Hiyo adhabu ni kubwa sana.Vibaya mno...kuna yeye...Lijualikali, huyu dogo alocompete na sioi sumari, yaan hao hadi wafike menopause watakua wanalia tu
Unaweza sikia wakati wowote anakimbilia RwandaYule aliyefadhiliwa cheo halafu akawa anatuvimbishia makalio
Sio huyo tu wapo wengi japo huyo alizidisha watu uwa hawaelewi unachotoa ndo unachopata (what goes around comes around)Kwa jinsi alivyokuwa aki behave that time. Na kudhalilisha watu kwa kebehi na kiburi sasa mambo yamebadilika sana kwa upande wake.
Ingekuwa Wananchi wa nchi nyingine wangekuwa wameshamlipa Ujira wake. Ule ubabe na kiburi chake akitumainia Ngao ambayo kwa sasa sidhani kaka bado anayo.
Nakwambia wasingemwacha. Wangesema naye tu kumuuliza ulivyokuwa ukitutendea vile ulifikiria Uongozi utakuwa nao Milele?
Anyway naamini hii roho tuliyo nayo ndo hufanya wanasiasa wawe vile wanakuwa wanajua mwisho wa siku yanaisha....tuendelee kuwa hivi hivi na wao wajaliwe kuwa vile vile.
We usinambie weee😄🤣Juzi kati kulikua na shuhuli ya hawa mastaa wenu hapo mlima city bashite akenda bila kadi walinzi wakamkazia mlangoni akaondoka kwa kuzuga anaongea na simu ya uongo na waandaaji.