Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kama mtu huyo ni mtu considarate,ana utu,hajasahau alikotoka na zaidi ni mtu mwenye kusikiliza ushauri anaopewa na wasaidizi wake.
Mtu wa aina hiyo na ambae yeye kwa miaka mingi karibu kila kitu anagharamiwa na serikali kuanzia nyumba ya kuishi,chakula,mavazi,walinzi,wafanyakazi wa nyumbani,n.k anaweza kuwaona hamjitumi,mnadeka,wavivu,walalamishi,n.k lakini anasahau hata yeye aliacha kazi na kuingia kwenye siasa kutafuta masilahi bora ila kwakuwa ameshapata,basi nyinyi wengine shauri yenu.Ubinafsi!
Kuna mambo yanayohusu maisha ya watu ambayo yanapaswa kuwekwa wazi kisheria na kikatiba ambayo yatamfunga kila mwenye mamlaka kuyatekeleza na katiba au sheria inapaswa kutoa adhabu kali iwapo muhisika atayapuuza bila kujali nafasi yake maana sisi binadamu ni wabinafsi sana na zaidi tunasahau tulikotoka.
Nakumbuka tulisoma katika historia kuwa tulimkataa na kumlaani mkoloni kwa mambo mengi mojawapo likiwa ni kuwalipa wafanyakazi(watu weusi) ujira mdogo na kutowapa stahiki zao zingine kumbe na sisi tumerithi yale yale!!
Mtu wa aina hiyo na ambae yeye kwa miaka mingi karibu kila kitu anagharamiwa na serikali kuanzia nyumba ya kuishi,chakula,mavazi,walinzi,wafanyakazi wa nyumbani,n.k anaweza kuwaona hamjitumi,mnadeka,wavivu,walalamishi,n.k lakini anasahau hata yeye aliacha kazi na kuingia kwenye siasa kutafuta masilahi bora ila kwakuwa ameshapata,basi nyinyi wengine shauri yenu.Ubinafsi!
Kuna mambo yanayohusu maisha ya watu ambayo yanapaswa kuwekwa wazi kisheria na kikatiba ambayo yatamfunga kila mwenye mamlaka kuyatekeleza na katiba au sheria inapaswa kutoa adhabu kali iwapo muhisika atayapuuza bila kujali nafasi yake maana sisi binadamu ni wabinafsi sana na zaidi tunasahau tulikotoka.
Nakumbuka tulisoma katika historia kuwa tulimkataa na kumlaani mkoloni kwa mambo mengi mojawapo likiwa ni kuwalipa wafanyakazi(watu weusi) ujira mdogo na kutowapa stahiki zao zingine kumbe na sisi tumerithi yale yale!!