Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hata ukisikiliza ile hotuba ya makamu wa Rais Mpango bungeni baada ya jina lake kupendekezwa, ingawa hakusema wazi jinsi alivyojua kuwa yeye ndo kateuliwa, ana sound kama vile naye alikuwa taken by surprise. Kama vile hakuwa na heads up.Mimi naona kama wanaotegemea mabadiliko makubwa kutoka kwa huyu rais mpya wanaweza kupata mabadiliko cosmetic ya presentation lakini wakabaki kupewa u Magufuli uleule.
Samia Suluhu Hassan akiwa VP alishawaambia watu kwamba waichague au wasiichague CCM, itashinda tu.
Weird!