wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
Kuna mtu alishitakiwa mahakama ya wilaya akashindwa akata rufa
Alieshinda akatumia polisi na dalali kumtoa kwenye nyumba kwa kutumia dikrii ambayo haikuwa sahihi
Mshindwa baada ya kumuweka wakili ikagundulika dikrii ilikuwa difa
Akaomba hukumu ya kukazia hukumu akajibiwa hakuna akaomba mahakama itoe uamuzi kwa makosa hayo mahakama ikamjibu
Sio kila kitu mahakama inapokosea irekebishe
Sasa nawauliza wanasheria je ni haki hiyo
Alieshinda akatumia polisi na dalali kumtoa kwenye nyumba kwa kutumia dikrii ambayo haikuwa sahihi
Mshindwa baada ya kumuweka wakili ikagundulika dikrii ilikuwa difa
Akaomba hukumu ya kukazia hukumu akajibiwa hakuna akaomba mahakama itoe uamuzi kwa makosa hayo mahakama ikamjibu
Sio kila kitu mahakama inapokosea irekebishe
Sasa nawauliza wanasheria je ni haki hiyo