mbati nenga
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 265
- 341
Kwanza niweke wazi, Mimi ni mwanachama wa yanga na ni mnazi pia wa klabu hii. Nimeamua kuandika uzi huu ili kupata mtazamo wa watu mbalimbali ambao wanauelewa mpana kuhusiana na maswala ya soka na uwekezaji.
Kumekuwa na maneno mengi kutoka kwa watu wa simba na baadhi ya watu wa yanga ambao huwa wanasema klabu yanga iwaige Simba ili iweze kupata mafanikio kimataifa.
Sasa swali langu ni hiv, tunawaiga simba katika kipi? Je ni uwekezaji? Na kama uwekezaji simba imefanya uwekezaji mkubwa kiasi gani na kwa namna gani ili tuwaige? Na kama kuna namna nyingine pia inabid ifafanuliwe vizur.
Naomba kuwasilisha
Kumekuwa na maneno mengi kutoka kwa watu wa simba na baadhi ya watu wa yanga ambao huwa wanasema klabu yanga iwaige Simba ili iweze kupata mafanikio kimataifa.
Sasa swali langu ni hiv, tunawaiga simba katika kipi? Je ni uwekezaji? Na kama uwekezaji simba imefanya uwekezaji mkubwa kiasi gani na kwa namna gani ili tuwaige? Na kama kuna namna nyingine pia inabid ifafanuliwe vizur.
Naomba kuwasilisha