scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
Tanzania ni nchi yenye changamoto nyingi sana katika safari yetu ya maendeleo na siku zote tumekua mbele kutetea aman na upendo ili tuweze kufanikisha haya. Na ili haya yafanikiwe inatubidi tukubaliane na ukweli katika duru hili la demokrasia kuwa MTANZANIA/KIONGOZI KUFA KATIKA SIASA SIO SHUJAA bali tutambue ameifanyia nini nchi!
Maoni yangu
chama tawala CCM kina vilaza wengi Wenye mawazo haya siasa chafu huku wakiamini ni ushujaa kufanya haya..
CHADEMA napo pia kuna vilaza wapo ambao nao siku zote maudhui ni siasa chafu bila kujali madhara yake kwa nchi na sio kwa jimbo tu
SISI KAMA WATANZANIA TUNATAKA KUJUA MMEIFANYIA NINI NCHI NA HATUTAKI KUSIKIA UMEIFANYIA NINI SIASA!
Maoni yangu
chama tawala CCM kina vilaza wengi Wenye mawazo haya siasa chafu huku wakiamini ni ushujaa kufanya haya..
CHADEMA napo pia kuna vilaza wapo ambao nao siku zote maudhui ni siasa chafu bila kujali madhara yake kwa nchi na sio kwa jimbo tu
SISI KAMA WATANZANIA TUNATAKA KUJUA MMEIFANYIA NINI NCHI NA HATUTAKI KUSIKIA UMEIFANYIA NINI SIASA!