Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane, tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe

Ni ushauri mzuri. ila watu wazima wenye tabia za kitoto wanaudhi, ukikumbana naye piga hata makofi, hao ndio waliotufikisha hapa tulipo.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Io haipo sawa km kakuudh mwambie pale pale mm hii cpend akigudia unashusha nondo unajua kuna baadh ya watu wazima hutumia utu uzima wao kupelekesha watu sitosahau kuna jimama moja nililiheshimu ila nilichokipata adi leo nikikutana na mmama mtu mzima km sihitaj msaada wake namsalimia za saiz ila km nahitaj msaada wake namuamkia
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
 
Mkuu hawa vijana wanaharibiwa na viroba na bange hasa hawa wanaohitimu vyuo siku hizi, wakishajiona wasomi basi ni kumkoromea kila mtu. Pia malezi mabovu kutoka kwa wazazi wao yanachangia sana..sana...ngoja niishie tu hapa.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wale Mabeberu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Magufuli madini yetu yasingekuwepo.
 
Kumkwepa sio suluhisho.

Bora angemfata kistaarabu na kumwambia jinsi utani wake unavyomkwaza.

Kuna wazee wengine wapuuzi sana aisee,
kuna bibi juzi kamwambia jamaa yangu "unaniona fala ?" yule bibi ana maneno machafu sana ,siku nyingine kamtukana jamaa yangu mwingine "muone ulivo mweupe kama m*und* wa nyani"
 
yani ukasubiri hadi kesho yake ndio ukauliza kisa cha ugomvi?
Tetesi za chanzo cha ugomvi nilikuwa nazo muda ule ule lakini yule kijana bado alikuwa na hasira sana na nisingeweza kukaa naye ili tuongee kirafiki juu ya usahihi wa tetesi zile na namna bora ya kumpa psychological counselling...
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu ni vile tu Rais Magufuli anatoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi ni 98%.
 
Kuna watu wazima ovyo

Ashalowa mitusi next time atakuwa na adabu .

Unaleta utani wa kijinga kisa umenizidi umri

Mi nakuchana halafu naishia

Utajijua mwenyewe huko nyuma ulie ,ukashtaki,ukatambike shauri yako .
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Magufuli ataitupeleka uchumi wa juu.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ccm haiwezi kuiba kura, Rais Magufuli anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha lowasa na huyo msaliti wa Nchi.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu vijana watanzania;

Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.

Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu kule Tabata mida kama ya saa moja na nusu jioni nikasema ngoja nipumzike kidogo katika kochi huku nikisubiri saa mbili ifike nitazame taarifa ya habari ya ITV, mara paaaap usingizi ukanipitia.

Nikiwa nimesinzia kwa mbaaaali ninasikia kama watu wanapiga kelele nje. Kutokana na wingi wa zile kelele sikuweza kabisa kuendelea kusinzia, nikasema ngoja nitoke nje nikaangalie kuna nini kinaendelea huko.

Daaah aisee, nilipofika nikakuta kijana wa nyumba ya jirani around 21 years anaporomosha matusi makubwa sana ya nguoni kwa baba mtu mzima umri kama 62 hivi. Huyo baba pia ni jirani tu hapa.

Nilijisikia aibu sana kwa kweli. Nikawa ninajiuliza kimoyomoyo, huyu mtoto anapata wapi ujasiri wa kutoa maneno mazito kama haya kwa huyu baba mtu mzima mwenye watoto 5 na wajukuu 2?

Kesho yake baada ya ule ugomvi kuisha nikajaribu kuwauliza baadhi ya watu niliowakuta katika ule mzozo wa jana yake wakawa wanasema kwamba yule baba mtu mzima huwa anamtaniaga sana yule dogo kwamba yeye atarefuka lini kama wenzake mbona kila siku anazidi kuwa mfupi tu kwenda chini (Tabia mbaya ya kuendekeza masiraha yaliyopitiliza na watoto wadogo)

Inaonekana kuwa kijana alikuwa amechoshwa kabisa na tabia ile ya miaka mingi sasa akaona ni bora amtukane matusi kama yote ili hasira za miaka yote hiyo ziishe.

Mimi nilichokifanya nilimuita yule dogo kisha nikaongea naye kirafiki sana kwa maana huwa wote tunashabikia chama la wana Man UTD.

Niliongea naye kama rafiki tu na kumwambia Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi.

Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie kisha yeye ajirekebishe. Je, huu ni ushauri sahihi wa kumpa kijana yule?

Wewe mwana JF ukikwazwa na mtu aliyekuzidi umri huwa unachukua hatua gani?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October tunampigia kura Magufuli kwa 98% Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom