Mtu mkubwa ana agenda ya kishetani; Watanzania tusijigawe

mkurugenzi wa mashtaka
mwanasheria mkuu
Majaji
Hawa wote hawawezi kuuhukumu mfumo maana ndio umewaweka hapo
 
Mkuu, Chadema haikuanguka Kwa kiasi kikubwa kama ilivyotokea na sio kwamba wananchi hawakuipigia kura, hapana

Chadema na Vyama vingi vya siasa, huwa vinaangushwa na Katiba mbovu pamoja na tume!!

Naamini kwa Hilo ndio imekuwa fimbo ya vyama pinzani kuadhibiwa,

Kama ni hivyo, Kwa maoni yangu, ni Chadema kukubali hili lililotokea na kesi ikawa ni Katiba na tume huru, na wabunge wa viti maalumu wakaruhusiwa kwenda, Kwa sababu Kilicho waadhibu Vyama pinzani sio uchache wa Kura Bali tume mbovu na Katiba yake, na badala yake vyama hivi kuanzia sasa vikajikita kudai Katiba na tume huru,

Hiyo hoja ya katiba inaenda kujadiliwa kwenye bunge gani? Kumbuka kiongozi wa bunge ni mwenyekiti wa bunge, huyu ndio mwenye maamuzi hoja ipi iingie ndani ya bunge, na ukumbuke katibu wa bunge ni mteule wa rais asiyetaka katiba mpya. Unazungumza nadharia na sio uhalisia. Mwenye maamuzi na hilo bunge ni rais Magufuli, na anachotaka ndio kinajadiliwa bungeni, na asichokitaka hakijadiliwi.
 
Kuna muda niiwaona Wakenya ni wajinga na wapenda shari, kumbe sisi wa TZ ndiyo wajinga zaidi - unatawaliwa na mtu anayevunja katiba kwa makusudi kabisa afu unabakia kimya kwamba eti Mungu akusaidie - Mungu huwa hasaidii wajinga.
 
Watanzania tuna haki ya kulaumiwa zaidi kuliko hata viongozi wetu;

Haya yote tumeruhusu sisi watanzania yatokee, tunaruhusu mtu mkubwa mmoja kulazimisha "MTAZAMO WAKE" kuwa ndio mtazamo wa taifa zima. Hata kama mtazamo wake una madhaifu na si mzuri kwa ustawi wa taifa.

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja kulazimisha "CHUKI ZAKE" kuwa ndio chuki za taifa zima. Mtu akiwachukia watu fulani basi anataka taifa zima liaminishwe na liwachukie.

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja "KUJIAMINISHA KWAMBA YEYE HAKOSEI" na yupo juu ya kila kitu mpaka Katiba ya nchi. Ana haki ya kuamua "NANI ANA HAKI YA KUISHI/NANI ANATAKIWA AFE".

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja awe na "KINGA YA KUTOKUULIZWA CHOCHOTE" atakachofanya au atakachoamua. Kana kwamba taifa hili "AMERITHISHWA KAMA MIRATHI" kutoka kwa ma babu zake ambao ndio lilikua mali yao.

Kwanini nasema sisi watanzania tuna kila sababu ya kulaumiwa?

Aliekuwa Rais Wa Indonesia, Suharto, aliiba sambamba na kufanya matumizi mabaya ya pesa za wananchi wake kati ya USD $ Billion 15 mpaka USD $ Billioni 35.

Aliekuwa Rais Wa Philipines, Ferdinand Marcos, aliiba sambamba na kufanya ubadhirifu wa pesa za wananchi wake kati ya USD $ Billion 5 mpaka USD Billion 10.

Aliekua Rais Wa Zaire, Mobutu Sese Seko, na Aliekuwa Rais Wa Nigeria, Sani Abacha, walifanya ubadhirifu wa pesa za wananchi wao USD $ Billion 5 kila mmoja.

Kashfa ya miaka ya hivi karibuni, nchini Brazil, iliopewa jina la "LAVA JATO" iliwa gharimu watu zaidi ya "11" wakiwemo wanasiasa mashuhuri na wafanyabiashara wakubwa duniani (Kutoka Brazil mpaka Peru). Na walifungwa.

Aliekuwa Waziri Mkuu Wa Malaysia, Najib Razak, ameshatakiwa na anafanyiwa uchunguzi wa ubadhirifu wa USD $ Billion 4.5 wakati wa madaraka yake. Pesa nyingine alitumia kumnunulia mke wake vito vya dhahabu na almasi za bei ya juu sana.

NB Wenzetu walifanya nini mpaka wakapatia, na sisi watanzania tunafanya nini mpaka tunakosea???

Rais Wa Peru, Pedro Pablo Kuzcynski, kutokana na kashfa ya Brazil nilio ainisha hapo juu alilazimika "KUJIUZULU" baada ya bunge la peru kuitisha kikao na kupiga "KURA YA PAMOJA YA KUTOKUA NA IMANI NAE". Iliitishwa na wabunge wa chama chake na upinzani pamoja.

Rais Wa Guatemala, alilazimika KUJIUZULU" baada ya bunge la nchi hio kumtolea "KINGA YAKE KIKATIBA", mchakato uliofanywa na chama chake na vyama vya upinzani.

Rais Wa South Africa, Jacob Zuma, alilazimika "KUJIUZULU" baada ya chama chake kumpa muda wa miezi 3 ajiuzulu au waitishe hoja bungeni ya "KUMPIGIA KURA YA KUTOKUA NA IMANI NAE". Alijiuzulu kabla hata ya huo muda wa miezi mitatu kuisha. Sasa hivi ana kesi mahakamani za ufisadi.

Mnamo mwaka 2017, South Korea, walimtoa madarakani Rais wao Park Geun-Hye, kwaajili ya kashfa ya rushwa na kashfa za ubadhirifu. Mwaka 2018 alitiwa hatiani kwa makosa ya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na vitisho (Alihukumiwa kifungo cha miaka 24).
hizi ndo facts za kusema flan anaongea/anaandika sasa! tatzo letu kubwa ni kugeuza siasa/uongoz kuwa ajira. hivyo hata msomi anayetegemewa na wengi anajitoa faham za kuhubiri ukweli.
 
Zoezi la kutaka kuonyesha kama siasa ni vita na upinzani ni uadui limeshika kasi hapa nchini!

Uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye hili zoezi na wananchi na viongozi kwa ujumla wamejikuta wakiingia katika huu mtego bila kujua lengo la muasisi wa zoezi.

Watanzania wamefungamana sana;
1. Kifamilia.
2. Kidini
3. Kikabila
4. Kibiashara
5. Shuhuli za kijamii kama vile sherehe na misiba.

Ukitaka kuwagawa kwa kutumia siasa, utafanyaje kwenye mahusiano ya kifamilia, kidini, kikabila, kibiashara na shughuli za kijamii?

Leo chakula alichokua anakula Lema kimehamishiwa kwa Gambo kwa kutumia nguvu. Gambo mtaani ni jirani yangu na tunashirikiana nae pamoja na familia yake kwenye shughuli za kijamii. Lema ni shemeji yangu maana nimeoa kwao.

Sasa ukitaka kuonyesha Lema ni mtu mbaya sana na Gambo ni mtu mzuri sana, mimi nitasimamia upande gani? Makwazo ni budi kuwapo ila ole wake anayeyaleta. Yampasa kufungwa jiwe la kusagia shingoni mwake na atumbukizwe kwenye kina kirefu cha maji!

Ni muda sasa wa kutafakari lengo la muasisi huyu wa siasa za kibaguzi. Ilikuwaje tukaishi pamoja na kwa umoja na upendo chini ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

Nini kimeenda vibaya?

Tumefikaje hapa?
Muasisi wa haya haelewani na mke wake
 
Sijui nashindwa kutabiri mwisho wa hii safari ya visasi,itakuwaje kwa ustawi wa hili Taifa, ndio kwamba uchumi wetu itakuwa kwa kasi kwa kuwanyima wengine kuongea
 
Utalalamika mpaka lini bila Kuchukua hatua?

Kwanza kabisa mnapaswa kukubali yaliyotokea ili SASA muanze kutazama uchaguzi ujao, kuna malalamiko ya Katiba, sjui tume huru n.k, muanze kushughurikia hayo na kuyapazia sauti Kwa nguvu zote

Sasa nyinyi mmekalia kulalamika utadhani kutabadirika chochote

Kitu kingine mlichofanya cha kijinga ni kukakataa kupeleka wabunge viti maalmu

Kinachowafanya mkatae kupeleka hakipo Ila ni Ujinga wa kususa usio na faida yoyote

Uchaguzi huu mmeuona mapungufu yake ni mengi na hakuna dawa ya kuyatibu, kinachopaswa ni watu wenye akili iliyo na Afya mkae, mfanye tathimini, na Naamini baada ya tathimini mtajiridhisha kwamba, kushindwa kwenu, kumesababisha vitu vingi, moja wapo ni tume isiyo huru, Katiba mbovu isiyozingatia matakwa na mahitaji ya sasa

Na mtakuja kugundua kuwa, kushindwa kwenu ni Kwa sababu ya vitu hivyo viwili na sio kupungua Kwa Kura

Na baada ya hapo, hakuna haja ya kuzira, muwekeze Kwenye kutafuta haki hizo


Natamani hiki ulichoandika wakisikie wapinzani wote..
Shida tuna viongozi wanalalamila kila kukicha
 
Zoezi la kutaka kuonyesha kama siasa ni vita na upinzani ni uadui limeshika kasi hapa nchini!

Uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye hili zoezi na wananchi na viongozi kwa ujumla wamejikuta wakiingia katika huu mtego bila kujua lengo la muasisi wa zoezi.

Watanzania wamefungamana sana;
1. Kifamilia.
2. Kidini
3. Kikabila
4. Kibiashara
5. Shuhuli za kijamii kama vile sherehe na misiba.

Ukitaka kuwagawa kwa kutumia siasa, utafanyaje kwenye mahusiano ya kifamilia, kidini, kikabila, kibiashara na shughuli za kijamii?

Leo chakula alichokua anakula Lema kimehamishiwa kwa Gambo kwa kutumia nguvu. Gambo mtaani ni jirani yangu na tunashirikiana nae pamoja na familia yake kwenye shughuli za kijamii. Lema ni shemeji yangu maana nimeoa kwao.

Sasa ukitaka kuonyesha Lema ni mtu mbaya sana na Gambo ni mtu mzuri sana, mimi nitasimamia upande gani? Makwazo ni budi kuwapo ila ole wake anayeyaleta. Yampasa kufungwa jiwe la kusagia shingoni mwake na atumbukizwe kwenye kina kirefu cha maji!

Ni muda sasa wa kutafakari lengo la muasisi huyu wa siasa za kibaguzi. Ilikuwaje tukaishi pamoja na kwa umoja na upendo chini ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

Nini kimeenda vibaya?

Tumefikaje hapa?
Mchwa umeingia ndani ya Nyumba imara Jina Tanzania ulianzia kona moja inayoitwa mahakama ulipotafuna udongo wa kona hii ulipoona wenye nyumba wamelala usingiz wa pono na hawatafuti kuudhibit kwa dawa ya kuusupress ,ukaruka kwa furaha ukaingia kona ya Jina polici ,ulipoona huku nako wamelala wanakoroma ukacheza bamping kw style ya Aina yake,ukaenda kwenye kona ya Jina NEC. Ukauma weeee ukaona nako wameskia utamu..Sasa umeingia kona ya wenye nyumba wananchi .almaruufu kama Parliament huko sasa..unaruka na kukanyaga iwe ni vyombo vya kulia ama mashuka vyote vululuu Maweee eewe Tanzania yangu weeee!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tuna haki ya kulaumiwa zaidi kuliko hata viongozi wetu;

Haya yote tumeruhusu sisi watanzania yatokee, tunaruhusu mtu mkubwa mmoja kulazimisha "MTAZAMO WAKE" kuwa ndio mtazamo wa taifa zima. Hata kama mtazamo wake una madhaifu na si mzuri kwa ustawi wa taifa.

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja kulazimisha "CHUKI ZAKE" kuwa ndio chuki za taifa zima. Mtu akiwachukia watu fulani basi anataka taifa zima liaminishwe na liwachukie.

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja "KUJIAMINISHA KWAMBA YEYE HAKOSEI" na yupo juu ya kila kitu mpaka Katiba ya nchi. Ana haki ya kuamua "NANI ANA HAKI YA KUISHI/NANI ANATAKIWA AFE".

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja awe na "KINGA YA KUTOKUULIZWA CHOCHOTE" atakachofanya au atakachoamua. Kana kwamba taifa hili "AMERITHISHWA KAMA MIRATHI" kutoka kwa ma babu zake ambao ndio lilikua mali yao.

Kwanini nasema sisi watanzania tuna kila sababu ya kulaumiwa?

Aliekuwa Rais Wa Indonesia, Suharto, aliiba sambamba na kufanya matumizi mabaya ya pesa za wananchi wake kati ya USD $ Billion 15 mpaka USD $ Billioni 35.

Aliekuwa Rais Wa Philipines, Ferdinand Marcos, aliiba sambamba na kufanya ubadhirifu wa pesa za wananchi wake kati ya USD $ Billion 5 mpaka USD Billion 10.

Aliekua Rais Wa Zaire, Mobutu Sese Seko, na Aliekuwa Rais Wa Nigeria, Sani Abacha, walifanya ubadhirifu wa pesa za wananchi wao USD $ Billion 5 kila mmoja.

Kashfa ya miaka ya hivi karibuni, nchini Brazil, iliopewa jina la "LAVA JATO" iliwa gharimu watu zaidi ya "11" wakiwemo wanasiasa mashuhuri na wafanyabiashara wakubwa duniani (Kutoka Brazil mpaka Peru). Na walifungwa.

Aliekuwa Waziri Mkuu Wa Malaysia, Najib Razak, ameshatakiwa na anafanyiwa uchunguzi wa ubadhirifu wa USD $ Billion 4.5 wakati wa madaraka yake. Pesa nyingine alitumia kumnunulia mke wake vito vya dhahabu na almasi za bei ya juu sana.

NB Wenzetu walifanya nini mpaka wakapatia, na sisi watanzania tunafanya nini mpaka tunakosea???

Rais Wa Peru, Pedro Pablo Kuzcynski, kutokana na kashfa ya Brazil nilio ainisha hapo juu alilazimika "KUJIUZULU" baada ya bunge la peru kuitisha kikao na kupiga "KURA YA PAMOJA YA KUTOKUA NA IMANI NAE". Iliitishwa na wabunge wa chama chake na upinzani pamoja.

Rais Wa Guatemala, alilazimika KUJIUZULU" baada ya bunge la nchi hio kumtolea "KINGA YAKE KIKATIBA", mchakato uliofanywa na chama chake na vyama vya upinzani.

Rais Wa South Africa, Jacob Zuma, alilazimika "KUJIUZULU" baada ya chama chake kumpa muda wa miezi 3 ajiuzulu au waitishe hoja bungeni ya "KUMPIGIA KURA YA KUTOKUA NA IMANI NAE". Alijiuzulu kabla hata ya huo muda wa miezi mitatu kuisha. Sasa hivi ana kesi mahakamani za ufisadi.

Mnamo mwaka 2017, South Korea, walimtoa madarakani Rais wao Park Geun-Hye, kwaajili ya kashfa ya rushwa na kashfa za ubadhirifu. Mwaka 2018 alitiwa hatiani kwa makosa ya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na vitisho (Alihukumiwa kifungo cha miaka 24).
Huko ndiko tweshafika.
 
Watanzania tuna haki ya kulaumiwa zaidi kuliko hata viongozi wetu;

Haya yote tumeruhusu sisi watanzania yatokee, tunaruhusu mtu mkubwa mmoja kulazimisha "MTAZAMO WAKE" kuwa ndio mtazamo wa taifa zima. Hata kama mtazamo wake una madhaifu na si mzuri kwa ustawi wa taifa.

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja kulazimisha "CHUKI ZAKE" kuwa ndio chuki za taifa zima. Mtu akiwachukia watu fulani basi anataka taifa zima liaminishwe na liwachukie.

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja "KUJIAMINISHA KWAMBA YEYE HAKOSEI" na yupo juu ya kila kitu mpaka Katiba ya nchi. Ana haki ya kuamua "NANI ANA HAKI YA KUISHI/NANI ANATAKIWA AFE".

Tunaruhusu mtu mkubwa mmoja awe na "KINGA YA KUTOKUULIZWA CHOCHOTE" atakachofanya au atakachoamua. Kana kwamba taifa hili "AMERITHISHWA KAMA MIRATHI" kutoka kwa ma babu zake ambao ndio lilikua mali yao.

Kwanini nasema sisi watanzania tuna kila sababu ya kulaumiwa?

Aliekuwa Rais Wa Indonesia, Suharto, aliiba sambamba na kufanya matumizi mabaya ya pesa za wananchi wake kati ya USD $ Billion 15 mpaka USD $ Billioni 35.

Aliekuwa Rais Wa Philipines, Ferdinand Marcos, aliiba sambamba na kufanya ubadhirifu wa pesa za wananchi wake kati ya USD $ Billion 5 mpaka USD Billion 10.

Aliekua Rais Wa Zaire, Mobutu Sese Seko, na Aliekuwa Rais Wa Nigeria, Sani Abacha, walifanya ubadhirifu wa pesa za wananchi wao USD $ Billion 5 kila mmoja.

Kashfa ya miaka ya hivi karibuni, nchini Brazil, iliopewa jina la "LAVA JATO" iliwa gharimu watu zaidi ya "11" wakiwemo wanasiasa mashuhuri na wafanyabiashara wakubwa duniani (Kutoka Brazil mpaka Peru). Na walifungwa.

Aliekuwa Waziri Mkuu Wa Malaysia, Najib Razak, ameshatakiwa na anafanyiwa uchunguzi wa ubadhirifu wa USD $ Billion 4.5 wakati wa madaraka yake. Pesa nyingine alitumia kumnunulia mke wake vito vya dhahabu na almasi za bei ya juu sana.

NB Wenzetu walifanya nini mpaka wakapatia, na sisi watanzania tunafanya nini mpaka tunakosea???

Rais Wa Peru, Pedro Pablo Kuzcynski, kutokana na kashfa ya Brazil nilio ainisha hapo juu alilazimika "KUJIUZULU" baada ya bunge la peru kuitisha kikao na kupiga "KURA YA PAMOJA YA KUTOKUA NA IMANI NAE". Iliitishwa na wabunge wa chama chake na upinzani pamoja.

Rais Wa Guatemala, alilazimika KUJIUZULU" baada ya bunge la nchi hio kumtolea "KINGA YAKE KIKATIBA", mchakato uliofanywa na chama chake na vyama vya upinzani.

Rais Wa South Africa, Jacob Zuma, alilazimika "KUJIUZULU" baada ya chama chake kumpa muda wa miezi 3 ajiuzulu au waitishe hoja bungeni ya "KUMPIGIA KURA YA KUTOKUA NA IMANI NAE". Alijiuzulu kabla hata ya huo muda wa miezi mitatu kuisha. Sasa hivi ana kesi mahakamani za ufisadi.

Mnamo mwaka 2017, South Korea, walimtoa madarakani Rais wao Park Geun-Hye, kwaajili ya kashfa ya rushwa na kashfa za ubadhirifu. Mwaka 2018 alitiwa hatiani kwa makosa ya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na vitisho (Alihukumiwa kifungo cha miaka 24).
Huko ndiko tweshafika.
 
Mkuu, Chadema haikuanguka Kwa kiasi kikubwa kama ilivyotokea na sio kwamba wananchi hawakuipigia kura, hapana

Chadema na Vyama vingi vya siasa, huwa vinaangushwa na Katiba mbovu pamoja na tume!!

Naamini kwa Hilo ndio imekuwa fimbo ya vyama pinzani kuadhibiwa,

Kama ni hivyo, Kwa maoni yangu, ni Chadema kukubali hili lililotokea na kesi ikawa ni Katiba na tume huru, na wabunge wa viti maalumu wakaruhusiwa kwenda, Kwa sababu Kilicho waadhibu Vyama pinzani sio uchache wa Kura Bali tume mbovu na Katiba yake, na badala yake vyama hivi kuanzia sasa vikajikita kudai Katiba na tume huru,
Mkuu mbona umeshikilia bango Wabunge wa viti maalum bila kuwajali ndugu zetu walio magerezani kisa uchaguzi?? Suala la Katiba siyo la Chadema wala ccm bali ni la Taifa. Kama wewe unaamini kuwa Katiba bora ni kwajili ya kuwawezesha Upinzani kushinda na siyo kwa maendeleo ya Taifa letu basi endelea kuwapigia chepuo Wabunge wa viti maalum.
 
Zoezi la kutaka kuonyesha kama siasa ni vita na upinzani ni uadui limeshika kasi hapa nchini!

Uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye hili zoezi na wananchi na viongozi kwa ujumla wamejikuta wakiingia katika huu mtego bila kujua lengo la muasisi wa zoezi.

Watanzania wamefungamana sana;
1. Kifamilia.
2. Kidini
3. Kikabila
4. Kibiashara
5. Shuhuli za kijamii kama vile sherehe na misiba.

Ukitaka kuwagawa kwa kutumia siasa, utafanyaje kwenye mahusiano ya kifamilia, kidini, kikabila, kibiashara na shughuli za kijamii?

Leo chakula alichokua anakula Lema kimehamishiwa kwa Gambo kwa kutumia nguvu. Gambo mtaani ni jirani yangu na tunashirikiana nae pamoja na familia yake kwenye shughuli za kijamii. Lema ni shemeji yangu maana nimeoa kwao.

Sasa ukitaka kuonyesha Lema ni mtu mbaya sana na Gambo ni mtu mzuri sana, mimi nitasimamia upande gani? Makwazo ni budi kuwapo ila ole wake anayeyaleta. Yampasa kufungwa jiwe la kusagia shingoni mwake na atumbukizwe kwenye kina kirefu cha maji!

Ni muda sasa wa kutafakari lengo la muasisi huyu wa siasa za kibaguzi. Ilikuwaje tukaishi pamoja na kwa umoja na upendo chini ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

Nini kimeenda vibaya?

Tumefikaje hapa?
Katiba mbovu
 
Zoezi la kutaka kuonyesha kama siasa ni vita na upinzani ni uadui limeshika kasi hapa nchini!

Uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye hili zoezi na wananchi na viongozi kwa ujumla wamejikuta wakiingia katika huu mtego bila kujua lengo la muasisi wa zoezi.

Watanzania wamefungamana sana;
1. Kifamilia.
2. Kidini
3. Kikabila
4. Kibiashara
5. Shuhuli za kijamii kama vile sherehe na misiba.

Ukitaka kuwagawa kwa kutumia siasa, utafanyaje kwenye mahusiano ya kifamilia, kidini, kikabila, kibiashara na shughuli za kijamii?

Leo chakula alichokua anakula Lema kimehamishiwa kwa Gambo kwa kutumia nguvu. Gambo mtaani ni jirani yangu na tunashirikiana nae pamoja na familia yake kwenye shughuli za kijamii. Lema ni shemeji yangu maana nimeoa kwao.

Sasa ukitaka kuonyesha Lema ni mtu mbaya sana na Gambo ni mtu mzuri sana, mimi nitasimamia upande gani? Makwazo ni budi kuwapo ila ole wake anayeyaleta. Yampasa kufungwa jiwe la kusagia shingoni mwake na atumbukizwe kwenye kina kirefu cha maji!

Ni muda sasa wa kutafakari lengo la muasisi huyu wa siasa za kibaguzi. Ilikuwaje tukaishi pamoja na kwa umoja na upendo chini ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

Nini kimeenda vibaya?

Tumefikaje hapa?
Since 2015 we are under Bahima empire note that .
 
Zoezi la kutaka kuonyesha kama siasa ni vita na upinzani ni uadui limeshika kasi hapa nchini!

Uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye hili zoezi na wananchi na viongozi kwa ujumla wamejikuta wakiingia katika huu mtego bila kujua lengo la muasisi wa zoezi.

Watanzania wamefungamana sana;
1. Kifamilia.
2. Kidini
3. Kikabila
4. Kibiashara
5. Shuhuli za kijamii kama vile sherehe na misiba.

Ukitaka kuwagawa kwa kutumia siasa, utafanyaje kwenye mahusiano ya kifamilia, kidini, kikabila, kibiashara na shughuli za kijamii?

Leo chakula alichokua anakula Lema kimehamishiwa kwa Gambo kwa kutumia nguvu. Gambo mtaani ni jirani yangu na tunashirikiana nae pamoja na familia yake kwenye shughuli za kijamii. Lema ni shemeji yangu maana nimeoa kwao.

Sasa ukitaka kuonyesha Lema ni mtu mbaya sana na Gambo ni mtu mzuri sana, mimi nitasimamia upande gani? Makwazo ni budi kuwapo ila ole wake anayeyaleta. Yampasa kufungwa jiwe la kusagia shingoni mwake na atumbukizwe kwenye kina kirefu cha maji!

Ni muda sasa wa kutafakari lengo la muasisi huyu wa siasa za kibaguzi. Ilikuwaje tukaishi pamoja na kwa umoja na upendo chini ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?

Nini kimeenda vibaya?

Tumefikaje hapa?
Mkuu umeandika vizuri, Mimi nina marafiki wengi tu wa ccm, na makada wa kweli, nashukuru bado tuko vizuri japo nimewatangazia kuchukua KADI ya chadema maana sikuwai kua na chama,
Sasa tangu juzi wanaanza nitumia msg, kwamba nitafakari mahamuzi yangu
Sasa najiuliza kwani kuwa ndani ya chama mbadala na wakati lengo kuu ni moja kulitumikia taifa ni dhambi?
Nina wasi wasi wa kuwapoteza ndugu zangu Hawa na rafiki zangu Hawa, maana binafsi hua naamini kile moyo unaamini ,Sasa mfano ukifika nikaonekana na msimamo huu sijui ila haiwezi nibadilisha
 
mkurugenzi wa mashtaka
mwanasheria mkuu
Majaji
Hawa wote hawawezi kuuhukumu mfumo maana ndio umewaweka hapo
Unajua kwan nini UK mbali na mapungufu yake ipo 'stable'? Kumbuka inasemwa waziri Mkuu ndiye mtendaji lakini Malkia ndiye mwenye nguvu 'zisizoonekana' kwa macho ya wananchi na walimwengu katika uendeshaji wa serikali ya nchi hiyo. Ukitumia jicho la Tatu, utagundua nguvu kubwa (very strong 'shadow power') kupitiliza za Malkia si UK pekee hata baadhi ya nchi! Lakini, nchi ya UK ipo stable. Brexit, ilikuwa ni kurejesha mamlaka ya Malkia yaliyokuwa yanatikiswa na EU! Anayo mamlaka sasa !

Unafiki waweza kuwa na tija kwa wasiojielewa ama kwa wale waliokubuhu kwenye unafiki huo. Labda Tanzania 'tumeshindwa' kuwa wanafiki ! Unafiki unajenga imani kwenye 'malengo hewa'. Ukikubali unafiki, unakubali kuandaa matatizo lukuki ya kukuangamiza huko mbeleni. Nadhani tusipo kuwa wanafiki tutafika mbali katika kujitegemea kikweli kweli !!!

Isome vizuri post hii, mleta mada na wahusika wengine.
 
42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom