B Beem JF-Expert Member May 18, 2018 1,630 2,425 Dec 18, 2018 #81 Madimba jr said: Yale ya Gesi ndo haya sasa,ila wamakonde wakiamua kukinukisha hapatoshi Click to expand... Bahati jeshi lilishafika mapema
Madimba jr said: Yale ya Gesi ndo haya sasa,ila wamakonde wakiamua kukinukisha hapatoshi Click to expand... Bahati jeshi lilishafika mapema
BlackPanther JF-Expert Member Nov 25, 2015 9,020 8,480 Dec 18, 2018 #82 Amepata faida gani Kujinyonga!! Si upumbavu tu!! Jehannam inamhusu.....na pole yangu siitoi kwa huu ujinga. Wala msiue nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza (kuia) isipokuwa kwa haki.
Amepata faida gani Kujinyonga!! Si upumbavu tu!! Jehannam inamhusu.....na pole yangu siitoi kwa huu ujinga. Wala msiue nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza (kuia) isipokuwa kwa haki.