Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,435
Jamaa aliona mbali snYupo mpaka sasa lakini sina uhakika kama iyo picha iliyowekwa ndyo yeye.
Jamaa aliona mbali snYupo mpaka sasa lakini sina uhakika kama iyo picha iliyowekwa ndyo yeye.
Uko wapi mkuu? na mimi nijeSipo nchini kwa sasa ila mdogo wake ni rafiki yangu na nilimuuliza bro yuko wapi akajibu still yupo tigo head quarter
Siyo busara sana kuuhusisha usukuma na huyo marehemu wenu.mara nyingi teuzi zake mkuu alizifanya kuwa asante kwa kumsaidia jambo fulani na hiyo tabia ni common sana kwa wasukusy na kiuhalisia wake ni rushwa poa kama alivyosema kwenye ile pesa ya kung'arisha viatu, inshort ukimfanyia jambo zuri kwake msukuma lazima akupe zawadi/rushwa na niseme kidogo kwa upande wa akina mama ni copy & paste
Watu walikuwa wamefikia kiwango cha mwisho cha kumchukia Jiwe.Mimi naona kama wanaotegemea mabadiliko makubwa kutoka kwa huyu rais mpya wanaweza kupata mabadiliko cosmetic ya presentation lakini wakabaki kupewa u Magufuli uleule.
Samia Suluhu Hassan akiwa VP alishawaambia watu kwamba waichague au wasiichague CCM, itashinda tu.
Walimuandama sana baada ya hapo...!!Katika Historia, ndugu Ally Masoud Maswanya ndio Mtu pekee alikataa Uteuzi wa Rais Magufuli.
Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya lakini siku ya kwenda kuapa hakutokea. Walipompigia simu akaape, akasema yupo Ofisini anadeal na wateja wake.
Alikuwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo kanda ya Ziwa. Sijui sasa hivi yupo wapi na anafanya nini.
Pia Soma: Mkuu wa Wilaya Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiuzulu
Waliagiza Afukuzwe kazi ..nadhani atakuwa yuko anafanya mambo yake mengine ...aliona MbaliKatika Historia, ndugu Ally Masoud Maswanya ndio Mtu pekee alikataa Uteuzi wa Rais Magufuli.
Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya lakini siku ya kwenda kuapa hakutokea. Walipompigia simu akaape, akasema yupo Ofisini anadeal na wateja wake.
Alikuwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo kanda ya Ziwa. Sijui sasa hivi yupo wapi na anafanya nini.
Pia Soma: Mkuu wa Wilaya Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiuzulu
Hakuna mahali nmesema ni lazima kila mtu afanye kazi serikalini.
Km ambavyo ni vigumu wote tukawa sekta binafsi.
Unaweza kuwa serikalini au sekta binafsi inategemea na malengo yako,au mazingira,hali ya elimu inaweza kusababisha uwe kati sehemu hizo mbili.
Siyo sahihi kusema UDC siyo potential.Siyo potential kwako kwa mwingine ni fursa adhimu .
Kama kabla hujayeuliwa huwa una kulishwa, juzi Dr.Mpango alikuwa anajifanya kushangaa nini?Huyu na watu wa namna hiyo lazima alikuwa na baggage fulani ambayo hakutaka ijulikane. Tatizo lake ni kwamba aliupenda uDC ndipo akateuliwa, ila baada ya kuteuliwa akagundua kuwa ana mifupa kwenye kabati lake ambayo hataki ijulikane, na wakati huo akawa hawezi kuondoa jina lake kwenye uteuzi tena, ndipo akaamua kutohudhuria uapishwaji. Mtu kabla ya kuteuliwa, huwa unapewa taarifa kuwa mkuu anataka kukuteua kwenye nafasi fulani, je unaiweza. Mteuliwa mtumianiwa lazima akiri kuwa kweli anaweza kuimudu nafasi ie kabla uamuzi wa mwisho haujafanyika.
Sasa kama yeye alisema anaiweza nafasi ile, halafu siku ya mwisho ndipo miguu ikaganda, basi alikuwa na matatizo ambayo hatutayajua!!
Daaaaaa.., umenifumbua macho na masikio nilikuwa na kazi moja inayowahusu wote niliimba Haleluya.!DED na DC wote ni mali za job, hawapatani abadani asilani.
Hamjawahi kuwa na vetting za wateuliwa hasa ngazi ya dc maana walikuwa wanaangalia ukada na jina.Alifeli vetting dakika za mwisho
alafu usikute na wewe umemuamini huyo uliyemnukuu na umetoa hitimisho tayari..Mwendazake hapo alijipa uungu kwanini umufilisi mtu kisa uteuzi na kumkomoa mtu mwenye familia, dah roho mbaya yake ilimfanya asidumu mda mrefu
Sitaki kufahamu nini kilitokea baada ya hapo 🤣 🤣 🤣
Majirani zake hapa Mwanza tunajua bado yupo "anachapa kazi".Sitaki kufahamu nini kilitokea baada ya hapo 🤣 🤣 🤣
Tujikumbushe kindogo Nape Nauye aivyo chukuliwa picha kiingia Ikulu Jiwe alivyo elezea mwenyewe alivyo msimamisha kanzi mkewe Nape Bank kuu Huyu Jiwe nizaidi ya chuki katesa watu wengi sanaaa kwa tabia zake
Kwa mtu potential kazi ya ukuu wa wilaya ni very low!!
Mkuu huwezi kuja huku thailand vijijiniUko wapi mkuu? na mimi nije
Sijaelewa unachokizungumzia kinahusianaje na nilichokiandika hapo.Ukiajiriwa, unatajiwa kazi zako. Halafu pana kipengele cha: na kazi zingine utakazopangiwa na mwajiri wako...
I guess uteuzi unaangukia kwenye kazi nyingine utakazopangiwa na mwajiri wako.... Doesn't it?
Kama ilivyo sasa...baadhi ya watu wanafurahi kweli as if atakuwa tofauti sana na waliomtangulia.Watu walikuwa wamefikia kiwango cha mwisho cha kumchukia Jiwe.
Hivyo hata wangepata rais mwingine mjinga mjinga kama Makonda au Nape wangeshangilia tu kwa kuhisi kuwa huenda akawa tofauti na jiwe.
Mara nyingi anapoingia rais mwingine watu wanakuwa na matumaini mapya hivyo suala la watu kufurahia ni lazima wafurahie.Kama ilivyo sasa...baadhi ya watu wanafurahi kweli as if atakuwa tofauti sana na waliomtangulia.
I’ve been around the block for a minute.
Nakumbuka jinsi Kikwete alivyoingia madarakani na matumaini ambayo watu walikuwa nayo.
Ari mpya. Nguvu mpya. Kasi mpya. 2005 hiyo.
2010 ikaja maisha bora kwa kila Mtanzania.
By 2015 anapomaliza muda wake, mimi sikuona chochote kikubwa alichokifanya zaidi ya kutuhumiwa mambo ya ufisadi tu.
Sitegemei kikubwa na kilicho tofauti kwa Samia.
Point yako ya mwisho ni 💯%.Mara nyingi anapoingia rais mwingine watu wanakuwa na matumaini mapya hivyo suala la watu kufurahia ni lazima wafurahie.
Suala la mabadiliko inategemea sasa na rais mwenyewe atafanya nini kuleta hayo mabadiliko ya watu.
Mathalani miaka 10 ya mzee Kikwete ilikuwa na changamoto nyingi sana za serikali kushindwa kutoa huduma sawa sawa kwa wananchi japokuwa uchumi wa mwananchi mmoja mmoja ulikuwa ukiimarika.
Utawala wa Jiwe ulikuja kuzalisha changamoto mpya kwa watu kukosa ajira kwa kiwango kikubwa japo huduma zilianza kuimarika kidogo.
Nachokiona kitabadilika kwenye serikali hii ni lugha tu ya namna ya kuwasiliana na wananchi kutoka kwenye Amri kuja kwenye maombi tu