Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

nia yenu mnataka watu wafe amani itoke.
Tunajua tangu mwezi wa 8 mwaka huu polisi walikuwa wanafanya mazoezi ya ziada kwa ajili ya kuja kupiga watu kwenye uchaguzi huu.

Swali la msingi Kama hamtaki upinzani Tanzania uchaguzi mnafanya wa nini?
Mleta mada si Rais wenu wa mtandaoni aliwambia kuwa atawaingiza barabarani, una lialia nini sasa?

Labda tu nikuulize baada ya Kamanda mkuu kutangazwa kuwa kashindwa mpaka Sasa hivi Makamanda wake mmeshaingia barabara ngapi?
 
Ni heri tukawa hatuna
Mnajulikana, aliposhinda mpinzani, haki imetendeka, vinginevyo haki haikutendeka!!! Ndiyo maana mara zote nasema ninyi ni wabinafsi zaidi. Mnajifanya mnataka kila mtu apate haki yake wakati ninyi ndiyo mnatamani kunyang'anya haki za wengine!!! Wewe tulia na machungu yako hivyo hivyo ya kushindwa, msaada wetu ni kukupa Pole.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Hakuna uchaguzi hayo si matokeo ni upumbavu mtupu
 
huu uchaguzi ulikuwa wa kimagumashi tu,haikuwa rahisi kukifungashia virago chama tawala ingekuwa aibu sana,ni safari ndefu kuking'oa madarakani
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Swali ni kuwa kura zimekamatwa ila mbona waliokamatwa nazo hawaoneshwi kote, tunaoneshwa makaratasi tu, huu ni uongo
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Ndio imeshakuwa tiyari ushangilie usishangilie ushindi kwa CCM , nadhani muda wa matusi umeisha sasa

sent from HUAWEI
 
Back
Top Bottom