mtuhumiwa

wikama

Member
Nov 2, 2010
81
5
inakuwaje pale ambapo mtuhumiwa hakuandikwa maelezo polisi na akapelekwa mahakamani na katika proceeding akatoa hoja hiyo kuwa hakuandikwa maelezo yake na anaomba mahakama imwachie huru je anaweza kuachiwa kwa hoja hiyo ? toeni maoni yenu as much as you can with cited cases na vifungu vya sheria.
 
inakuwaje pale ambapo mtuhumiwa hakuandikwa maelezo polisi na akapelekwa mahakamani na katika proceeding akatoa hoja hiyo kuwa hakuandikwa maelezo yake na anaomba mahakama imwachie huru je anaweza kuachiwa kwa hoja hiyo ? toeni maoni yenu as much as you can with cited cases na vifungu vya sheria.

Haya ni maswali ya kishule shule: assignments!
 
inakuwaje pale ambapo mtuhumiwa hakuandikwa maelezo polisi na akapelekwa mahakamani na katika proceeding akatoa hoja hiyo kuwa hakuandikwa maelezo yake na anaomba mahakama imwachie huru je anaweza kuachiwa kwa hoja hiyo ? toeni maoni yenu as much as you can with cited cases na vifungu vya sheria.

Without being specific, based on some technicalities, I would say yes.
 
Back
Top Bottom