Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
kwa ambaye ameoa si mkeo ndo huwa anakuandalia kila kitu kuanzia chai nguo ya kuvaa na kukukagua kama umekaa sawa na anakuruhusu kutoka sasa huyo mwanamke mwingine wakukutana naye yupi na huku umeshaagana na mkeo au swala hili ni kwa wale ambao hawajaoa.