Mtuhumiwa wa Escrow afutiwa mashtaka ,kesi hiyo ambayo bado ilikuwa katika hatua za upelelezi.

Hivi akina Kilaini yule askofu yupo mahakamani?
hivi watz akili zetu zipo sasa kweli tunashabikia waliopewa fedha kufikishwa mahakamani.. kana kwamba kupewa pesa ni kosa. wakati huohuo alietoa yy hata kuhojiwa hajawahi!!
 
Wanajua hakuna fisani ila watu wanatimiza ilani ya chama chao halafu wanajidai kuanzisha mahakama za mafisadi, hovyo kweli.
 
ILIKUWA SI HAKI ASHITAKIWE YEYE PEKE YAKE. MBONA WALIOPOKEA RUSHWA HIZO WAKO WENGI SANA WENGINE WAKO BUNGENI. NAO NI NGELEJA, TIBAIJUKA MAARUFU KAMA MAMA WA KISAMVU CHA MILIONI KUMI, MAJAJI KADHAA NA WENGINE AMBAO SERIKALI ILIAMUA KUFICHA MAJINA YAO KWA GHARAMA YOYOTE.

ikumbukwe ruge malila alikwenda kuweka zuio
mahakamani kuzuia hoja za tegeta eskrow zisichukuliwe hatua za kisheria

ni muendelezo wa kuififisha skendo ya tegeta eskrow ili hatua za kisheria zisifuatwe..

Dpp Kaamua kunawa mikono maana mlolongo wa waliopokea mapesa ni zaidi ya watu 20 lakini maahaman kapelekwa mmoja tu.


endapo huyu angechukuliwa hatua ya hukumu, pengine na wale ktk ile orodha ya stabic bank wangekuwa hatiani na kujulikana
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom