, Mecca_.

Yaani Mecca na maeneo kuzunguka mji tu.

Allah anajua bado watakuja watu WAJINGA ZAIDI. Kwa msisitizo anazidi kukazia ili wale VICHWA VIGUMU WAELEWE . HAPA ANASISITIZA
Quran 42:7

🤣🤣🤣
Quran 42:7
Thus have WE revealed to you the Qur’an in Arabic, that you may warn the Mother of towns, and all those around it.


Na koran inajieleza kua ipo wazi na haina makosa na inaeleweka vizuri na haina Mashaka
Kupitia aya mbalimbali kama ifuatavyo.

kitabu kilicho wazi” (5:15).
Rahisi kueleweka (44:58 , 54:22 , 54:32, 54:40)
Kilichojieleza kwa kina (6:114),
Kilichopokelewa bila makosa (5:16, 10:15)
Kisicho na shaka (2:1).

Sasa aje muislamu kupinga kua Usilamu sio wa Waarabu peke yao.

🤣🤣🤣🤣










Be mercy to the World. Which world?(rejea above).
Mohammad never being a mercy to this world.we ara living. Tazama biography yake utaona vyema. He seriously transgressed that Word Mercy. He slaughter thousands of innocents souls, raped, enslaved. His resume is astonishing!!


Luke – "Angels but no star"


heavenly-host.jpg



Having heard the chorus from a heavenly host, Luke's shepherds find the infant Jesus without the aid of any star.


"And they came with haste, and found Mary, and Joseph, and the babe lying in a manger." – Luke 2.16.


In fact, Luke knows nothing of the star so important to Matthew's rival yarn.
 
Hoja yako namba tatu(3) haina mashiko kabisa ndio maana unajaribu kuunga unga maandiko wote tunakubali mtume alikuwa mwarabu na Quran imekuja kwa lugha ya kiarabu , na sio Quran tu ata taurati imekuja kwa lugha yao wanaotumia hao wayahudi ili iwe rahisi kwao kuelewa lakini suala la mtume katumwa kwanani jibu analo Mungu , haya sasa twende kazi
QURAN 14:28";Na hatukukutuma ila kwa WATU WOTE , uwe mbashiri , na mwonyaji , lakini watu wengi hawajui,"

kwa mujibu aya hii miongoni mwa watu wasiojua ni ww na genge lako
VILEVILE kuna hoja yako no 4 kuhusu Mohammad sijui kuua sijui nini nafikir hii ni lawama tu tumeshalimaliza hili bila KUUA hakukuwa na alternative ya Mungu wa biblia kuipata nchi ya ahadi kwahiyo hakuna hoja hapo
Neno WATU WOTE halipo CLEAR. Kulinganisha na aya zile zingine ambazo zipo Very Clear and Very Very Specific. They hit the Bull Eye

Mohamad ameshirikisha hadi Mashetwaini kwenye Mpango wake na allah.

Amekua Ni Mpinga Kristo namba Moja kwasababu multitude of people are going to hell because of his treachery.


Na ukumbuke Mohammad alisema waziwazi kwenye sunnah, kua atafanya mtakua waislamu wengi ila dhehebu moja tu ndio litaingia peponi. Wengine mtakua kampani ya moto.

I don't blame you. You need sometimes to meditate before decide...
 
Hili ndio tatizo lako mwanafunzi unajaribu kumzidi mwalimu yesu eti "perculiar" jamani jamani haya msikilize Yesu anachotuambia
YOHANA 20:17
";Yesu akawaambia , usinishike ;kwa maana sijapaa kwenda kwa baba , lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu NAYE ni baba YENU, kwa Mungu WANGU naye ni Mungu WENU"

Unakuja hapa unaandika mambo hata yesu ajafundisha sijui perculiar mara more divine haya mambo kamifundisha yesu yupi nyie!!!

PECULIARITY HIZi HAPA.



Yohana 10:36
je! Yeye ambaye Baba ALIMTAKASA, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?

Mathayo 12:6
Lakini nawaambieni, kwamba hapa yupo ALIYE MKUU KULIKO HEKALU.

Mathayo 12:8
Kwa maana Mwana wa Adamu NDIYE BWANA WA SABATO.

Mathayo 9:6
Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya KUSAMEHE DHAMBI....



Yohana 11:25-27
[25]Yesu akamwambia,MIMI NDIMU HUO UFUFUO, NA UZIMA. YEYE ANIAMINIYE MIMI, AJAPOKUFA ATAKUA ANAISHI;
[26]naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. JE UNAYASADIKI HAYO?
[27]Akamwambia, Naam, Bwana, mimi nimesadiki ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni.


Yohana 16:24
Hata sasa hamkuomba neno KWA JINA LANGU; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Luka 24:47
[47]na kwamba mataifa yote WATAHUBIRIWA KWA JINA LAKE habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.
 
Kujishughulisha na pepo

Hii ni ibada nyingine ya msingi katika dini ya Kikristo. Hata hivyo, katika kutilia mkazo makemeo yake dhidi ya ibada hiyo potofu, Yehova aliwaambia wanadamu kama ifuatavyo:

"Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Mambo ya Walawi 19:31)

"Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na mitano katika Yerusalemu; ... Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawa sawa na machukizo ya mataifa; ... akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, ... akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha". (2 Wafalme 21:1-6)

"Tena mtu mume na mtu mke aliye na pepo au aliye mchawi, hakika atauawa, watawapiga kwa mawe, damu yao itakuwa juu yao". (Mambo ya Walawi 20:27)

Kulingana na maandiko hayo juu, hapo Yehova kwa ujumla anawataka wanadamu wasishirikiane kabisa na watu wenye pepo, bali wajitenge nao mbali kabisa. Zaidi ya hivyo, mbali ya amri hiyo pia Yehova ameamuru wenye pepo wauawe kabisa na si kuacha kujishughulisha nao tu.

Pamoja na makemeo hayo ya Yehova dhidi ya yeyote anayejishughulisha na pepo, lakini muasisi wa Ukristo, Bwana Paulo anasema:

"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka; juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho".(Waefeso 6:12)

Kulingana na maelezo hayo ya Paulo hapo juu, tunaona wazi kwamba wakati Yehova amefikia kuamuru kuuawa yeyote atakayebainika akijishughulisha na pepo, hapo juu Bwana Paulo anawataka watu wajishughulishe na pepo kwa kushindana nayo!

Na kama ilivyo desturi yao kuuandikia Ukristo wa Paulo, waandishi wa agano jipya katika kusherehesha mafundisho hayo ya 'mwalimu wao' (ya kuruhusu watu washindane na pepo), wamethubutu kuonyesha katika Injili zao kuwa ati Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kujishughulisha na pepo na kuwaagiza wafuasi wake wafanye hivyo! (Tazama Mathayo 8:28-32; 15:21-28; Marko 5:1-13; 7:24-30; 9:38-40; 16:17; Luka 8:26-33).

Pamoja na Paulo na washereheshaji wa mafundisho yake hayo kuhubiri mafundisho hayo ya dini yao ya Kikristo, lakini wanafahamu fika kwamba Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi kusema au kutenda jambo lolote lililokatazwa na Yehova aliyemtuma, kama hilo la kujishughulisha na ibada hiyo (ya kujishughulisha na pepo) ambayo imetokana na wapagani.

Kwa ujumla basi, katika kufuata mafundisho hayo ya Paulo, ndio utaona mpaka leo Wakristo hasa walokole hujishughulisha sana na pepo katika mikutano yao ya wazi wanayoiita ya "neno la Mungu", "December Crussade", "November Crussade" na kadhalika. Huku wakijua wazi kwamba asili ya ibada hii imetokana na wapagani na Yehova ameikemea vikali sana!



Kuua wana

Hii ndiyo ibada kuu ya msingi katika dini ya Kikristo mpaka dakika ya leo.

Licha ya Yehova kuwakemea vikali wanadamu kujihusisha nayo, lakini sambamba na kuanzisha dini yake hiyo (Kikristo), Bwana Paulo aliamua pia kuifundisha ibada hiyo kwa kuunga mkono dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu (Nabii Isa au Yesu a.s.) kama kafara ya dhambi kwa waumini wa dini yake hiyo (Ukristo), kwa kusema:

"Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu tulipokuwa tungali wenye dhambi" (Warumi 5:8).

"Kristo alitukomboa katika laana ya Torati kwakuwa alifanywa laana kwa ajili yetu, maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti". (Wagalatia 3:13)

Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo aifundishavyo ibada hiyo (ya kuua wana) akiunga mkono dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu kama kafara ya dhambi za Wakristo wote.

Sambamba na mafundisho hayo ya Bwana Paulo juu ya ibada hiyo (kuua wana) waandishi wa agano jipya kwa kuwa nao walidhamiria kuuandikia Ukristo wa Paulo, kama ilivyo kazi yao (kusherehesha mafundisho ya Paulo) katika kusherehesha ibada hiyo kama ilivyofundishwa na "mwalimu wao" Bwana Paulo, katika Injili zao na nyaraka zao wamediriki hata kupenyeza maneno kinywani mwa Bwana Yesu (a.s.) wakisimulia kuwa Yesu mwenyewe (a.s.) ati aliwahi kutabiri kuuliwa kwake msalabani (Tazama Mathayo 12:40, 20:17-19; Marko 10:32-34; Luka 18:31-33 na kadhalika)!

Nasema waandishi hao wamepenyeza ibada hiyo (ya kuua wana) kinywani mwa Yesu (a.s.) kwa sababu siyo wao tu, bali hata 'mwalimu wao' Bwana Paulo anajua wazi kuwa Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi akathubutu kufundisha ibada potofu za watu wa mataifa, yaani wapagani, zilizokemewa vikali na Yehova.

Kwa upande mwingine, kutokana na mafundisho hayo ya Paulo yanayounga mkono ibada hiyo ya wapagani ( ya kuuwa wana), katika kuunga kwao mkono na kutilia mkazo mafundisho hayo (ya Paulo), Wakristo pia wameibua kitu kiitwacho "Ekaristi takatifu", "Chakula cha Bwana", "Meza ya Bwana" na kadhalika. Hapo hula mikate na kunywa divai wakiashiria kuula mwili wa Yesu (a.s.) na kuinywa damu yake wakijifariji kwa dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu! Sambamba na hilo, pia wamezua "sikukuu ya Pasaka ya Yesu" kama kumbukumbu ya kutukuza dhana ya kuuliwa mwana huyo wa Mariamu kama kafara ya dhambi zao! Kwa ujumla, ibada hiyo ya kipagani inaungwa mkono mia kwa mia na dini ya Kikristo.

Kwa uchache, ibada hiyo (ya kuua wana) ni chukizo kubwa kwa Yehova kwa kuwa alikwishaikemea vikali. InshaAllah upotofu wa ibada hii nitauelezea zaidi katika makala zangu zijazo nitakapokuwa nikiwajibu wapinzani wote wa neno la Mungu waliojitokeza kuzidandia makala zangu zile zilizohusu "Pasaka wa kweli wa Mungu" ijapokuwa waliteleza kwa kufinyangafinyanga maneno wakitoa hoja dhaifu zisizokuwa na msingi wowote.

Kashindwa hoja baba yake baada ya vitisho, mikwala, kuwatumainisha watu, ahadi hewa za kungono sardaus, kutembeza jambia...Akashindwa na watu wakaendelea kushahadia "HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA YESU NA PAULO MTUME WAKE " baba yake kassim akamwaga povu akaanza kughani
IMG_20180911_171200_682.jpg
itakuwa wewe gavana na vimstari vyako vya kuunga unga jioni unarudi kulala kilingeni
 
Hivi ww unaugonjwa wa kusahau ili tulishakujibu muda mrefu , mtume aliwasomea na akakamilisha dini yote , sasa unataka asome nini wakati kila kitu alishamaliza? ukibanwa huku unarudia kule,ukibanwa kule unarudia huku bureee kabisaaaa wewe, halafu kuhusu kutokujua kusoma baadhi ya watu mbona kawaida hata wanafunzi wa yesu hawakujua kusoma wala elimu walikuwa hawana maarifa, mbona hilo ulitangazi humu

Yesu wapi alilia lia Hivi kama baba yake kassim
IMG_20180911_192542_350.jpg
Yesu yupo Hai hadi Leo Anaendelea Kufundisha Wanafunzi wake, unamlinganisha na marehemu muham mad amekufa analia lia mapajani mwa kibubu cha Swafan
IMG_20180623_161759_022.jpg
yupo barzak anasikia fukuto, mvuke, mingurumo ya funza Wa shaba jehannam bado kutumbukia
 
Kanifundisha hii

Fulfilled Prophecy? No, just cut and paste


All this took place to fulfil what the Lord had spoken by the prophet:
"Behold, the virgin shall conceive and bear a son, and they shall call his name Emmanuel. " – Matthew 1.22-23.​


No one in the New Testament actually calls Jesus "Emmanuel".

WEKA JINA LA AHMAD HALAFU ENDELEA KUBWABWAJA NA KADI YAKO YA KLINIKI


The prophet who supposedly made this prophecy was Isaiah, although "Isaiah" is at least three writers, composing material over a period of two hundred years. First or "proto" Isaiah, sometime in the 8th-7th century BC, wrote:
"Therefore the Lord Himself giveth to you a sign, Lo, the Virgin is conceiving, And is bringing forth a son, And hath called his name Immanuel." – Isaiah 7.14. (Young's Literal Translation)​



Such a "literal" translation of Isaiah's words still retains a Christian spin. Note, however, that the present tense is used.


The context for this supposed "messianic prophecy" is a a world away from Herodian or Roman Judea. "The Lord" (through Isaiah) is speaking to King Ahaz, the ruler in Judah around 734-728 BC. The young woman in question is probably a wife or concubine of Ahaz himself, present among the courtiers addressed by the prophet. She is pregnant (clearly so, hence the "Behold!"), and, despite the insistence of Ahaz that he won't "test the Lord", Isaiah is determined to present the woman's imminent birthing as a "sign" from Yahweh. The "sign" is not the miracle of a virgin pregnancy – or even a miracle at all. The "sign" is that the soon-to-be-born son will quickly learn righteousness, will enjoy the favour of the Lord, and that the House of David will prevail.


A more accurate rendering of the text would be:


"Therefore Yahweh himself gives you a sign. Look! The young woman who is pregnant will give birth to a son and she should call his name Immanu'El (Yahweh is with us)."​



But the "sign" that Isaiah has identified in the pregnant maiden is incomplete without the verses that follow:


"Butter and honey shall he eat, that he may know to refuse the evil, and choose the good. For before the child shall know to refuse the evil, and choose the good, the land that thou abhorrest shall be forsaken of both her kings." – Isaiah 7.15-16.​



In other words, before the child eats "butter and honey" and learns to choose good over evil (surely a choice quite unnecessary for Jesus to learn?) Judah's current enemies will be rendered low. The timeframe is not centuries but very short. The political/military crisis caused by the then occurring assault on Judah from Ephraim (the northern kingdom, Israel) and Damascus (Syria) will – says Isaiah – result in their mutual defeat.


vertical.gif

The "prophet" Isaiah is offering reassurance to King Ahaz, given in return for his fidelity to Yahweh.​
Clearly, we are not dealing with any Roman province or a messiah to be born some seven hundred years into the future (and of scant consolation to a king facing imminent defeat!). In fact, the "prophecy" pointed towards Ahaz's own son Hezekiah (728-698 BC) and that is the surest guide that the "sign" was actually concocted during the reign of Hezekiah himself.​
And as it happens, "Hezekiah" is theophoric name, meaning "Strengthened by Yahweh". For some later rabbis Hezekiah fulfilled the messianic hope; for others that hope would be fulfilled by Hezekiah's return.*

In reality, Ahaz did not solely "trust in Yahweh" – he appealed to Assyria and its ruler Tiglath-Pileser, who in 732 BC reduced Judah's enemies, Damascus and Israel. As a result of this "alliance" with a superpower, and to the chagrin of Yahweh's "prophets" like Isaiah, Assyrian gods were introduced into Jerusalem and Judah effectively became a vassal to Assyria.


When Hezekiah inherited the throne a few years later it was at the height of Assyrian expansionism. The early years of his reign witnessed a rebellion by the northern kingdom under Hoshea, which provoked the wrath first of Shalmaneser V and then of his successor Sargon II. As a result, the northern kingdom, based on Samaria, was destroyed in 721 BC and much of its population ("the lost ten tribes") deported.


Though in vassalage to Assyria, Judah gained emigre priests from the north, whose presence at the royal court strengthened the hand of the Yahwehists and prompted religious "reform" and notions of resistance. And indeed, following Sargon's early death, and in collusion with Egypt, Hezekiah found the courage to rebel, and launched attacks against neighbouring Assyrian allies. At this juncture, propaganda highlighting the king's "favour in the eyes of the Lord" became apposite to Judah's very survival and "Isaiah" got to work.


Like all "prophecy" Isaiah's words were written for a contemporary purpose but were dressed in the clothes of a similar, earlier conflict, in this case one thirty years earlier involving Hezekiah's own father. It assuredly had nothing at all to do with the birth of a godman far into the future, in the time of Herod. Also, like all "prophecy" it was worthless. Four years into Hezekiah's rebellion, the Assyrian war machine rolled over Judah, destroying Ashkelon, Joppa, Lachish and trapping the Jewish king "like a bird in a cage". To survive at all, Hezekiah had to forfeit his entire treasury and "strip the gold from the doors of the temple" (2 Kings 18.16). The humiliated king died within three years and both his son Manasseh and grandson Amon ruled as Assyrian vassals.


"With the acknowledgement of Assyrian overlordship, and the attendant recognition of Assyria's gods, the theological foundations of the monarchy – Yahweh's eternal choice of Zion and David – were thrown into question."​
– J. Bright, Peakes Commentary, p489.​



Quite simply, the "prophecy of a virgin birth fulfilled in Jesus", although repeated a million-fold in every nation that ever succumbed to the psychosis of Christianity, is pious rubbish from beginning to end.

ayat hii
IMG_20180912_094935_452.jpg
IMG_20180912_094657_946.jpg
sasa itolee maelezo kama hayo hayo uliyo mtolea EMANUEL
 
ayat hii View attachment 863671View attachment 863672 sasa itolee maelezo kama hayo hayo uliyo mtolea EMANUEL



Born in a Stable?


manger.jpg



Was Jesus born in a stable? Or a barn? Or a cave?


Luke* says only a manger. There was no room for him in the kataluma ("inn" or guest room).


But Joseph supposedly had returned to his ancestral home, "the lineage of David". So the place should have been chock-full with his own relatives. And not one of them would accommodate a heavily pregnant woman? Tut-tut.


The reality is that the story of Jesus is enhanced by the "humble birth".


Early Christians were taken by the idea that he was, in fact, born in a cave. Can you get any more humble than that?


* Matthew, a tad more realistic, says, "And when they had come into the house ..." (2.11).
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki. Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
mkuu sibishani lkn nimejaribu kufuatilia tafsiri kidogo......


'Mpaka alipofika machweo ya jua akaliona linatua katika chemchem iliyovurugika, na pale akawakuta watu, Tukasema: Ewe Dhul-Karnain, Uwaadhibu au uwafanyie wema '

Aya 87. Maneno haya, Akaliona linatua katika chemchem iliyovurugika, yanaonyesha ya kwamba maji yale yalikuwa mapana sana, yaani bahari. hata inakuwa ukisimama pwani wakati wa magharibi jua linaonekana linatua ndani ya bahari. Bahari hiyo inaitwa Bahari nyeusi iliyoko Asia Minor ...

i stand to be corrected......Muhammad hajawah kudanganya....
 
Don't buy it. He's lying.

The Cave


bethlehem-cave.jpg



In the 4th century construction of the Christian dreamscape a church was built over a conveniently located cave in Bethlehem – over, that is, a cave previously consecrated to the worship of Adonis-Tammuz (Lord Tammuz).


A grander version of the church was built by emperor Justinian and much of it remains today, still featuring "the cave of the nativity".
 
Kashindwa hoja baba yake baada ya vitisho, mikwala, kuwatumainisha watu, ahadi hewa za kungono sardaus, kutembeza jambia...Akashindwa na watu wakaendelea kushahadia "HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA YESU NA PAULO MTUME WAKE " baba yake kassim akamwaga povu akaanza kughani View attachment 863582 itakuwa wewe gavana na vimstari vyako vya kuunga unga jioni unarudi kulala kilingeni


Kuwaomba wafu

Hii vile vile ni ibada ya msingi katika Ukristo, ambayo hudhirika pale dini hiyo (ya Kikristo) inapowafundisha waumini wake kutumia sehemu ya sala zao kuwaomba watakatifu wao waliokufa! Kwa mfano, Wakristo wanayo sala maalum ya kumwomba Bikira Mariamu ambaye inafahamika wazi kuwa mtu huyo kishakufa tokea zamani. Mfano wa sala yao hiyo ni kama ile wasemayo:

"Kumbuka, ee Bikira Maria mpole sana, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, aliyeomba msaada na maombezi yako. Kwa matumaini hayo, nakukimbilia, ee Mama, Mkuu wa mabikira, Ninakuja kwako, nasimama mbele yako nikilalamika mimi mkosefu, ewe mama wa Neno wa Mungu. Naomba usikatae maneno yangu, bali uyasikilize. Amina. Tunakimbilia ulinzi wako, mzazi mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukikuomba katika shida zetu; utuokoe siku zote kila tuingiapo hatarini, ewe Bikira mtukufu mwenye baraka. Amina".(Tazama Chuo kidogo cha sala na nyimbo uk. 34).

Sambamba na sala hiyo, Wakristo pia wanayo sala maalum ya kumwomba mtakatifu Yosefu (Saint Joseph) ambaye naye pia ni mfu. Kupitia sala hiyo, wanamwomba Yosefu kama ifuatavyo:

"Ee Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya mchumba wako mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako...". (Chuo kidogo cha sala na nyimbo uk. 37)

Kwa uchache haya ni baadhi tu ya maombi katika dini ya Kikristo ambayo wafuasi wake (Wakristo) huwaomba wafu.

Na yapo maombi mengi ambayo Wakristo huyatumia kuwaomba watakatifu wao wengi waliokufa, kama vile Petro (Saint Peter), Bernard (Saint Bernard) na kadhalika.

Ibada hii vile vile kama nyingine nilizozibainisha hapo awali, Yehova amewakemea vikali wanadamu kuzitenda kwa kuwa hazitokani na Yeye bali zinatokana na watu wa mataifa yaani wapagani.

Wakristo kuzitenda ibada hizi ni uthibitisho wa wazi kwamba hawamwabudu Yehova, Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wake wengine wote aliowatuma duniani.

Kinyume chake wanatenda ibada za dini ya mungu-mtu ya Kikristo.
 
Nafikir sasa umeishiwa hoja umeamua urudie rudie na kujitoa akili haya yote tulishakujibu kijana ila kwavile ww akili yako ni yakuku wacha tukutwange tena
1.Muhammad had sex with dead woman and mam , tena unarejea hadith ya sahih muslim book 38.hadith no 6678 , humo kumetajwa neno SLEPT Wewe unasema SEX huu tunaita ni utahira halafu unajifanza mjuzi wa kiarabu neno lililotumika ni ID'TAJAT maana yake ni LIE DOWN au LIE sasa vichekesho ww unakuja na kutoa tafsiri yako ya Vatican eti"lay down to have sex" ahahahahhahaha hayo maneno to have sex umeyaokota wap ?
2.Quran 9:73 unasema mambo ya Harsh punishment , tena ili kutetea hoja yako ukatoa hadith ikiwemo hii ya sahihi al bukhari book 52 hadith 261 kwamba mtume ni katili sasa mbona hiyo hadith ilitoa sababu ya hao watu kuuawa na adhabu kali , ukisoma hadith hiyo hiyo mwishoni inasema hivi (Abu Qilaba,as sub -narrator said"They committed Murder and theft and fought against Allah and His Apostle , and spread evil in the land". hiyo ndio sababu ya kupewa adhabu stahiki , mbona hata kwenye biblia watu wanaosababisha madhambi wanauliwa tu
MFANO kama huu utakufaaaaaa
HESABU 31:16-17
16"" Tazama, hawa ndio waliokosesha wana wa Israel , kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana DHAMBI katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana"
17" Basi kwa ajili hiyo, MWUENI, kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume, kwa kulala pamoja nae";
nafikir umeelewa tena mpaka vitoto vinauliwa ww unashangaa mtume kuua hao vijana lakini ya watoto unachekelea ahahhahahhahaha
3.Umezungumzia swafan na aisha kuzini
kijana huo ni uzushi kama uzushi mwingine Mungu ameeka taratibu za kufaatwa ili mtu awe na hatia nayo ni hii
Quran 24:11-16
";Kwanini hawakuleta mashahidi wanne? na ilivyokuwa hawakuleta mashahidi wanne basi hao mbele ya Mwenyezi Mungu ni waongo;"
Mungu amemaliza kazi kama unaweza thibitisha popote ata gazeti la udaku kuwa mashahidi wanne walikamilika ili aisha awe amezini basi nakukalibisha ulilete yakheeeee

Kama hutaki nirudie rudie na wewe kuanzia Leo usirudie rudie kuelekeza uso wako kibla ila badilisha elekeza makalio yako kibla kitu ya ushoga, kumuingilia maiti,
IMG_20180825_171214_686.jpg
na aisha kushughulikiwa na Swafan iko wazi
IMG_20180912_104701_027.jpg
tapatalk_1535957798748.jpeg
IMG_20180903_064748_760.jpg
hadith hii ya muhammad amejichanganya dhidi ya ili wapatikane Mashahidi.4 kuthibitisha uzinzi
IMG_20180825_210146_743.jpg
nakuongeza na hii kwamba alikuwa mtukanaji sanaà kwa wale walio kuwa wanampinga
IMG_20180825_214007_827.jpg
 
Nafikir sasa umeishiwa hoja umeamua urudie rudie na kujitoa akili haya yote tulishakujibu kijana ila kwavile ww akili yako ni yakuku wacha tukutwange tena
1.Muhammad had sex with dead woman and mam , tena unarejea hadith ya sahih muslim book 38.hadith no 6678 , humo kumetajwa neno SLEPT Wewe unasema SEX huu tunaita ni utahira halafu unajifanza mjuzi wa kiarabu neno lililotumika ni ID'TAJAT maana yake ni LIE DOWN au LIE sasa vichekesho ww unakuja na kutoa tafsiri yako ya Vatican eti"lay down to have sex" ahahahahhahaha hayo maneno to have sex umeyaokota wap ?
2.Quran 9:73 unasema mambo ya Harsh punishment , tena ili kutetea hoja yako ukatoa hadith ikiwemo hii ya sahihi al bukhari book 52 hadith 261 kwamba mtume ni katili sasa mbona hiyo hadith ilitoa sababu ya hao watu kuuawa na adhabu kali , ukisoma hadith hiyo hiyo mwishoni inasema hivi (Abu Qilaba,as sub -narrator said"They committed Murder and theft and fought against Allah and His Apostle , and spread evil in the land". hiyo ndio sababu ya kupewa adhabu stahiki , mbona hata kwenye biblia watu wanaosababisha madhambi wanauliwa tu
MFANO kama huu utakufaaaaaa
HESABU 31:16-17
16"" Tazama, hawa ndio waliokosesha wana wa Israel , kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana DHAMBI katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana"
17" Basi kwa ajili hiyo, MWUENI, kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume, kwa kulala pamoja nae";
nafikir umeelewa tena mpaka vitoto vinauliwa ww unashangaa mtume kuua hao vijana lakini ya watoto unachekelea ahahhahahhahaha
3.Umezungumzia swafan na aisha kuzini
kijana huo ni uzushi kama uzushi mwingine Mungu ameeka taratibu za kufaatwa ili mtu awe na hatia nayo ni hii
Quran 24:11-16
";Kwanini hawakuleta mashahidi wanne? na ilivyokuwa hawakuleta mashahidi wanne basi hao mbele ya Mwenyezi Mungu ni waongo;"
Mungu amemaliza kazi kama unaweza thibitisha popote ata gazeti la udaku kuwa mashahidi wanne walikamilika ili aisha awe amezini basi nakukalibisha ulilete yakheeeee

Umeishiwa majibu unachotetea hapo sikioni wakati baba yake kassim ameyafanya hayo yoote kwa hiyari yake mwenyewe na raha zake na yeye amefanyiziwa acha avune alicho kipanda
IMG_20180912_111003_386.jpg
The%20life%20of%20muhammad.jpg
 
Kuwaomba wafu

Hii vile vile ni ibada ya msingi katika Ukristo, ambayo hudhirika pale dini hiyo (ya Kikristo) inapowafundisha waumini wake kutumia sehemu ya sala zao kuwaomba watakatifu wao waliokufa! Kwa mfano, Wakristo wanayo sala maalum ya kumwomba Bikira Mariamu ambaye inafahamika wazi kuwa mtu huyo kishakufa tokea zamani. Mfano wa sala yao hiyo ni kama ile wasemayo:

"Kumbuka, ee Bikira Maria mpole sana, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, aliyeomba msaada na maombezi yako. Kwa matumaini hayo, nakukimbilia, ee Mama, Mkuu wa mabikira, Ninakuja kwako, nasimama mbele yako nikilalamika mimi mkosefu, ewe mama wa Neno wa Mungu. Naomba usikatae maneno yangu, bali uyasikilize. Amina. Tunakimbilia ulinzi wako, mzazi mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukikuomba katika shida zetu; utuokoe siku zote kila tuingiapo hatarini, ewe Bikira mtukufu mwenye baraka. Amina".(Tazama Chuo kidogo cha sala na nyimbo uk. 34).

Sambamba na sala hiyo, Wakristo pia wanayo sala maalum ya kumwomba mtakatifu Yosefu (Saint Joseph) ambaye naye pia ni mfu. Kupitia sala hiyo, wanamwomba Yosefu kama ifuatavyo:

"Ee Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya mchumba wako mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako...". (Chuo kidogo cha sala na nyimbo uk. 37)

Kwa uchache haya ni baadhi tu ya maombi katika dini ya Kikristo ambayo wafuasi wake (Wakristo) huwaomba wafu.

Na yapo maombi mengi ambayo Wakristo huyatumia kuwaomba watakatifu wao wengi waliokufa, kama vile Petro (Saint Peter), Bernard (Saint Bernard) na kadhalika.

Ibada hii vile vile kama nyingine nilizozibainisha hapo awali, Yehova amewakemea vikali wanadamu kuzitenda kwa kuwa hazitokani na Yeye bali zinatokana na watu wa mataifa yaani wapagani.

Wakristo kuzitenda ibada hizi ni uthibitisho wa wazi kwamba hawamwabudu Yehova, Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wake wengine wote aliowatuma duniani.

Kinyume chake wanatenda ibada za dini ya mungu-mtu ya Kikristo.
Kisla kisla haki ya Mungu sikubishii umepatia karibu Italia nyau nyau nyauuu...
 
Mi nazani hapa ni suala la muda sizani kama utafiti juu ya jua kuizunguka dunia ama dunia kuzunguka jua limeshafungwa na kuthibitishwa na wanasayansi wengi..kutokana na hili bas pia naamin wapo wanasayansi wengine watatuletea habari mpya juu ya jua na dunia...
 
1. Mohammad kupitia Koran yake anasema kila taifa lina mesenja wake. Na yeye ni mesenja wa waarabu peke yao. Tena wanaozungumza Kiarabu wa pale Mecca tu.

Si allah wala Mohammad waliowahi kusema kua wamekuja kwa ajili ya dunia au kwa ajili ya wana wa Israeli.

Mohammad Hakua na mafunzo yoyote ya rohoni. Pia hakumjua Yesu kristo Kama tunavyoona si yeye wala allah wake waliokua wanaelewa mysterious ya Holy Trinity. Na mohammad amekufa ana dhambi.

2. Neno la Muda kuhusu Tohara ya Moyo lina unabii kuhusiana na Kristo Yesu mwenyewe based on crimson thread(Redemption analogy) au typology

3. Kuran kutaja kumtambua Yesu Kristo. Hakuna maana yoyote kwa sababu Matendi ya Uislamu na Amri za Yesu Haziendani.


4. Ni kweli Roho wa Mungu alikuwepi na alimtabiria Kristo. Lakini anapaswa kukaa ndani ya wanadamu. Emanuel(God with Us).

Yohana 14:17
ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa HAUMWONI wala HAUMTAMBUI; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, NAYE ndani yenu

Hapa hatuongei based on personal opinion. Hapa tunaongea vitu kwa ushahidi tu. Kwani hapa ndiyo sehemu ya kujifunza. Sasa kila mmoja ni vyema aweke personal opinion pembeni na alete facts tu. Jenga hoja kwa maandiko ya either Biblia ambayo ndiyo kitabu chako au Quran ambacho ndiyo kitabu chetu tukufu. Sisi tunakupeni facts katika maandiko ya Biblia yenu. Hatutoi kichwani mwetu. Tunawapa reference ya Bible katika kila neno tusemalo. Hatusemi opinion zetu bali maandiko yenu. Sasa kama wewe unasema Prophet Muhammad ni mtu huyo umsemae wewe basi tupe ushahidi katika maandiko yetu. Kama huna ushahidi huo basi hizo opinion zako hazina tija kwani unazijenga kwa chuki ambayo haitakusaidia kitu wewe wala msomaji. Unaonekana mtu unayeongea upuuzi.

Sasa wacha nikufanilie upuuzi uliosema kama ifuatavyo;

Kwenye Quran kuna sehemu nyingi tu zinazosema kuwa Prophet Muhammad amekuja kwa ajili ya Whole MANKIND. Sio waarabu peke yao kama usemavyo wewe bila ushahidi wowote. Baadhi ya reference chache ni kama ifuatavyo; Soma hapo chini

Chapter 25 Verse 1
1. “Blessed is He Who sent down the Furqan (The Distinction of right and wrong) upon His servant that he may be a Warner to the worlds;”

see Qur’an 7:158:-
Say, [O Muhammad], “O mankind, indeed I am the Messenger of Allah to you all, [from Him] to whom belongs the dominion of the heavens and the earth. There is no deity except Him; He gives life and causes death.” So believe in Allah and His Messenger, the unlettered prophet, who believes in Allah and His words, and follow him that you may be guided.

Also, Qur’an 21:107
And We have not sent you, [O Muhammad], except as a mercy to the worlds.

Kiarabu ni lugha iliyochaguliwa na Mungu kuwa itumike katika Quran. Na hiyo ndiyo Lugha utakayoongea wewe baada ya kufufuliwa. Leo makabila ya kila aina waislamu wanasoma Quran kwa kiarabu fasaha ingawaje wao sio waarabu. Hiyo ni ishara pekee kuwa Quran haikuja kwa waarabu. Kwani Original Bible ilikuwa imeandikwa Lugha Gani???? Kiswahili???? Mbona wewe unaifuata.

Hiyo TRINITY imetajwa kwa jamano kwenye Quran. Kwani kuna Dini nyingine zaidi ya Ukiristo iliyokuwa na na Doctrine ya TRINITY??? Nitajie kama unajua hiyo dini. Soma reference hiyo

Quran 4:171
O People of the Scripture, do not commit excess in your religion or say about Allah except the truth. The Messiah, Jesus, the son of Mary, was but a messenger of Allah and His word which He directed to Mary and a soul [created at a command] from Him. So believe in Allah and His messengers. And do not say, "Three"; desist - it is better for you. Indeed, Allah is but one God. Exalted is He above having a son. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. And sufficient is Allah as Disposer of affairs.

People of the Scripture ndiyo nyingi munayejiita Wakiristo. Endelea kusoma hapa

Quran 5:73
They have certainly disbelieved who say, " Allah is the third of three." And there is no god except one God. And if they do not desist from what they are saying, there will surely afflict the disbelievers among them a painful punishment.

Hiyo inamaana nyinyi mupo katika Kundi la watu Musioamini. Hiyo Chapter mwishoni inaendelea kwa kusema;

Quran 5:116
And [beware the Day] when Allah will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allah ?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.

Na YESU atajibu kwa kusema yafuatayo;

Quran 5:117
I said not to them except what You commanded me - to worship Allah, my Lord and your Lord. And I was a witness over them as long as I was among them; but when You took me up, You were the Observer over them, and You are, over all things, Witness.

Quran imezungumzia vya kutosha kuhusiana na nyinyi kumshirikisha MUNGU kupitia TRINITY DOCTRINE muliyoipandikiza. Vipi wewe unasema Quran haikuzungumzia TRINITY??? Hujui Quran, basi isome kama sisi tunavyosoma BIBLE Yenu.

Elewa kuwa Mitume yote imetii AMRI ya MUNGU na wote karibia walikuwa na matendo yanayofanana. Umesema pia Matendo ya YESU na Amri za Islam haziendani. Hebu tutazame nani Kati yenu nyinyi na Waislamu wanayotenda aliyotenda YESU;

1. Waislam Hawali Nguruwe, YESU pia haraka Nguruwe. YESU ni kama waislamu. Nyinyi munakula Nguruwe, nyinyi hamumfuati YESU.

2. Muslims are all Circumcised when still babies and So is Jesus. Gospel of Luke, which states in verse 2:21 that Jesus was circumcised eight days after his birth. Nyinyi wakiristo unatembea na Magovi yangu. Hamumfuati YESU.

3. Jesus greet "PEACE BE UPON YOU" au kwa kiswahili "AMANI IWE JUU YENU" ambayo ni sawa na Maamkizi ya Kiislam "SALAAM ALAIKUM", maana yake ni SALAM IWE JUU YENU. Tazama reference hizo;

"And as they were still talking about this, Jesus himself stood in the midst of them, and saith unto them, Peace be unto you." - New Testament (Luke 24:36)

"And into whatsoever house ye enter, first say, Peace be to this house." - New Testament (Luke 10:5)

"On the evening of that first day of the week, when the disciples were together, with the doors locked for fear of the Jews, Jesus came and stood among them and said, "Peace be with you!" - New Testament (John 20:19)

YESU alikuwa MUISLAM na kaishi kama WAISLAM wanavyoishi. Maisha ya YESU yanashabihiana na maisha ya WAISLAMU. Huo uthibitisho nimekupa kuwa YESU na WAISLAMU ni kitu kimoja. Nyinyi wakiristo hamupaswi kujiita wafuasi wa Yesu kwani hamumfuati hata kidogo. Pia nimekupa uthibitisho kuwa QURAN na Mtume Muhammad amzungumzia Yesu Mara nyingi tu. Wewe umeleta CLAIM za uwongo ambao hakutakiwi hapa.
 
Yesu alikua anaonyesha ni Jinsi Gani nguvu ya Imani inavyoweza kukupa wokovu mbele zake. Kama ya yule mwanamke mkanaani. Na kwamba Yeyote mwenye Imani. Bila kujali wa Taifa, Rangi anapata wokovu. Yaani hakuna myunani wala myahudi wala mkanaani wote wanaokolewa kwa Imani.

Hayo majibu yako hayaendani na maelezo yangu. Nimekupatia Quotes za Bible za YESU kusema kuwa YEYE ameletwa kwa ajili ya wana wa ISRAEL pekee. Sasa wewe mbona unajibu upuuzi???
Kwa ukumbusho tu; soma nilichokuandikia awali kisha linganisha na jibu lako. Ni vitu viwili havifanani.

Matthew 15:22-28 New International Version (NIV)

22 A Canaanite woman from that vicinity came to him, crying out, “Lord, Son of David, have mercy on me! My daughter is demon-possessed and suffering terribly.”
23 Jesus did not answer a word. So his disciples came to him and urged him, “Send her away, for she keeps crying out after us.”
24 He answered, “I was sent only to the lost sheep of Israel.”

Sijui unajua maana ya "ONLY"??? Umeleta maneno mengi trying to justify kuwa Yesu ameletwa kwa ulimwengu mzima. Let us stick to the Bible words and not translate information different from its meaning.

Clearly BIBLE is CONTRADICTING. It's undeniable.
 
Kisla kisla haki ya Mungu sikubishii umepatia karibu Italia nyau nyau nyauuu...


Tulia Padri kama uko chumbani kwa askofu wako, daawa ikuingie usirushe vichwa

Kuabudu Sanamu

Hii pia ni ibada ya msingi katika dini ya Kikristo ambapo sala za waumini wake (Wakristo) huwa hazitimii bila ya kuomba na kuabudu sanamu. Masanamu yanayohusishwa zaidi katika ibada hizo ni pamoja na sanamu la mungu-mtu Yesu wa Kikristo akiwa amebebwa na mama yake na kwenye sanamu lingine akiwa amekufa msalabani, sanamu la "Bikira Maria", sanamu la malaika na masanamu mengine mengi ya watakatifu wa Kikristo waliokufa!

Kama maandiko ya Biblia tukufu yafundishavyo, ibada hii (ya sanamu) ifanywayo na Wakristo, kiasili imetokana na watu wa mataifa (wapagani). Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maandiko yafuatayo:

"Bali walijichanganya na mataifa, wakajifunza matendo yao. Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao". (Zaburi 106:35-36).

Kwa uchache, maandiko hayo juu yanathibitisha wazi kuwa waasisi na wahusika wakuu wa ibada hiyo (ya sanamu) ni watu wa mataifa, yaani wapagani.

Sambamba na ukweli huo, Biblia haikuacha pia kubainisha jinsi Yehova alivyowakemea wanadamu tangu mapema kujaribu kuchonga (kufanya) na kuabudu sanamu, kama ifuatavyo:

"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao". (Kumbukumbu la Torati 5:8-9).

Katika maandiko hayo juu, tunaona wazi jinsi Yehova anavyowakataza wanadamu kuchonga na kuabudu sanamu ya aina yoyote. Makemeo hayo juu ya Yehova ndio yanayosimamisha amri yake kuu ya pili kati ya amri zake zile kuu kumi ndani ya Biblia tukufu alizowapa wanadamu.

Ingawa alidhamiria kumhubiri Mungu mtu wa dini yake ya Kikristo mwenye desturi na sifa za miungu-watu ya wapagani, lakini Bwana Paulo hakuikubali ibada ya sanamu (tazama Wagalatia 5:19).

Hata hivyo, kwa kule kuwawekea Wakristo msingi wa kuzipenda na kuzifuata kwa moyo mkunjufu, imani na ibada za kipagani kamwe hawezi kukwepa dhima kutokana na leo ibada hiyo (ya sanamu) kujaa tele na kujizika mizizi katika dini yake ya Kikristo.

Kwa ujumla, ibada hiyo (sanamu) iliyomo katika dini ya Kikristo ni ibada inayotokana na dini ya kipagani ambayo (kama tulivyoona hapo awali) Yehova amewakataza vikali wanadamu kuitenda.

Kwa hali hiyo, ni dhahiri kuwa Wakristo kutenda ibada hiyo ni uthibitisho wa wazi kwamba hawamwabudu Yehova, Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Musa, Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wake wengine wote aliowatuma duniani (a.s.), kwa kuwa ibada hiyo haitokani na yeye (Yehova).
 
Umeishiwa majibu unachotetea hapo sikioni wakati baba yake kassim ameyafanya hayo yoote kwa hiyari yake mwenyewe na raha zake na yeye amefanyiziwa acha avune alicho kipanda View attachment 863760 View attachment 863762


Unataka tuingie tukujibu namna Yesu alivyokamatwa kule kwnye vichaka vya Gesthemane ili uzi ufungwe lakini hapa utapata daawa tuuuuu.

yesu alipokuwa akisujudu hivi alikuelekezea wewe makalio ???



1536754248394.png
 
Sijui kama mnaona tofauti waislam wanatoa refereemce za maandiko wakrsito wanaleta reference za watu na mafundishi ya kanisa wanayakimbia maandiko..!

Kwa taarifa yenu kimakadirio kila siku vitabu viwili vinaandikwa kuupinga uislam na muhamamad kwanza ni biashara nzuri ulaya pili wanataka wasioujua uislam wauchukie uislam so unapoleta vitu ambavyo we unaona landa vinachafua Muhhamad sababu mnadhan msingi wetu wa aiman upo kwa muhhamad kama nyinyi ulivyo kwa yesu sisi Muhhamad ni mtume tu na hakuna lingine nyie mnakuwa sio wa kwanza na mnafanya hivyo akichafuka muhamad unachafuka uislam lakin hamuwez kuhangaika na uislam wala mafundisho ya muhammad hamuwez kuya attack sababu ni mafundisho bora na mengi yameendana hata kwenye iman yenu so kimbilio lenu la kuu ili kuuchafua uislam ni kumchafua muhammad...

Muhammad kachafuliwa tangu akiwa hai kapigwa had mawe katika mji wa twaifu kaitwa mchawi, msoma mashairi vitu vyote kafanyiwa akiwa hai hta yeye alisema "uislam umenifanya nimekuwa dhalili sana nilikuwa nina sura nzuri leo uso una makovu sababu ya dini nilikuwa mtu ninaependwa na kuaminiwa hapa makka na watu walinipa amana zao niwashikie ila siku nilipokuwa mtume na kuanza kutangaza uislam nilikuwa ndio mtu mbaya kuliko wote" so nyie mnafanya marudio na bado uislam umeendela kukua kwa kasi duniani na leo tupo 1.8B...pamoja na kuchafuliwa kote huko.!

Ndio maana huwez kukuta musilam anatumia referenae yoyote tofauti na zilizopo kwenye bible na quran kusema juu ya yesu na sio kama hamna zipo wayahud wanaamin Yesu ni mtoto wa Zinaa lakin waislam hatuwez kusema hivyo vipo vitabu vingi juu ya yesu wengine wa yesu alioa na akazaa watoto wawili vipo vitabu vinasema alikuwa na mdogo wake wengine wamesema jesus alitoke Misri na maria magdalena alikuwa demu wake na kama unasoma sana vitabu vya kihistoria vitabu hivyo utakuwa umeviona na wanao andika sio waislam...huwez kumkuta muislam anaejua uislam anamsema Yesu vibaya hata humu limajidhirisha hilo ila nyie sababu mmeshalishwa sumu kuwa muhammad ni mtu wa hovyo na alikuja kumpinga Yesu mnajikuta hamuoni shida kusema muhammad ni shoga,alitomba maiti,alifira watu hivi hamjiulizi inaama sisi ni wajinga kiasi hicho kumfata mtu mashenz kiasi hicho hamjiulizi hamfikirii au mnadhan hatujui hizo story ambazo mnazipost hapa juu muhammad..!

Ndio maana leo baada ya maendeleo ya kimasiliano kuendelea wazungu wanaanza kuusoma uslam halisi nje ya ule wanaoujua kuwa ni Dini inamkandamiza mwanamke,dini ya wauwaji na mambo mengine mengi...ndio maan leo uislam unaenda kwa kasi ulaya na amerika sababu wanasoma sasa vitu sahihi makanisa yanabadilishwa kuwa misikiti sasa ulaya na na amerika pamoja na matusi yote na shutuma zote unazopewa uislam bado ndio dini inayoenea kwa kasi duniani..!

Bado naawambia ndugu zangu huenda mkapuuzia huu ujumbe ila jitafakarini mnapenda sana yesu ila mengi mnayoyafanya hajawaaagizaa na infomation mlizonazo juu ya uislam ni za watu wenye malengo ya kiprpopaganga na mafundusho ya makanisa na ni vitu ambavyo havina ushahidi vikihojiwa.!

Hakuna dini inge survive kwa attacks zinakutana nazo uislam na Allah aliwaweza kwenye kushindwa kwako kuibadili Quran sababu imeandikwa kwa ufundi wa hali ya juu na mapangilio sio wa kiuwezo wa kibinadamu na nduo maana Allah amesema kwenye Quran mnasema muhamad kaindika hii Quran basi leten mfano kitabu kama hiki, sehem nyigine akasema leten mfano wa sura moja na sehem nyigine akasema leten mfano wa aya moja...unaweza kuona ni zoez rahisi sababu haujui structure ya Quran ilivyopangwa kimahesabu kiasi kwamba ukitoa herufi moja umeharibu Quran yote...kuna siku ntawapa lecture ya Quran in numbers.. Wallah ukiijua hiyo hutainagalia Quran kama kitabu tu cha kawaida ndio maana tunakiita muujiza unaoish sema nyie wenzetu mnasoma kama gazeti au bible.!

Na sii kwamba hawajawahi kujaribu wamejarinu wamefail sabubu wakati dunia ipo kwenye kipindi cha leterature Quran ndio ilikuwa kitabu namba moja ulimwengun na mabingwa wa literature wamekiri hili na leo dunia ipo kwenye sayans na teknolijia bado Quran inaaishi na wakti uliopo sasa wapungufu watu wanajaribu kuyaleta ni madhaifu yao ya kitafsiri na wala sio kosa la Quran.!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom