ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,907
Ndugu yangu mtulia,
Najua hujatulia ila utatulizwa tu.
Mwaka 2015 tulikuchagua uwe mbunge wetu kwa mbwembwe.Tulikutuma kwa lengo moja tu.Uende kusimamia serikali ni kusimamia maslahi yetu.Jimbo letu la kinondoni lina changamoto nyingi sana na tangu tukuchague hatujawahi kukusikia ukizisemea changamoto hizo.Zaidi umekuwa ukitoa futari za kichoyo na wengi tuliokuwa tukifika kwenye hizo futari tulikuwa hatushibi.
Ndugu yangu mtulia,bado hospitali zetu na zahanati zina changamoto nyingi sana,rushwa,ukosefu wa madawa,ukosefu wa wahudumu na mbaya zaidi ni mazingira magumu ya kutolea huduma.
Mtulia,kama hujui hata ile miradi ya barabara ambayo ilikuwa inafanyika taratibu ilidorora zaidi,huku barabara zikijengwa chini ya kiwango na wewe mbunge wetu upo tu.Tulipofuatilia ukadai eti pesa hazitoshi.
Sisi wanakinondni tunaumia sana tunapoona ndugu zetu bado wanakosa madawati ya kukaa shuleni pamoja na kwamba tunalipa kodi kubwa sana.Hivi wewe bungeni ulifuata ruzuku ama ulienda kutulia kama jina lako lilivyo.
Miaka miwili ikapita halafu bila aibu ukajiuzulu tena bila kutoa sababu za maana.Tukarudia kukuuliza sbb hukusema.Ila sasa kiroja ni kwamba tumerudia uchaguzi na wewe unataka tukuchague tena.
Nikuulize wewe Mtulia ulisahau nini kinondoni?Hizo pesa walizokupa hao CCM hazitoshi?Kwa akili zako unafikiri sisi ni wajinga tukuchague tena msaliti wewe.Hebu jitazame halafu ujifikirie una lipi jipya?
Ushauri wangu kwako ni huu,kuepuka aibu ya kunyimwa kura hata na michepuko yako nakushauri tu ujitoe kwenye uchaguzi,ila kama unataka twende tukutani kwenye sanduku la kura.Usidanganywe kuwa watakuibia kura..Hakuna hata mwana ccm mmoja anayekuunga mkon.Wanakutazama tu kwa dharu halafu wanasema "PUMBAV"
Najua hujatulia ila utatulizwa tu.
Mwaka 2015 tulikuchagua uwe mbunge wetu kwa mbwembwe.Tulikutuma kwa lengo moja tu.Uende kusimamia serikali ni kusimamia maslahi yetu.Jimbo letu la kinondoni lina changamoto nyingi sana na tangu tukuchague hatujawahi kukusikia ukizisemea changamoto hizo.Zaidi umekuwa ukitoa futari za kichoyo na wengi tuliokuwa tukifika kwenye hizo futari tulikuwa hatushibi.
Ndugu yangu mtulia,bado hospitali zetu na zahanati zina changamoto nyingi sana,rushwa,ukosefu wa madawa,ukosefu wa wahudumu na mbaya zaidi ni mazingira magumu ya kutolea huduma.
Mtulia,kama hujui hata ile miradi ya barabara ambayo ilikuwa inafanyika taratibu ilidorora zaidi,huku barabara zikijengwa chini ya kiwango na wewe mbunge wetu upo tu.Tulipofuatilia ukadai eti pesa hazitoshi.
Sisi wanakinondni tunaumia sana tunapoona ndugu zetu bado wanakosa madawati ya kukaa shuleni pamoja na kwamba tunalipa kodi kubwa sana.Hivi wewe bungeni ulifuata ruzuku ama ulienda kutulia kama jina lako lilivyo.
Miaka miwili ikapita halafu bila aibu ukajiuzulu tena bila kutoa sababu za maana.Tukarudia kukuuliza sbb hukusema.Ila sasa kiroja ni kwamba tumerudia uchaguzi na wewe unataka tukuchague tena.
Nikuulize wewe Mtulia ulisahau nini kinondoni?Hizo pesa walizokupa hao CCM hazitoshi?Kwa akili zako unafikiri sisi ni wajinga tukuchague tena msaliti wewe.Hebu jitazame halafu ujifikirie una lipi jipya?
Ushauri wangu kwako ni huu,kuepuka aibu ya kunyimwa kura hata na michepuko yako nakushauri tu ujitoe kwenye uchaguzi,ila kama unataka twende tukutani kwenye sanduku la kura.Usidanganywe kuwa watakuibia kura..Hakuna hata mwana ccm mmoja anayekuunga mkon.Wanakutazama tu kwa dharu halafu wanasema "PUMBAV"