bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Habari wanabodi,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hii Tabia ya watu Kutembea barabarani wakiwa wamevaa headphones wakisikiliza mziki au Redio, inastaabisha kwa mtu mzima 35s na kuendelea naye anakomaa kuyavaa haya madude aaah!
Tuwaachie vijana wa form two maana wapo kipindi Cha barehe ili kuwa keep busy! Pia nao waeleweshwe kwamba sikila mahali zinatumiwa!
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hii Tabia ya watu Kutembea barabarani wakiwa wamevaa headphones wakisikiliza mziki au Redio, inastaabisha kwa mtu mzima 35s na kuendelea naye anakomaa kuyavaa haya madude aaah!
Tuwaachie vijana wa form two maana wapo kipindi Cha barehe ili kuwa keep busy! Pia nao waeleweshwe kwamba sikila mahali zinatumiwa!