Mfahamu Edward Mordrake, binadamu mwenye sura mbili

Primier

Member
Dec 16, 2015
86
14
Edward-Mordrake-640x360.jpg

NI vigumu kuamini! Edward Mordrake ni Mwingereza mashuhuri wa karne ya 19 ambaye alijinyakulia tuzo za Nobel. Mordrake aliyetokea kwenye ukoo mashuhuri na wenye hadhi kubwa nchini humo, alitambulishwa zaidi kwa sura zake mbili, moja ikiwa kwenye uso wake wa kawaida na nyingine nyuma ya uso (kwenye kisogo).

Cha kushangaza zaidi inasemekana kuwa sura yake ya kisogoni haikuweza kula wala kuongea chochote na hata ikijaribu kuongea maneno yalikuwa hayasikiki.

-----
Edward Mordake wa Uingereza alizaliwa mwaka 1887 akiwa na sura mbili, moja ya kawaida na nyingine ilikuwa kisogoni mwake. SUra hiyo ya pili ilikuwa haiwezi kuona, kula wala kuongea kwa sauti, isipokuwa ilikuwa ikitabasam pale alipokuwa na furaha na kulia pale alipokuwa na huzuni.

Madaktari walishindwa kugundua nini cha kufanya lakini mwenyewe alitaka wamfanyie upasuaji wa kumuondoa, kitendo ambacho kilikuwa kigumu kwao. Mwenyewe alikuwa akisema kuwa nyakati za usiku sura hiyo ilikuwa ikimnong'oneza maneno ambayo mtu anaweza kuyaongea akiwa kuzimu tu.

Mwaka 1910 alifariki na habari zinasema kuwa aliamua kujiua.
 
Uoooongo uliotukuka hivi hiyo picha ni ya karne ya 19??????kweli kipindi hicho kulikuwa na quality camera nzuri hvyo?????erick shigongo kakushika masikio
Kila siku wanaambiwa ukiwa muongo usiwe msahaulifu !yaani wamesahau kabisa kuwa enzi zile walikuwa wanatumia mikamera ina flash kama ya radi ukipiga picha huoni kwa dakika kadhaa!
 
Kila siku wanaambiwa ukiwa muongo usiwe msahaulifu !yaani wamesahau kabisa kuwa enzi zile walikuwa wanatumia mikamera ina flash kama ya radi ukipiga picha huoni kwa dakika kadhaa!
Hii habari source ni erick shigongo ameipost kwa fb page ake.....
 
NIMEITOA SEHEMU... Edward Mordake wa Uingereza alizaliwa mwaka 1887 akiwa na sura mbili, moja ya kawaida na nyingine ilikuwa kisogoni mwake. SUra hiyo ya pili ilikuwa haiwezi kuona, kula wala kuongea kwa sauti, isipokuwa ilikuwa ikitabasam pale alipokuwa na Huzuni na kulia pale alipokuwa na furaha. Madaktari walishindwa kugundua nini cha kufanya lakini mwenyewe alitaka wamfanyie upasuaji wa kumuondoa, kitendo ambacho kilikuwa kigumu kwao. Mwenyewe alikuwa akisema kuwa nyakati za usiku sura hiyo ilikuwa ikimnong'oneza maneno ambayo mtu anaweza kuyaongea akiwa kuzimu tu. Na aliomba baada yakifo chake usowake ule uharibiwe ili usiendelee kumnongo neza pale atakapokua kaburini. Na Mwaka 1910 alifariki na habari zinasema kuwa aliamua kujiua.
d28c5ef2e4e3cdc9c7db5045e9412dd7.jpg
22b253823d4b26d316da4cedc2c90196.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom