what is your fact?
inamaana wewe hajui chadema ilichokifanyia Tanzania,ujinga wote unaofanywa na watawala wetu,tungeujuaje.na vilele kweli hujui chetu cha Ccm,kilichotufanyia yapo mengi Siwezi kutaja yote.ila huku kwetu nyamongo imeua vijana wengi,na inaendelea kutuachia Mashimo,baada ya wazungu kuchukua dhahabu zao,walizokatalia babu zetu waliokuwa Hawana elimu,imekuja kuchukuliwa kipindi hiki cha maprofesa na ma doctor.