johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,875
- 141,809
Kimsingi dunia huwa haishirikiani na gaidi yoyote na dunia ni watu na maliasili zao.
Sasa endapo mtu aliyetuhumiwa kwa ugaidi na kutengwa na " dunia" akionekana hana hatia mbele ya mahakama atakuwa na haki ya kudai fidia kwa hasara aliyopata kwa sababu ya kutengwa?
Mungu ni mwema wakati wote!
Sasa endapo mtu aliyetuhumiwa kwa ugaidi na kutengwa na " dunia" akionekana hana hatia mbele ya mahakama atakuwa na haki ya kudai fidia kwa hasara aliyopata kwa sababu ya kutengwa?
Mungu ni mwema wakati wote!