Mtu akifa, roho yake huenda wapi?

jisanja

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
1,076
684
Wasaalam wanajamvi,
sina maana ya kutaka kuchimbua imani za watu na nisingependa hata katika majadiliano watu waanze kukashifu dini za wengine.....
wengi wetu tunaamni kua mwili, nafsi na roho n vitu tofauti....
mtu akifa inakua na maana kua mwili umejitenga na roho...je roho hii iliyojitenga na mwili hua inaenda wap?
 
Roho haifi mwili ndio hufa so ukifa roho inabadilishiwa housing nyingine/mwili kisha inaendelea kula bata wakat wewe unaliwa na minyoo ndani ya gheto la ardhini.
Mkuu umevuta bangi nini,
Mwili ndio unakufa lakini wewe(roho) haufi, mtoa mada anataka kujua mwili ukifa wewe unaenda wapi?
 
Hujui ile theory ya mtu akifa hapa anazaliwa kwingine?
NB.Bangi natumia sana hasa ukitia ndimu na tui la nazi kachumbali pembeni
Mkuu hii ki2 ya roho kuhamia mwili mwingine ni faith ya ma budha huko na hindu (kwa ujumla buthisms wote) ila kwa dini nyengine not applicable
 
Ukifika kaburini.
Unarudishia roho yako.kama wa motoni adhabu inaanza pale pale,,
Na kama wa peponi raha zinaanza palepale.
Hyo imani ya uislam.
 
Wasaalam wanajamvi,
sina maana ya kutaka kuchimbua imani za watu na nisingependa hata katika majadiliano watu waanze kukashifu dini za wengine.....
wengi wetu tunaamni kua mwili, nafsi na roho n vitu tofauti....
mtu akifa inakua na maana kua mwili umejitenga na roho...je roho hii iliyojitenga na mwili hua inaenda wap?

Kwani huko ulikosikia au kusoma kuwa kuna kutengana wanasemaje kuhusu destinations za mwili na roho?
 
Wasaalam wanajamvi,
sina maana ya kutaka kuchimbua imani za watu na nisingependa hata katika majadiliano watu waanze kukashifu dini za wengine.....
wengi wetu tunaamni kua mwili, nafsi na roho n vitu tofauti....
mtu akifa inakua na maana kua mwili umejitenga na roho...je roho hii iliyojitenga na mwili hua inaenda wap?
Mkuu, suala la kwanza na muhimu kujiuliza na kujibu kabla ya kupata ufumbuzi wa swali lako ni je, unaamini katika roho? je mtu akifa si ndo mwisho wa kila kitu? kama unaamini kuna roho na maisha ya baadae sasa ni namna gani ulimwengu umedhibitisha uwepo wa roho? je roho ni nini na inakaa sehemu gani mwilini na ina kazi gani katika mwili? je wanyama wengine kama paka, ng'ombe, kuku nk wana roho pia?
 
una maana
Ukifika kaburini.
Unarudishia roho yako.kama wa motoni adhabu inaanza pale pale,,
Na kama wa peponi raha zinaanza palepale.
Hyo imani ya uislam.

una maana jehanam ni kaburi ulilozikwa? na vipi wanaosema kua kuna siku moja ya hukumu.....ambapo wote tutahukumiwa!!
 
una maana


una maana jehanam ni kaburi ulilozikwa? na vipi wanaosema kua kuna siku moja ya hukumu.....ambapo wote tutahukumiwa!!
pale ni mwanzo tu.na kaburi linabana na adhabu zipo.na kiama kipo.parapanda italia na wooooote tutafufuliwa kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho,mbingu zitakuwa milango tutakwenda kwa mungu kuhesabiwa na kulipwa.
 
Mwili- Kaburini
Roho- Mbinguni/ motoni
Nafsi inaendaga Wapi? Maana mwanadamu ana nafsi, Roho na mwili


kwa jinsi nilivosoma soma kwenye vijarida....mwili n hii cover ya nje...nafsi n uhai/pumzi.....roho n nguvu ya ndan kabisa inayotuunganisha na Mwenyezi Mungu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom