SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Yaani hapo ndo tutajua kwa wakazi wa Kinondoni, akili kubwa na ndogo, mtu anaacha kazi kwa makusudi halafu anataka tena..?
Yaani hapo ndo tutajua kwa wakazi wa Kinondoni, akili kubwa na ndogo, mtu anaacha kazi kwa makusudi halafu anataka tena..?
Ana namba ya simu ya mhe rais.Atatoa wapi
Andika vizur ueleweke wewe na kiherehere kama mshipa mbele upo nyuma upo. Kazi za pesa za ruzuku ni kununulia magari ya taka? Muulizeni huyo mtulia amesahau nini kwenye ubunge?Eeeeeeh
Chadema hawakumgawia pesa za sijui ruzuku sijui za nini wanazopewa.. aendeleze majimbo ha ha haaaa
Na zake za kuendeleza jimbo itakuwa alitumia kwa mengine jimboni
Sasa atazipata na kuendeleza
Napita bye
DuuuuuItapendeza hayo magari yakianza kum'beba yeye mwenyewe.
Andika vizur ueleweke wewe na kiherehere kama mshipa mbele upo nyuma upo. Kazi za pesa za ruzuku ni kununulia magari ya taka? Muulizeni huyo mtulia amesahau nini kwenye ubunge?
Itapendeza hayo magari yakianza kum'beba yeye mwenyewe.
Hahaha.ngona nishie NAPE.MENGINE ni makosa ya walimu wa inshaUnajuwa wapi milembe?
Wewe soma eti niandike muzuri.. halafu wewe jibu ya nimeandika..eeeeeeeh
wacha kupenda muteremko.. fikira nje ya boksi huwezi weye.. eeeeh bomu