Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,684
- 225,319
Tumemsajiri kivipi yaani..ahahahaha.... nimecheka sana bro!
wao wamemsajiri Edelyn sisi hatujasajiri mtu na tunaenda nao tit for tat..hahaha.
Acha kumuonea dada wa watu
Tumemsajiri kivipi yaani..ahahahaha.... nimecheka sana bro!
wao wamemsajiri Edelyn sisi hatujasajiri mtu na tunaenda nao tit for tat..hahaha.
Hiyo ni mentality umejiekea siwez kukubadili
Tumemsajiri kivipi yaani..
Acha kumuonea dada wa watu
Sawa mkuuHayo umeyasema wewe mkuu.
Kwakifupi hapa naona watu mnajadili ndoa kama simulizi za hadithi njoo.
Na hii ndio moja ya sababu ilio nifanya nishukuru Mungu baada ya kusoma comments zilizo tangulia.
Kwaleo naomba niishie hapa mkuu, sipendi na sijisikii furaha sana kuendlea kujadili lolote kuhusu hii mada.
Hahaha nimefurahi wewe mwenyewe umekiri kuwa anawavuruga balaaahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
ahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
Eti anacheza middle.ahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
Nasikitika sana wanakuharibu
Umemsahau butterfly, bila huyo timu haijakamilika
Ha ha ha hio list ya #TeamPasuaKichwa balaa! Kocha mchezaji Heaven Sentahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
Nyie wanawake wa humu kila Leo tunasoma comments zenu jinsi mnavyoyachukulia mahusiano na hasa kuhusiana na situation anayoelezea mleta mada, wengi mnafanana kimaono.
Sikumbuki ni mara ngapi nimesoma huu mstari "ukiona mambo hayaendi vizuri ndani ya ndoa/mahusiano basi ujue mwanaume ameshindwa kusimama vizuri kwenye nafasi yake"
Sasa kwa mwanamke mwenye mawazo kama haya saa ngapi atakuwa na akili ya kumu encourage mume wake pale anapoanguka!?? sana sana si atamkimbia tu huku akimshtumu kuwa ameshindwa kuwa mwanaume ndio maana akaanguka eboo acha unafiki binti.
karibuniTupo
karibuni
una kingereza kigumu"J your a genius I believe in you " my girl says.
Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.
Nampenda mrembo wangu.
yale yale!!Saa kama huwezi kuhudumia mke kwa nini uoe?
Hamna bossNasikitika sana wanakuharibu
I'm jokingHamna boss
Mimi huwa naongea kile ninachokiamini na ninachokiishi.
Huwa siandiki kwa ajili ya kushindana