DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nimehudhuria mikutano ya Siyoi kwa kweli confidence hana na anaongea akitetemeka.
Wakati mwingine hali hiyo hupelekea kuchapia maneno kutokana na kuogopa watu, kana kwamba hajawahi kusimama mbele yao hajui kujenga hoja na meru msipoangalia itabidi mumnunulie na godoro akalale bungeni.
JANA NILISHUHUDIA WATOTO WA VIGOGO AMBAO NI WABUNGE ETI WANAJIITA VIJANA wanawadanganya raia. Wanameru waelewe kuwa kuwa mbunge kijana ccm basi sharti na lazima uwe na nasaba na system iliyopo.
Ukiwachunguza wabunge vijana wa CCM lazima utakuta kuna ama mjomba ama bibi kamchomeka pale.
Wakati mwingine hali hiyo hupelekea kuchapia maneno kutokana na kuogopa watu, kana kwamba hajawahi kusimama mbele yao hajui kujenga hoja na meru msipoangalia itabidi mumnunulie na godoro akalale bungeni.
JANA NILISHUHUDIA WATOTO WA VIGOGO AMBAO NI WABUNGE ETI WANAJIITA VIJANA wanawadanganya raia. Wanameru waelewe kuwa kuwa mbunge kijana ccm basi sharti na lazima uwe na nasaba na system iliyopo.
Ukiwachunguza wabunge vijana wa CCM lazima utakuta kuna ama mjomba ama bibi kamchomeka pale.