Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Nimekuwa nikiona watuhumiwa wengi wakiachia mitabasam mpaka basi ilhali wengine ni wahalifu kweli. Tangu watuhumiwa wa epa, liyumba, zombe, mramba, yona, muro, n.k. Kuna kifungu kinawataka kukenyua mbele ya kamera? Kama hamna kamera huwa bado wanakenyua? Ukinuna utashindwa kesi? Hayo ni baadhi ya maswali tu