VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Inakuwaje unatembea na Muathirika wa HIV na haupati?
virus vinaweza kuingia kwako ila vikakuta kinga yako iko juu na baadaye vikaanza kuisha vyenyewe, hii inatokana kwa kipindi hicho diet yako ikoje.
ila vikiingia wakati kinga yako iko chini, na diet yako ni mbovu tegemea maumivu. ila ukiwahi kama video niliyotuma hii mapema vitapungua vyenyewe, ila kuna mpangilio maalamu unatakiwa kupangilia diet yako, na ushahidi ninao.
 

Attachments

  • u HIV Aids Cure 1 of 6 - YouTube(1).mp4
    13.3 MB · Views: 38
Eti HIV/AIDS Ni ugonjwa wa kisaikolojia zaidi kuliko mwili!!!?
2)Kuna taarifa zilizo na chembe za uhakika vipimo tupimwavyo vingi iwe mtaani au dispensary Ni vipimo viangaliavyo Kinga ya mwili na si virus Kama tunavyohubiriwa na wanasiasa..
3)Ni kwanini mtu aambiwapo tayari kaathirika anakuwa na maisha mafupi zaidi kuliko asiyeitambua afya yake!!?
4)Nini kinachopatikana ndani yake ktk kidonge Cha ARV mpaka mtu anapoanza kutumia kidonge kile anaumuka kila sehemu ya mwili nakuanza kupata matatizo mbalimbali ktk mwili, plesha, miguu kuanza kufa ganzi mwili kuwa dhaifu japo mtu kavimba Sana, na kuwa na hasira muda wote, na nguvu ya kufanya mapenzi kuongeza, nasema hivyo kwa utafiti wangu watu wote walioanza doz uwezo wao wa kufanya mapenzi uliongezeka..
Ova...
jibu ni hili omary, unaweza kupona kabisa kama ukipangilia vizuri diet yaho, na utakuwa vizuri zaidi kama ukianza mpaema mpangilio wa diet yako.
 
Tangu kuanza kutumika kwa Arv duniani hususani Sub Saharan Africa, maambukizi ya VVU/ Ukimwi yameongezeka sana kuliko kabla ya hapo. Unadhani ni kwa sababu gani!? Na kwa nini Africa tena Sub Saharan Africa!?

Dawa za kupunguza makali kwa wenye VVU, zina athari sana kwa watumiaji hususani watoto kwenye mifumo ya fahamu na akili. Inatupaswa tuamini na kukubali tu kwamba ni side effects tu za kawaida kama dawa nyingine!?

Njia ya kutoa dawa za kupunguza makali kwa wenye VVU Ukimwi na aina ya jamii inavyofundishwa jinsi ya kuishi nao, i.e. mara wasijulikane na wasinyanyapaliwe nk.ni njia ya hatari kisaikolojia kwa wale wazima. Maana yake ni kuwa, mwenye maambukizi analindwa na kuthaminiwa afya yake lakini yule mzima yuko katika hatari sana ya kuambukizwa . Kwa lugha nyingine mafundisho ya kuwalinda wenye VVU yanalenga kuongeza maambukizi mapya! Ww unalisemeaje hilo.

Nchi za ulaya na USA wanambinu nyingi za kupambana na kutimiza malengo yao ikiwemo biological weapons, chemical weapons, psychological weapons and etc. Kwa nini VVU na Ukimwi visiwe sehemu ya silaha hizo!?

Ukifuatilia vzr issue ya VVU Ukimwi na Arv, utaona kabisa, Arv na psychological treatment jamii inayopewa jinsi ya kuish na wenye VVU, ni tata na ni utaratibu hatari sana. Ingekuwa kama miaka ya 80's na early 90's ambapo dawa hazikuwepo, Ukimwi usingekuwepo. Tungeshuhudia na kuwapoteza ndugu zetu wengi kwa muda mfupi, lkn baada ya miaka michache wangeisha na wale waliokuwa wanabaki wangejulikana sababu ya hali zao.

Kitendo cha wenye VVU Ukimwi kutojulikana na kuishi kawaida tu ndiyo adui mkubwa wa janga la Ukimwi. Swala na kitendo cha kuwaficha ndani ya wazima na wakijulikana na kuwapa treatment tofauti kuitwa ni unyanyapaa ni psychological made up. Viliandaliwa makusudi, kwa sababu zamani walikuwa wanajulikana na Elimu yao ilikuwa kuwambia kuwa VVU ni hatari. Siku hizi ni vice versa.

Kwa nini pale mtu akiwaza, akisoma na kuzungumza yale yanayopinga taratibu za mzungu anavyotaka hata kama ni za uovu huchukuliwa tofauti na huonekani kukengeuka !?

Sent from my TECNO W1 using JamiiForums mobile app
 
Cd4 ni nini ? Zifikie ngapi ili uanze kutumia ARV ?

Sent using Jamii Forums mobile app

People with AIDS should start ART immediately. A diagnosis of AIDS is based on the following criteria: A CD4 count less than 200 cells/mm3. A low CD4 count is a sign that HIV has severely damaged the immune system.
nimenukuu wanavyosema hapo juu.
ila kuna option kama mtu amegundulika na maambukizi hayo anaweza pia akabadili aina diet mapema, pia akaanza kutumia Dietary supplement CD4 zikaongezeka, viral load ikashuka, ila hata itakaposoma 0 baada ya miezi 3-4, inabidi asiache kwanza diet yake mpaka itakapo timia miezi 6-8, na kisha baada ya hapo anaweza kutumia vyakula vingine anavyopenda ila aendelee kupima baada ya miezi mitatu kuona kama kuna mabadiliko.
na kama iwapo anaona mamabo ni mazuri, asisahau kuendeleza kanuni za lishe (diet) kama inavyoelezwq kwenye kitabu cha medical ministry & counseling on food and diet.afurahie maisha na asirudie makosa ya zamani ya kuruka ruka hovyo
 
1) Je, kipimo cha SD bioline na UniGold vinauwezo wa kuonesha maambukizi ya muda gani tangu virusi kuingia mwilini?
2) je ,mtu ambaye ni H. I. V negative anauwezo wa kumuambikiza mwenza wake??
3) Je, mtu anaweza kuonesha dalili za H I V kwa miezi 6,ila akifanyiwa vipimo anakuwa negative??
Naomba unisaidie kwanza hayo maswali mkuu.
 
1) Je, kipimo cha SD bioline na UniGold vinauwezo wa kuonesha maambukizi ya muda gani tangu virusi kuingia mwilini?
2) je ,mtu ambaye ni H. I. V negative anauwezo wa kumuambikiza mwenza wake??
3) Je, mtu anaweza kuonesha dalili za H I V kwa miezi 6,ila akifanyiwa vipimo anakuwa negative??
Naomba unisaidie kwanza hayo maswali mkuu.

SD BIOLINE HIV-1/2
Benefits
  • Highly sensitive even to IgM during early infection stage
  • Differentiated test result between HIV type I and II by clear band formation(3-lines)
  • Specimen : Serum, Plasma (10 μl), or Whole blood(20 μl)
  • 24 months at 1-30℃
Uni-Gold
Rapid HIV-1/2 Test Results in 10 Minutes
  • Earlier detection (IgM / IgG) for optimal disease management
  • CLIA-Waived (whole blood or finger stick)
  • Moderately Complex (serum or plasma)
  • One year expiration from date of manufacturing
Performance
  • Sensitivity: HIV-1:100%; HIV-2: 99.3%
  • Specificity: 99.7%
 
Habari,

Ningependa kwa anaetambua mtu anaweza akakaa na virusi vya ukimwi kwa muda gani kabla ya kujidhihilisha kama hajapimaa?

Dalili ipi kubwa atakuwa nayo ambayo inaonyesha wazi ana Upungufu wa kinga mwilini UKIMWI?
 
Habar ..!
Ningependa kwa anaetambua mtu anaweza akakaa na virusi vya ukimwi kwa mda gan kabra ya kujizihilisha kama hajapimaa??na dalili ipi kubwa atakuwa nayo ambayo inaonyesha wazi ana Upungufu wa kinga nwilinii??UKIMWIIIII..!

Kwa anaetabua please
 
Mkuu nenda kapime kwanza ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini so dalili yoyote inaweza ikawa sababu hata kipele kimoja kwenye mwili kama una wasiwasi nenda kapime.
 
Asante mkuu sema kwenye kupima hapo ni tabu nyingne
Mkuu ukimwi una dalili nyingi mno, muhimu ni kupima maana naweza kuandika baadhi ya dalili ukaanza kujiweka na mawazo hali ya kuwa huna virus, kujua afya yako ni bora hapa utatoka na presha tu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom