Mtu ana malori zaidi ya 2. Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi?

Mkuu pole kwa yote..ila tambua serikali ya sasa inataka kumuona mfanyabiashara akivuja jasho la damu.
Unachotakiwa kufanya ni kuwa na EFD machine kila gari. Na utoe risiti pale unapokuwa umepata malipo yako. Barabarani kuwa na karatasi ya mzigo au kama ulipotoka umenunua huo mzigo cash basi tembea na risiti. Lakini ukweli ni kwa changamoto ni kubwa saaana. Kuna jamaa wa mbao walimkamata eti TRA wanakomaa alipe faini ya 4.5 M asee we acha tu.
 
Serikali sasa hiv inalazimisha watu wa maroli nao wawe wana tfd machine kwa ajili ya kukata risiti ...

Je, hii inawezekana vipi na kama mtu ana maroli zaid ya 2
Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi? Na unaanzaje kumkatia mtu risit ilihali mzigo bado haujafika si ndo mwanzo wa kutiana hasara..

Serikali inajiangalia yenyewe bil kujali wananchi wapo kwenye hali huu ni uonevu wa hali ya juu
Na wewe ni EFD sio TFDA, wala FDA!!
 
Serikali sasa hiv inalazimisha watu wa maroli nao wawe wana tfd machine kwa ajili ya kukata risiti ...

Je, hii inawezekana vipi na kama mtu ana maroli zaid ya 2
Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi? Na unaanzaje kumkatia mtu risit ilihali mzigo bado haujafika si ndo mwanzo wa kutiana hasara..

Serikali inajiangalia yenyewe bil kujali wananchi wapo kwenye hali huu ni uonevu wa hali ya juu
Tfda tena?
 
Sasa kuna kampuni inayo malori 72,kila lorry liwe EFD machine yake,?mashine moja inauzwa 800,000 yesu wangu.!!!!???
EFD inaendana na usajili wa vat
Kama una vat 100 ,itabidi uwe na efd 100
Inawezwkana kabisa ukawa na malori 72 kwa vat registration moja hivyo basi Efd ni moja tu hapo
 
Back
Top Bottom