hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Njia za Mungu hazichunguziki. Hakuna linaloshindikana kwake yeye aaminiye kua Mungu yupo na Yesu Kristo ni Bwana na Mwokozi. Ukimkiri kwa kinywa chako hata ukimwi hautakaa ndani yako.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums