jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
Habarini wananzengo,
Nimeshuhudia baadhi ya visa vya watu kuomba maji wakiwa hoi sana wengi wao ikiwa ni baada kupata ajali. Kuna jamaa alianguka kutoka kwenye mti akawa analia apewe maji lakini hakuna mtu aliyempa.
Mwengine aligongwa na gari akawa analia huku akisema"naombeni maji, majii tu" kuna mzee mmoja alikataa kata kata jamaa asipewe hayo maji badala yake akimbizwe hospitalini na sikua na nafasi ya kumuuliza huyo mzee ni kwanini jamaa asipewe maji.
Naombeni kuuliza inamaanisha nini mtu anapoomba maji akiwa kwenye hali kama hiyo 👆 na ukimpa maji kitamtokea nini?
Nimeshuhudia baadhi ya visa vya watu kuomba maji wakiwa hoi sana wengi wao ikiwa ni baada kupata ajali. Kuna jamaa alianguka kutoka kwenye mti akawa analia apewe maji lakini hakuna mtu aliyempa.
Mwengine aligongwa na gari akawa analia huku akisema"naombeni maji, majii tu" kuna mzee mmoja alikataa kata kata jamaa asipewe hayo maji badala yake akimbizwe hospitalini na sikua na nafasi ya kumuuliza huyo mzee ni kwanini jamaa asipewe maji.
Naombeni kuuliza inamaanisha nini mtu anapoomba maji akiwa kwenye hali kama hiyo 👆 na ukimpa maji kitamtokea nini?