xavia jr
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 916
- 1,905
Lakin wezi wa kuku kila siku wanapigwa nyundo mtaa.Tuliambiwa mahakama ya mafisadi imekosa mafisadi wa kuwahukumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakin wezi wa kuku kila siku wanapigwa nyundo mtaa.Tuliambiwa mahakama ya mafisadi imekosa mafisadi wa kuwahukumu
hivi watz akili zetu zipo sasa kweli tunashabikia waliopewa fedha kufikishwa mahakamani.. kana kwamba kupewa pesa ni kosa. wakati huohuo alietoa yy hata kuhojiwa hajawahi!!Hivi akina Kilaini yule askofu yupo mahakamani?
Haya mambo ya escrow nilkuwa mihemko tu.. hivi kupewa pesa ni kosa?Lakin wezi wa kuku kila siku wanapigwa nyundo mtaa.
Majuzi wameisifia serikali na mfalme wa Tz anategemea rozari sasa hapo atapelekwaje mahakamani?Hivi akina Kilaini yule askofu yupo mahakamani?
ILIKUWA SI HAKI ASHITAKIWE YEYE PEKE YAKE. MBONA WALIOPOKEA RUSHWA HIZO WAKO WENGI SANA WENGINE WAKO BUNGENI. NAO NI NGELEJA, TIBAIJUKA MAARUFU KAMA MAMA WA KISAMVU CHA MILIONI KUMI, MAJAJI KADHAA NA WENGINE AMBAO SERIKALI ILIAMUA KUFICHA MAJINA YAO KWA GHARAMA YOYOTE.
Dpp Kaamua kunawa mikono maana mlolongo wa waliopokea mapesa ni zaidi ya watu 20 lakini maahaman kapelekwa mmoja tu.
Hivi akina Kilaini yule askofu yupo mahakamani?