Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Cartbert nakufahamu muda sasa toka ukiwa Usukumani ulipo kuwa unahangaikia maisha ndugu na kwa hakika kwa upambanaji wako hatimaye ulipata pesa na leo ni mtu mwenye biashara zako nzuri na zinazo kuingizia riziki ikiwamo hotel yako ya Weruweru.

Pamoja na yote lipo jambo ambalo naanza kuhisi kama si linaenda kukufilisi basi litaenda kukufanya uwe mtu wa kujuta sana hapo baade nalo ni kutaka upambane na wanasiasa.

Kaka siasa na wafanya siasa zao huwa si watu wa kutabirika na mara nyingi huwa wote ni watu wa visasi na kinyongo.Mpambano wako na yule bwana mdogo Sabaya binafsi nahisi utakayeumia ni wewe na hii ni kwa sababu dogo ana watu nyumba wanaomtumia kukuumiza kisa ni USWAHIBA WAKO na MBOWE.

Kwa muktadha huo ustarajie kabisa Sabaya utamkalisha kwenye hilo zaidi ndiwe unayeenda kuumia!

CCM haikupendezwa na namna ulivyokuwa ukiisariti wakati ule mlipokaa chama na wafanyabiashara na kupanga mikakati ya kulichukua jimbo la Hai nawe kwa uswahiba wako na Mbowe ulikuwa ukivujisha MIKAKATI ile na mara moja walipo kugundua walikoma mara moja kukupa mwariko wa kujumuika nao na ndipo nawe uliamua pasi na siri kuonyesha uswahiba wako bila woga na Mbowe.

Sabaya ni kirusi mahsusi kilicholetwa Hai kwa ajili 'yenu' na usipokuwa makini utaishia kufirisika.

Nimekushauri japokuwa hatua ni uamuzi wako kupiga.

Achana na wanasiasa Cart..
Team sabaya mpo???
 
Cartbert nakufahamu muda sasa toka ukiwa Usukumani ulipo kuwa unahangaikia maisha ndugu na kwa hakika kwa upambanaji wako hatimaye ulipata pesa na leo ni mtu mwenye biashara zako nzuri na zinazo kuingizia riziki ikiwamo hotel yako ya Weruweru.

Pamoja na yote lipo jambo ambalo naanza kuhisi kama si linaenda kukufilisi basi litaenda kukufanya uwe mtu wa kujuta sana hapo baade nalo ni kutaka upambane na wanasiasa.

Kaka siasa na wafanya siasa zao huwa si watu wa kutabirika na mara nyingi huwa wote ni watu wa visasi na kinyongo.Mpambano wako na yule bwana mdogo Sabaya binafsi nahisi utakayeumia ni wewe na hii ni kwa sababu dogo ana watu nyumba wanaomtumia kukuumiza kisa ni USWAHIBA WAKO na MBOWE.

Kwa muktadha huo ustarajie kabisa Sabaya utamkalisha kwenye hilo zaidi ndiwe unayeenda kuumia!

CCM haikupendezwa na namna ulivyokuwa ukiisariti wakati ule mlipokaa chama na wafanyabiashara na kupanga mikakati ya kulichukua jimbo la Hai nawe kwa uswahiba wako na Mbowe ulikuwa ukivujisha MIKAKATI ile na mara moja walipo kugundua walikoma mara moja kukupa mwariko wa kujumuika nao na ndipo nawe uliamua pasi na siri kuonyesha uswahiba wako bila woga na Mbowe.

Sabaya ni kirusi mahsusi kilicholetwa Hai kwa ajili 'yenu' na usipokuwa makini utaishia kufirisika.

Nimekushauri japokuwa hatua ni uamuzi wako kupiga.

Achana na wanasiasa Cart..
Jamaa hii posting yako ya kipuudh sana
 
Cartbert nakufahamu muda sasa toka ukiwa Usukumani ulipo kuwa unahangaikia maisha ndugu na kwa hakika kwa upambanaji wako hatimaye ulipata pesa na leo ni mtu mwenye biashara zako nzuri na zinazo kuingizia riziki ikiwamo hotel yako ya Weruweru.

Pamoja na yote lipo jambo ambalo naanza kuhisi kama si linaenda kukufilisi basi litaenda kukufanya uwe mtu wa kujuta sana hapo baade nalo ni kutaka upambane na wanasiasa.

Kaka siasa na wafanya siasa zao huwa si watu wa kutabirika na mara nyingi huwa wote ni watu wa visasi na kinyongo.Mpambano wako na yule bwana mdogo Sabaya binafsi nahisi utakayeumia ni wewe na hii ni kwa sababu dogo ana watu nyumba wanaomtumia kukuumiza kisa ni USWAHIBA WAKO na MBOWE.

Kwa muktadha huo ustarajie kabisa Sabaya utamkalisha kwenye hilo zaidi ndiwe unayeenda kuumia!

CCM haikupendezwa na namna ulivyokuwa ukiisariti wakati ule mlipokaa chama na wafanyabiashara na kupanga mikakati ya kulichukua jimbo la Hai nawe kwa uswahiba wako na Mbowe ulikuwa ukivujisha MIKAKATI ile na mara moja walipo kugundua walikoma mara moja kukupa mwariko wa kujumuika nao na ndipo nawe uliamua pasi na siri kuonyesha uswahiba wako bila woga na Mbowe.

Sabaya ni kirusi mahsusi kilicholetwa Hai kwa ajili 'yenu' na usipokuwa makini utaishia kufirisika.

Nimekushauri japokuwa hatua ni uamuzi wako kupiga.

Achana na wanasiasa Cart..
Jamaa hii posting yako ya kipuudh sana
 
Back
Top Bottom