Lkn mlisema mnaenda the Hague
Nasikia hata Lema kashindwa, kwa uchaguzi huu kwangu sio jambo la ajabu.Sugu chali
Mleta mada si Rais wenu wa mtandaoni aliwambia kuwa atawaingiza barabarani, una lialia nini sasa?
Labda tu nikuulize baada ya Kamanda mkuu kutangazwa kuwa kashindwa mpaka Sasa hivi Makamanda wake mmeshaingia barabara ngapi?
Achana na mtu kama huyo anayefikiri kutumia makalio. JF ingekuwa tunajiunga kwa kiingilio pengine ingetu punguzia wajingaUsiombee hilo na wala usitamani litokee jambo kama hilo hata wewe hutokaa kwa amani.
Wapi morari ya kumng'oa mkoloni mweusi Nini kimetokea tena? Sasa ni mwendo wa lawama tu.
Hapo bado hatujasikia aibu ya Bwana Lissu
Mnatamani sana tusiseme kwani hayapendezi ila tutasema tu.Mtasema yote leo
Mnajulikana, aliposhinda mpinzani, haki imetendeka, vinginevyo haki haikutendeka!!! Ndiyo maana mara zote nasema ninyi ni wabinafsi zaidi. Mnajifanya mnataka kila mtu apate haki yake wakati ninyi ndiyo mnatamani kunyang'anya haki za wengine!!! Wewe tulia na machungu yako hivyo hivyo ya kushindwa, msaada wetu ni kukupa Pole.Ni heri tukawa hatuna
Hakuna uchaguzi hayo si matokeo ni upumbavu mtupuKituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Swali ni kuwa kura zimekamatwa ila mbona waliokamatwa nazo hawaoneshwi kote, tunaoneshwa makaratasi tu, huu ni uongoKituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Ndio imeshakuwa tiyari ushangilie usishangilie ushindi kwa CCM , nadhani muda wa matusi umeisha sasaKituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.