Mtukufu mimi ni kati ya wale shetani wako nisikilize japo kidogo

Rk10

JF-Expert Member
Apr 6, 2015
1,216
1,368
1. Mtukufu najua unajiamini na kufurahi sana kwa kubana uchumi ila ujui unatengeneza chuki, umaskini, majambazi, wajinga na kadharika, tambua kuwa hali ikiwa ngumu sana hata nyie mnaopata keki ya serikali hamtaweza kuitumia maana majambazi wataishia kuwaua.

2. Umewanyima waliosoma Sanaa ajira, umetengeneza kundi kubwa sana la watu wanaoshinda mtandaoni na kuuchambua uongozi wako na we hupendi kukosolewa mtukufu.
3. Wanafunzi wengi wamekosa mkopo tunao mtaani na wamepitia jeshi, hapo ndo patamu maana hawa ndo watageuka majambazi wenye mafunzo.

4. Wazazi wanachuki na wewe sana maana watoto wao umewanyima mkopo na wengine hujawapa ajira, patamu hapooo!!!
5. Madreva wanapigwa faini kila baada ya kilometa moja ilimradi vijana wako wakusanye kodi ya kukuridhisha wewe.
6. Walimu wanafundisha ili mladi siku ziende ila maandalio na silabasi vunaisha mapema sana. Patamu hapooo!!!

Mengine mtaongeza wanajamvi.

Onyo langu kwako acha jeuri umma unanguvu sana ukichoka na ukaamua kuzitafuta haki zao utaumia.

Najua hauna nguvu za kupigana ila unajivunia askali na jeshi.

Nikukumbushe kuwa hao askali na familia zao wanaishi mtaani umeshindwa kuwasitili. Fikiria watakulinda wewe au wake na watoto wao?

Pia hao makamanda wako familia zao wako huku wanaangaika kama sisi fikilia watakulinda wewe au watalinda mama zao na baba zao. Fikiri Mara mbilimbili ingawa najua umezaliwa kwenye mikoa ya wapenda sifa.

Ukipitia hapa ukanielewa nipe hata like kwa kukumbusha umejisahau sana mtukufu wangu.
 
1. Mtukufu najua unajiamini na kufurahi sana kwa kubana uchumi ila ujui unatengeneza chuki, umaskini, majambazi, wajinga na kadharika, tambua kuwa hali ikiwa ngumu sana hata nyie mnaopata keki ya serikali hamtaweza kuitumia maana majambazi wataishia kuwaua.

2. Umewanyima waliosoma Sanaa ajira, umetengeneza kundi kubwa sana la watu wanaoshinda mtandaoni na kuuchambua uongozi wako na we hupendi kukosolewa mtukufu.
3. Wanafunzi wengi wamekosa mkopo tunao mtaani na wamepitia jeshi, hapo ndo patamu maana hawa ndo watageuka majambazi wenye mafunzo.

4. Wazazi wanachuki na wewe sana maana watoto wao umewanyima mkopo na wengine hujawapa ajira, patamu hapooo!!!
5. Madreva wanapigwa faini kila baada ya kilometa moja ilimradi vijana wako wakusanye kodi ya kukuridhisha wewe.
6. Walimu wanafundisha ili mladi siku ziende ila maandalio na silabasi vunaisha mapema sana. Patamu hapooo!!!

Mengine mtaongeza wanajamvi.

Onyo langu kwako acha jeuri umma unanguvu sana ukichoka na ukaamua kuzitafuta haki zao utaumia.

Najua hauna nguvu za kupigana ila unajivunia askali na jeshi.

Nikukumbushe kuwa hao askali na familia zao wanaishi mtaani umeshindwa kuwasitili. Fikiria watakulinda wewe au wake na watoto wao?

Pia hao makamanda wako familia zao wako huku wanaangaika kama sisi fikilia watakulinda wewe au watalinda mama zao na baba zao. Fikiri Mara mbilimbili ingawa najua umezaliwa kwenye mikoa ya wapenda sifa.

Ukipitia hapa ukanielewa nipe hata like kwa kukumbusha umejisahau sana mtukufu wangu.
Acha jeuri... We ni nani wa kutoa Onyo, kua na heshima kijana...
 
Familia nyingi zinakula mlo mmoja kwa sasa jamani
 
2. Unaamini Serikali ingeendelea kuwaajiri wahitimu wote wa ualimu miaka yote?

3. Huo uzoefu wa kijeshi wa wanafunzi walionao kwanini usidhani kuwa wanaweza kuutumia kwenye kilimo na sio ujambazi mtsani?
4. Wazazi kuwa na chuki na Rais huo utafiti umeufanya lini na namna gani?

Nyie ndio watu mnaoiweka majaribuni JF yetu. Yani kinachokuja kichwani mnaomwaga tu hapa jukwaani.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom