antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,114
Wanavaa kiunoni 'ndonga' za kununua dukani !wakati mwingine unawezachukuliwa demu na msagaji na demu akakusahau jiulize msagaji ana nchi ngapi?
Wanavaa kiunoni 'ndonga' za kununua dukani !wakati mwingine unawezachukuliwa demu na msagaji na demu akakusahau jiulize msagaji ana nchi ngapi?
Sio wote hao ni waksua lakini uswahilini ni fingerprint tuuWanavaa kiunoni 'ndonga' za kununua dukani !
Oya skia kidaka utamu cha mwanamke hakizidi inch 3 sa wewe una na usheeeh juu....
Sio wote isipokua wahuni tuu kama ni hivo ndoa zoote zilizopo na kudumu zingekua za wenye mitarimbo lakini sivyoo....kama ni hivo kwanini wanalalamikia udogo wa uume? na kwanini wanaleta dharau?
Usiombe hali hio akaipata mwanao ndo utajua vipo au watu wanajitungia ili kufurahisha watuHivi kuna watu wana vibamia kweli??
Hivi yale maneno wanayosema juu ya mlegea hivi ni kweli? Huu mti unaitwa Kigelia AfricanaHili ni tatizo kubwa, ila naona watu wanalichukulia simple japo hata hao wataotaka kukusadia huenda wengi wao watataka kukuingiza kingi tu!
Fanya hivi mkuu, tafuta mti unaitwa mgegea nasikia ipo mingi sana njia ya Dodoma -Kondoa-Babati, ukishaupata huo mti nitafute nikuelekeze kitu ukiwa huko huko naamini utapona na ukipona unikumbuke kaka
Kaka angu nakutumia maelekezo na jina la dawa PM... utaenda tu utafute mwenyeweKama kuna mtu ambaye amewahi kutibiwa tatizo la maumbile madogo (kibamia) na akapona anisadie pia na mimi nipate tiba.
Tafadhali kama kuna mwenye uhakika na sehemu panapotolewa tiba ya uhakika anielekeze nami nikatibiwe kwa asiye na uhakika anaweza kuniweka wazi pia ili kuniepusha na gharama.
Hiyo nchi 3.7 uneipima vip maana unaweza jihisi unakibamia kumbe wewe mwenyewe unakosea namna ya upimaji wakoIkisimama urefu ni nchi 3.7+
Kipenyo ndio bado sijui namna ya kupima bu ni nyembamba somehow
Kuhusu kukuza kutumia huu mti sijui, ila najua ni tiba wa magonjwa mengi. Ni kweli jina lake ni Kigelia.Hivi yale maneno wanayosema juu ya mlegea hivi ni kweli? Huu mti unaitwa Kigelia Africana
....na ulimiSio wote hao ni waksua lakini uswahilini ni fingerprint tuu