Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,427
- 154,271
Mtu ambaye haisikii sauti ya mkewe
kamwe hawezi kuitii sauti ya
wazazi wake mwenyewe waliomleta
duniani..
Tukumbuke kuwa wenzi wetu ni ubavu wetu... ni zaidi ya ndugu wa damu moja na ni zaidi ya rafiki wapenzi.Pia tukumbuke kuwa wazazi ni MIUNGU yetu wa duniani. Tusipowasikiliza tutakosa baraka za MUNGU wa mbinguni. MUNGU wa Isaka, Yakobo na Bujibuji
kamwe hawezi kuitii sauti ya
wazazi wake mwenyewe waliomleta
duniani..
Tukumbuke kuwa wenzi wetu ni ubavu wetu... ni zaidi ya ndugu wa damu moja na ni zaidi ya rafiki wapenzi.Pia tukumbuke kuwa wazazi ni MIUNGU yetu wa duniani. Tusipowasikiliza tutakosa baraka za MUNGU wa mbinguni. MUNGU wa Isaka, Yakobo na Bujibuji
Last edited by a moderator: