Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Hapo Madale roho zao kwatuu.
Ha ha ha, mkuu kwa nini usiwashauri jamaa wa pande pinzani wakamtolea dhamana?
Katumwa kutukana, kakamatwa, waliomtuma wamepotea.
Hapo Madale roho zao kwatuu.
Anavyorembua namna hiyo huko wanakompeleka ataenda kuwasimulia vizuri masela maana ya shilole kiuno
hahahahaKhaah! Kutoa maneno kama ya huyo kijana, inahitaji kujawa na pepo wachafu wasiopungua sabini!
NoumaAnayedaiwa kutumia akaunti ya Instagram ya @shilolekiuno_official apelekwa Segerea baada ya kukosa dhamana katika Mahakama ya Kinondoni.View attachment 446113
Washatengua antenna MpwaNaona hilo jina lake naona linaakisi na yeye alivyo kimaumbile.
Ona alivolegea....
Huyoookunasehemuu kapitishwasioo yeye... Kapatashuhuliipevuu jichoohiloKumbe watukanaji ndio wanamuonekano huu. Mtoto wa kiume kajilegezaa, unafikiri atafanya kazi gani zaidi ya kutafuta mabwana online.
Boss Lady bana...Naona hilo jina lake naona linaakisi na yeye alivyo kimaumbile.
Ona alivolegea....
Na sasa hivi account yk kaigawa kwa wenzie...matusi yke hapana..unawaza huyu ni binadam aliyeumbwa na Mungu au..Khaah! Kutoa maneno kama ya huyo kijana, inahitaji kujawa na pepo wachafu wasiopungua sabini!
Inasemekana kagawa password..ili ionekane si yeye.....Kama ndiye huyu mbona page yake inaonekana iko active bado ana update?
Miss Piggy bana...si ajabu umemtamani!Boss Lady bana...