Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Kwa kweli nashindwa kuelewa intension ya viongozi wetu kwa watanzania ni nini hasa?.
Watu wanatoa security alert mwingine anajitokeza hadharani na kuongea simple simple tu.
Mh magufuli baba yetu tunakusubiria useme neno kuhusu ijipi sirro na makonda.
Kauli zao huku mitaani zinaonekana ni za dharau sana na kisiasa sana.
Mtu anasema taarifa walikuwa nazo, mbona hawakuzitolea tahadhari?
Au walikuwa wanasubiria majanga yatokee ndio waseme?
Umuhimu wa taarifa kama hizo ni kutoa tahadhari kwa jamii.
Watu wanatoa security alert mwingine anajitokeza hadharani na kuongea simple simple tu.
Mh magufuli baba yetu tunakusubiria useme neno kuhusu ijipi sirro na makonda.
Kauli zao huku mitaani zinaonekana ni za dharau sana na kisiasa sana.
Mtu anasema taarifa walikuwa nazo, mbona hawakuzitolea tahadhari?
Au walikuwa wanasubiria majanga yatokee ndio waseme?
Umuhimu wa taarifa kama hizo ni kutoa tahadhari kwa jamii.