Naam mkuu ndio maana Serikali ikawa na chuo kabisa TaboraNaombeni kuuliza!!
Hivi kwa mtu aliyechukua B's in bee keeping science, anaweza kupata ajira serikalini atakapohitimu???
Au mtaji wa yeye kujiajiri ni kama kiasi gani cha pesa????
Na mikoa ipi ina favour uzalishaji wa asali???