Heshima kwenu wadau,
Wikendi iliyopita nilileta uzi hapa kuwatahadharisha wadau kuwa makini na mtu anayetapeli watu kwa kutumia taasisi ya serikali ijulikanayo kama TANZANIA INVESTMENT CENTER,niliandika kuwa huyu jamaa anajiita TOZIR MALEKELA.Jana tulitengeneza mtego,jamaa akajaa maeneo ya mwananyamala A karibu na saloon ya BITEBO,nasi bila ajizi tukamkamata,wakat tunamkamata alikua akijiandaa kuchukua shilingi laki 5 kwa jamaa,eti akidai ana uwezo wa ku-lobby cement pale wazo hill kwa bei rahisi,
Tulimpeleka kituo kidogo cha polisi cha KINONDON MOSKO,na leo atapelekwa OYSTERBAY ambako ndiko tulikochukulia RB kisha central Police kwa utekelezaji mwingine,
pamoja na hayo,picha za huyu jamaa akiwa sello siwez kuzirusha hapa kwakua natumia sim,ila zitapatikana kwenye group page ya MWANZA INDEGINOUS SOCIETY,jana alikamatwa akiwa kavaa kanzu,na alikua anajiandaa kuwatapeli wasimamizi wa madrasa moja huko MAGOMENI MAKANYA.
NTAZIDI KUWAJUZA
Wikendi iliyopita nilileta uzi hapa kuwatahadharisha wadau kuwa makini na mtu anayetapeli watu kwa kutumia taasisi ya serikali ijulikanayo kama TANZANIA INVESTMENT CENTER,niliandika kuwa huyu jamaa anajiita TOZIR MALEKELA.Jana tulitengeneza mtego,jamaa akajaa maeneo ya mwananyamala A karibu na saloon ya BITEBO,nasi bila ajizi tukamkamata,wakat tunamkamata alikua akijiandaa kuchukua shilingi laki 5 kwa jamaa,eti akidai ana uwezo wa ku-lobby cement pale wazo hill kwa bei rahisi,
Tulimpeleka kituo kidogo cha polisi cha KINONDON MOSKO,na leo atapelekwa OYSTERBAY ambako ndiko tulikochukulia RB kisha central Police kwa utekelezaji mwingine,
pamoja na hayo,picha za huyu jamaa akiwa sello siwez kuzirusha hapa kwakua natumia sim,ila zitapatikana kwenye group page ya MWANZA INDEGINOUS SOCIETY,jana alikamatwa akiwa kavaa kanzu,na alikua anajiandaa kuwatapeli wasimamizi wa madrasa moja huko MAGOMENI MAKANYA.
NTAZIDI KUWAJUZA