2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,059
Yaani ni shida.Huyu haelewi hata aliposimamia wapi, mradi anabisha kubisha tu.
Hata anachobisha hakijui, hajui anabishaje, kwa sababu gani, kivipi, wapi, kwa mantiki gani.
Anabisha tu.
Hajui hata anapokubali na anapokataa, anakubali, halafu baada ya kukubali, anabisha tena alichokubali.
Anabisha mpaka anabisha hata kwamba anabisha!