Mtu mmoja akiwa bilionea, watu elfu moja huwa masikini

SI KWELI.

KABLA YA UWEPO WA FEDHA WALIKUWEPO MATAJIRI NA MASIKINI.
Sijajua kama umesoma kwa kutafakari nilichokiandika mkuu, maana nimeeleza wa wino mweusi kabisa kuwa utajili ni hali ya kuwa na mali au pesa nyingi. Au hujaelewa mkuu? Hujui kuwa kabla ya uwepo wa pesa dhahabu ilitumika kama pesa,
Tafsiri ya utajiri sio pesa bali ni uwezo wa akili wa kutawala rasilimali zinazokuzunguka kulinganisha na viumbe wengine.
Unachanganya mambo mkuu, hapa hujatoa maana ya utajiri umetoa maana ya UONGOZI, kama unabisha google maana ya uongozi kisha ulinganishe na ulichokiandika
Mtoto wa Masai anatawala watoto wa ng'ombe na baba zao si kwa sababu ni milionea ila uwezo wake wa akili upo juu kulinganisha na ng'ombe.
Hapa unaonyesha utofauti kati ya binadamu na ngo'mbe sioni uhusiano wa haya maelezo na hii thread
Utajiri ungekuwa ni pesa ungerithishwa daima,
Rejea maana ya utajiri niliyoiandika hii ni ya kwako
hakuna matajiri wangeibuka kutoka katika masikini.
Duh
Utajiri ni uwezo wa akili, Pesa ni matokeo ya kuwa tajiri au masikini. Kabla ya kuwa na pesa matajiri na masikini walikuwepo.
Yaani hata sijaelewa ulikusidia kufikisha ujumbe gani
 
mi nauliza hivi mimi forex trader, nikimula broker akaniingizia tsh kwenye account yangu ya bank, je nitakuwa nimewakamua watanzania au??? au nitakuwa nimewakamua watu wote wanaotumia USD?? hapa sijaelewa, maaana namkamua broker, dola zake then yeye ananiingia kama tsh kwenye account yangu bank


je masikini wataadhirika vipi na mtonyo wangu alionipa broker?

kingine naulizaa je, hizo pesa nitakazopata baaada ya kuzitoa bank na kupewa hardcopy, kwamba na mimi nakuwa nimenyakuwa pesa iliyokuwaa kwenye mzungukoo?? je serikari inaconsider na sisi maforex trader tunaweza affect mzunguko wa fedhaa kwa fedha zote zilizoingizwa na BOT kununua goods na services?

je mkopo tuliopewa trioni 1.3 na Bank kuu ya dunia, ni kwamba sisi hatuna pesa nchini hadi kufikia kupewa dolaa??
 
kama unachokisema mleta mada ni sahihi basi nchi kama USA yenye mabilionea wengi si ungekuta ina masikini wengi kuliko hata TZ
USA wanakamua mataifa maskin.
Hata mabilionea wao wanakamua raia walioko mataifa maskin mf Zuckerburg watumiaji wengi wa FB wapo mataifa maskin kwasababu mda wote wenyewe ni kuchat hawafikilii kufanya kazi.
 
mi nauliza hivi mimi forex trader, nikimula broker akaniingizia tsh kwenye account yangu ya bank, je nitakuwa nimewakamua watanzania au??? au nitakuwa nimewakamua watu wote wanaotumia USD?? hapa sijaelewa, maaana namkamua broker, dola zake then yeye ananiingia kama tsh kwenye account yangu bank


je masikini wataadhirika vipi na mtonyo wangu alionipa broker?

kingine naulizaa je, hizo pesa nitakazopata baaada ya kuzitoa bank na kupewa hardcopy, kwamba na mimi nakuwa nimenyakuwa pesa iliyokuwaa kwenye mzungukoo?? je serikari inaconsider na sisi maforex trader tunaweza affect mzunguko wa fedhaa kwa fedha zote zilizoingizwa na BOT kununua goods na services?

je mkopo tuliopewa trioni 1.3 na Bank kuu ya dunia, ni kwamba sisi hatuna pesa nchini hadi kufikia kupewa dolaa??
Bidhaa nyingi tunaagiza kaka,hivyo tunapoteza hela nyingi kwenda abroad,hela tunayopata tukiexport bidhaa ni ndogo sana.Ili kusawazisha mambo tunakopa,hatuwezi kuprint hela.

BALANCE OF PAYMENTS
Export=Import
Import>export=deficit-lazima ukope hapa.
Import<export=surplus-hapa maisha safi tu.
 
USA wanakamua mataifa maskin.
Hata mabilionea wao wanakamua raia walioko mataifa maskin mf Zuckerburg watumiaji wengi wa FB wapo mataifa maskin kwasababu mda wote wenyewe ni kuchat hawafikilii kufanya kazi.
Sisi ni miradi ya wazungu.Machinga ni Madalali wao,wana soko la uhakika afrika.Kila bidhaa wanatuuzia,Wao ni kuzalisha na kula bata kwani soko lao la mafukara lipo,wanaishi kwa migongo yetu.
 
Utajiri ni hali ya kuwa na mali au pesa nyingi . Mara nyingi utajiri hupimwa kwa wingi wa pesa alizonazo mtu mfano , kiwango kikianzia milioni 100 mtu huyo huitwa milionea, kikianzia milioni 1000 mtu huyo huitwa bilionea, Mtu mwenye utajiri huitwa TAJIRI na mtu asiye na utajiri (mali au pesa nyingi) huitwa MASIKINI.

Unyonyaji ni kitendo cha kukamua pesa au mali za watu wengine. Kwa maana hiyo tunaweza kusema tajiri ni mtu anaye kamua pesa au mali za mtu mwingine kwa lengo la kujinufaisha, ukamuaji unaweza kuwa ni halali kisheria au unao vunja sheria, ktk maada hii nitazungumzia ukamuaji usiovunja sheria.

Mfano: Kijiji A kikiwa na upungufu wa chakula mfano mahindi, mimi nikaenda kijiji B ambacho kinamahindi mengi, nikanunua kwa shilingi 5 kila gunia, nikarudi kijiji A nikawauzia kwa shilingi 10 kila gunia, nitakua nimekamua shilingi 5 kwa kila gunia.

Mfano: Nikizalisha juisi moja kwa gharama ya shilingi 1, nikamuuzia mwenye kiu kwa shilingi 5, ninakua nimekamua shilingi 4. Kumbuka katika mifano yote miwili hakuna mahali ambapo sheria imevunjwa.

Ili nitengeneze Shilingi 100 inabidi niwauzie watu wasiopungua 20 ktk mfano namba moja, kiuhalisia kila mtu anakuwa amenipa shilingi 5 ni sawa na kusema amepoteza shilingi tano.
Ili mtu yeyote apate pesa ni lazima mtu mwingine apoteze pesa. Tajiri akipata juwa kuna masikini kapoteza, mtu yeyote akipata juwaa kuna mtu kapoteza.

View attachment 1963785

Ni kama vile mzani jinsi unavyofanya kazi

Ukitengeneza bilionea mmoja unakuwa umetengeneza masikini elfu mojaView attachment 1963794


Kanuni haidanganyi, inafanya kazi popote pale duniani, inaleta matokeo yale yale

Nawasilisha


Tajiri anacheza na market demand mkuu.Kwa hiyo hata hela za kina Mo au bakhresa unaweza ukazivuta mkuu,endapo utaanzisha profitable venture au business
Hiyo concept yako ina walakini kiuchumi mkuu.Hao matajiri nao wana expenses,wanalipa mishahara,wanafanya shopping,so hela lazima irudi kwenye mzunguko,so mtu yeyote ana probability ya kutajirika at any time.
 
Hamna tabia inayokufanya kuwa tajri bali ni vyanzo vyako vya mapato

Mfano ukipewa laki ukiwekeza vzuri itaendelea kuwepo. Na ukienda kununua jens ndo itakuwa imeisha hyo
Hujaelewa
 
Bidhaa nyingi tunaagiza kaka,hivyo tunapoteza hela nyingi kwenda abroad,hela tunayopata tukiexport bidhaa ni ndogo sana.Ili kusawazisha mambo tunakopa,hatuwezi kuprint hela.

BALANCE OF PAYMENTS
Export=Import
Import>export=deficit-lazima ukope hapa.
Import<export=surplus-hapa maisha safi tu.
safi sanaa mkuu, ila nijibu haya maswali

1.umesema tumekopa kwasababu export ni ndogo kuliko import, sasa kumbe tulipopewa USD millioni 556 nazani, hizo pesa ndo tuseme kwamba tunaongeza foreign currency reserve ama??? na tsh yetu tunaizuia kutoka nje, so inakuwa bado inathamani, sasa kumbuka hapo tuna riba kwenye huo mkopo so tutarudishaa kiasi zaidi ya hicho tulichopewa, so tutakuwa tumekamuliwaa tsh kiasi flani, sasa najiulizaa nchi inatumia njia gani, kupata hizo fedhaa ili kulipa mkopo??? si unajua tena pesa zote zilizopo kwenye mzunguko zinatoka bank kuu, na hela kwenye mzunguko hazitaongezekaa kwa njia yoyote zaidi ya zile zilizoprintiwaa na kube assured na BOT, namanishaa BOT, haiwezi kurprint pesa, na kuzitiaa kwenye mzunguko halafu baadae ukasema zimeongezeka zaidi ya zile zilizoprintiwaa, sasa hawa BOT watarudisha vipi hela ya riba ya mkopo tuliopata kutoka bank kuu.???

2.nauliza tena hivi pesa zote kwenye mzunguko si zinatoka BOT, sasa BOT wanatumia formula gani kucalculate total goods na services zilizopo ndani ya nchi, ili kuhakikisha kwamba pesa inayoprintiwaa haizidi goods and services zilizopoto nchini??? hapo kumbuka kuna services kila siku zinaanzishwaa pasipo BOT kufahamu, mfano mamalishe vijijini wanatoa huduma ya chakula ila BOT hawafahamu, sasa huoni hesabu wanakosea wanaweza sababisha pesa kuwa kidogo sanaa zaidi ya huduma zilizopokwenye mzunguko, na kupelekea maisha kuwaa magumu kwa wananchi?? kwani mama lishe watakuwa wanakosaa wateja kwa sababu na wao wateja hela wanakosa hivyo kupelekea chakula kushuka bei, na watoa huduma kupata hasara

3.narudia tena sisi speculator wa currency ama forex traders tukimula broker na akatuiingizia tsh kwenye account zetu za bank, je nitakuwa nimewakamua watanzania au??? au nitakuwa nimewakamua watu wote wanaotumia USD?? hapa sijaelewa, maaana namkamua broker, dola zake then yeye ananiingia kama tsh kwenye account yangu bank


hesabu za uchumi bado zinanisumbuaa sanaa, sijui kwa nini nisingesomaga uchumi.
 
USA wanakamua mataifa maskin.
Hata mabilionea wao wanakamua raia walioko mataifa maskin mf Zuckerburg watumiaji wengi wa FB wapo mataifa maskin kwasababu mda wote wenyewe ni kuchat hawafikilii kufanya kazi.
wanakamua vipi, wanachukua hela ya nchi hizo ama???
 
Utajiri ni hali ya kuwa na mali au pesa nyingi . Mara nyingi utajiri hupimwa kwa wingi wa pesa alizonazo mtu mfano , kiwango kikianzia milioni 100 mtu huyo huitwa milionea, kikianzia milioni 1000 mtu huyo huitwa bilionea, Mtu mwenye utajiri huitwa TAJIRI na mtu asiye na utajiri (mali au pesa nyingi) huitwa MASIKINI.

Unyonyaji ni kitendo cha kukamua pesa au mali za watu wengine. Kwa maana hiyo tunaweza kusema tajiri ni mtu anaye kamua pesa au mali za mtu mwingine kwa lengo la kujinufaisha, ukamuaji unaweza kuwa ni halali kisheria au unao vunja sheria, ktk maada hii nitazungumzia ukamuaji usiovunja sheria.

Mfano: Kijiji A kikiwa na upungufu wa chakula mfano mahindi, mimi nikaenda kijiji B ambacho kinamahindi mengi, nikanunua kwa shilingi​
So umasikini ni uwezo mdomo wa kuchukua pesa toka kwa mwingine
 
SI KWELI.

KABLA YA UWEPO WA FEDHA WALIKUWEPO MATAJIRI NA MASIKINI.

Tafsiri ya utajiri sio pesa bali ni uwezo wa akili wa kutawala rasilimali zinazokuzunguka kulinganisha na viumbe wengine.

Mtoto wa Masai anatawala watoto wa ng'ombe na baba zao si kwa sababu ni milionea ila uwezo wake wa akili upo juu kulinganisha na ng'ombe.

Utajiri ungekuwa ni pesa ungerithishwa daima, hakuna matajiri wangeibuka kutoka katika masikini.

Utajiri ni uwezo wa akili, Pesa ni matokeo ya kuwa tajiri au masikini. Kabla ya kuwa na pesa matajiri na masikini walikuwepo.
True thus ni nadra Sana kukuta mtoto wa tajiri anakuwa tajiri.
 
Kwa hiyo unataka watu wasiwe matajiri?..

Kuna watu hata ukitaka wasiwe matajiri tabia zao tu zitawafanya wawe matajiri tu, kuna watu hata ukitaka wasiwe masikini tabia zao tu watakuwa masikini...

Sasa wewe unalala masaa 14 kwa siku na mwenzio analala masaa 4 kwa siku hayo mengine yote anapiga kazi mnataka wawe sawa.. kuna mtu akipanda kitandani ule muda wa kutafuta usingizi anapanga mipango tu mpaka analala, wewe ule muda unachati na michepuko + umbea facebook unataka muwe sawa..

Kuna watu risk taker wanazama kwenye mashimo migodini huko, wengine sasa hivi wako deep sea wanapambana na wimbi, wengine wanapishana na risasi, wengine wameweka bond kila mali zao, wengine wamekopa madeni kila kona, wengine wamebet mamilioni ya hela halafu tuwe sawa na wewe NEVER....
well said

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Tajiri anacheza na market demand mkuu.Kwa hiyo hata hela za kina Mo au bakhresa unaweza ukazivuta mkuu,endapo utaanzisha profitable venture au business
Hiyo concept yako ina walakini kiuchumi mkuu.Hao matajiri nao wana expenses,wanalipa mishahara,wanafanya shopping,so hela lazima irudi kwenye mzunguko,so mtu yeyote ana probability ya kutajirika at any time.
yes

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mbumbumbu anayejua kutype,ngoja nikuelezee,bilionea moja anapotokea au kupatikana katika jamii,anakuwa amesababisha mamilionea wengi kutokea,na watu wanaomiliki Malaki ya pesa wasiohesabika,hebu angalia mfano wa bilionea Bakhresa amesababisha mawakala wangapi wanaouza bidhaa zake tena kwa mafanikio makubwa,wakati yeye anaingiza mabilioni,mawakala wanaingiza mamilioni,wale wachini wanaingiza Malaki,kinachoonekana katika uzi wako una mtizamo hasi dhidi ya mtu kuwa tajiri,mpaka umefika point ya kutumia neno "kukamua" wakati hata vitabu vya dini vinaruhusu mtu kununua kitu na kukiongeza thamani ili kupata faida,na ndiyo mwendo wa maisha,matokeo yake huo mfumo umerahisisha maisha kiasi kwamba mtu aliyeko Sumbawanga anaweza akatia Nazi kwenye wali wake wakati ambapo Rukwa hazistawi Nazi,au mtu wa Dar anaweza kula pitches toka Iringa wakati inawezekana hata haujui mti wa pitches ulivyo.
Kwa hiyo mtoa uzi kukusaidia tu ni kukuambia kwamba usiogope kuwa tajiri si dhambi,na mzunguko wa pesa upo ila tu kinachotakiwa ni wewe mwenyewe kujiposition ili huo mzunguko wa pesa upitie na kwako.
Utajiri ni hali ya kuwa na mali au pesa nyingi . Mara nyingi utajiri hupimwa kwa wingi wa pesa alizonazo mtu mfano , kiwango kikianzia milioni 100 mtu huyo huitwa milionea, kikianzia milioni 1000 mtu huyo huitwa bilionea, Mtu mwenye utajiri huitwa TAJIRI na mtu asiye na utajiri (mali au pesa nyingi) huitwa MASIKINI.

Unyonyaji ni kitendo cha kukamua pesa au mali za watu wengine. Kwa maana hiyo tunaweza kusema tajiri ni mtu anaye kamua pesa au mali za mtu mwingine kwa lengo la kujinufaisha, ukamuaji unaweza kuwa ni halali kisheria au unao vunja sheria, ktk maada hii nitazungumzia ukamuaji usiovunja sheria.

Mfano: Kijiji A kikiwa na upungufu wa chakula mfano mahindi, mimi nikaenda kijiji B ambacho kinamahindi mengi, nikanunua kwa shilingi 5 kila gunia, nikarudi kijiji A nikawauzia kwa shilingi 10 kila gunia, nitakua nimekamua shilingi 5 kwa kila gunia.

Mfano: Nikizalisha juisi moja kwa gharama ya shilingi 1, nikamuuzia mwenye kiu kwa shilingi 5, ninakua nimekamua shilingi 4. Kumbuka katika mifano yote miwili hakuna mahali ambapo sheria imevunjwa.

Ili nitengeneze Shilingi 100 inabidi niwauzie watu wasiopungua 20 ktk mfano namba moja, kiuhalisia kila mtu anakuwa amenipa shilingi 5 ni sawa na kusema amepoteza shilingi tano.
Ili mtu yeyote apate pesa ni lazima mtu mwingine apoteze pesa. Tajiri akipata juwa kuna masikini kapoteza, mtu yeyote akipata juwaa kuna mtu kapoteza.

View attachment 1963785

Ni kama vile mzani jinsi unavyofanya kazi

Ukitengeneza bilionea mmoja unakuwa umetengeneza masikini elfu mojaView attachment 1963794


Kanuni haidanganyi, inafanya kazi popote pale duniani, inaleta matokeo yale yale

Nawasilisha


Wewe
 
safi sanaa mkuu, ila nijibu haya maswali

1.umesema tumekopa kwasababu export ni ndogo kuliko import, sasa kumbe tulipopewa USD millioni 556 nazani, hizo pesa ndo tuseme kwamba tunaongeza foreign currency reserve ama??? na tsh yetu tunaizuia kutoka nje, so inakuwa bado inathamani, sasa kumbuka hapo tuna riba kwenye huo mkopo so tutarudishaa kiasi zaidi ya hicho tulichopewa, so tutakuwa tumekamuliwaa tsh kiasi flani, sasa najiulizaa nchi inatumia njia gani, kupata hizo fedhaa ili kulipa mkopo??? si unajua tena pesa zote zilizopo kwenye mzunguko zinatoka bank kuu, na hela kwenye mzunguko hazitaongezekaa kwa njia yoyote zaidi ya zile zilizoprintiwaa na kube assured na BOT, namanishaa BOT, haiwezi kurprint pesa, na kuzitiaa kwenye mzunguko halafu baadae ukasema zimeongezeka zaidi ya zile zilizoprintiwaa, sasa hawa BOT watarudisha vipi hela ya riba ya mkopo tuliopata kutoka bank kuu.???

2.nauliza tena hivi pesa zote kwenye mzunguko si zinatoka BOT, sasa BOT wanatumia formula gani kucalculate total goods na services zilizopo ndani ya nchi, ili kuhakikisha kwamba pesa inayoprintiwaa haizidi goods and services zilizopoto nchini??? hapo kumbuka kuna services kila siku zinaanzishwaa pasipo BOT kufahamu, mfano mamalishe vijijini wanatoa huduma ya chakula ila BOT hawafahamu, sasa huoni hesabu wanakosea wanaweza sababisha pesa kuwa kidogo sanaa zaidi ya huduma zilizopokwenye mzunguko, na kupelekea maisha kuwaa magumu kwa wananchi?? kwani mama lishe watakuwa wanakosaa wateja kwa sababu na wao wateja hela wanakosa hivyo kupelekea chakula kushuka bei, na watoa huduma kupata hasara

3.narudia tena sisi speculator wa currency ama forex traders tukimula broker na akatuiingizia tsh kwenye account zetu za bank, je nitakuwa nimewakamua watanzania au??? au nitakuwa nimewakamua watu wote wanaotumia USD?? hapa sijaelewa, maaana namkamua broker, dola zake then yeye ananiingia kama tsh kwenye account yangu bank


hesabu za uchumi bado zinanisumbuaa sanaa, sijui kwa nini nisingesomaga uchumi.
hapo 1
Ili turudishe mkopo kwa riba,kuna matumizi lazima tujibane,ndo mana Kuna barabara nyingi hazijengwi.
Ni kujibana afu watanzania wanapambana.Hapa ndipo unyonyaji wa mzungu ulipo sasa,bado hajakuuzia bidhaa zake nk.Bado hajaiba madini,wanyama
 
Back
Top Bottom