johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,816
- 141,719
Nawakumbusha tu viongozi wa CCM kwamba kama kuna mkurugenzi wa halmashauri alienda kugombea ubunge halafu amerejea ofisini basi liangalieni swala lake kwa umakini mkubwa sana.
Tusije kutoa sababu za mapingamizi na hata kesi zisizo na ulazima mbele ya safari.
Niishie hapo!
Tusije kutoa sababu za mapingamizi na hata kesi zisizo na ulazima mbele ya safari.
Niishie hapo!