Mpite tyuuuuTusio na geti tunakomenti pia?
Ndugu zangu tusiruhusu hii pumzi ya maisha itudanganye. Life is not a reversible reaction. Kama Mungu amekupa unafuu wa maisha, usiwe mkatili kwa wasio nacho maana yeye (Mungu) anaweza kumpa yeyote kwa wakati wowoteMimi tena ukishajieleza wewe nani, nakuuliza umefuata nini ?
Mimi naishi na mimea fulani ndani kwangu, masnitch ni wengi,ukikaa vibaya unaanza kutokea kwenye vyombo vya habari.Ndugu zangu tusiruhusu hii pumzi ya maisha itudanganye. Life is not a reversible reaction. Kama Mungu amekupa unafuu wa maisha, usiwe mkatili kwa wasio nacho maana yeye (Mungu) anaweza kumpa yeyote kwa wakati wowote
Hapo nimekuelewa mkuuMimi naishi na mimea fulani ndani kwangu, masnitch ni wengi,ukikaa vibaya unaanza kutokea kwenye vyombo vya habari...kuna jirani mmoja alishawahi kunichongea kwa mwenye nyumba eti kuna harufu,mpaka kuja kuliua soo miezi miwili na bado nikafukuzwa
Kwahiyo ulifundishwa kusema uongoNilifundishwa na baba yangu
mtu akija kumtafuta lazima nimdodose kwanza maswali ya kipelelezi...
Ahsante, nimekipata 🙏🏿Hapana sio ubinafsi isipokuwa muulizaji ataka kumjua aliekuja ni nani je anaweza kufungua na kuongea nae ktk stara aliyonayo au akaongeze stara ili aweze kumfungulia na kuongea. Mfano ni hivi anaebisha hodi ni mume alieko ndani ni mke anauliza wewe ni nani akijuwa kuwa ni mume atatakiwa aongeze stara kuliko ambavyo ingetakiwa kutoka kama anaepiga hodi ni jinsia sawa na alie ndani
Kwa mujibu wa maoni ya wachangiaji wa Uzi huu nimeelewa kwamba Kuna sababu za msingi kufanya hivyo...Kwa hiyo mchana hatupaswi kutaka kujua anayetugongoa ni nani??
Wewe endelea kujifariji amani amani uje tolewa koromelo.Tz Kuna Amani. Japo Kuna kipindi utekaji ulishamiri but we are back to normal.
Unamaanisha cannabis? Umetisha mkuu umenikumbusha anko wanguMimi naishi na mimea fulani ndani kwangu, masnitch ni wengi,ukikaa vibaya unaanza kutokea kwenye vyombo vya habari...kuna jirani mmoja alishawahi kunichongea kwa mwenye nyumba eti kuna harufu,mpaka kuja kuliua soo miezi miwili na bado nikafukuzwa