Shetani ana kazi sana. Watu wanakwepa lawama kwa kumsingizia yeye. Sema ukweli uishi kwa amani, kubeba mzigo muda wote huo ni torture ila pia ukimwambia mmeo ujue ndoa ndio imeisha hapo.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, naishi hapa Tanzania, mkoa naogopa kutaja. Nimeolewa na nimebahatika kuzaa watoto wawili katika ndoa yangu. Ila hapa siku za karibuni niliamua kuokoka na tumefundishwa kusema ukweli huko kanisani..
Sasa ukweli nilionao mimi ni kuhusu huyu mtoto wangu wa mwisho, sio wa mume wangu wa ndoa. Nilichepuka tu huko nje kwa ushawishi wa huyu jamaa maana nilijikuta nimevutiwa naye ghafla. Ila mimi kama mama najua ukweli huyu mtoto sio wa mume wangu, ila mume wangu anajua ni wake na pia hata yule baba wa mtoto naye hajui kama ni wake hii ni siri ambayo nimekuwa nayo toka muda sana..
Sasa kila nikienda kanisani nafsi inanisuta hata amani ya kusali inakosa najiuliza nimwambie ukweli mume wangu au niendelee kunyamaza. Kuhusu kunipenda mume wangu ananipenda na anipa kila kitu hadi gari alininunulia ni shetani tu alinipitia na kujikuta nafanya tukio hilo..
Naombeni ushauri ndugu zangu nifanyeje kuhusu hili
View attachment 861310
Kwa niaba.
Nakushauri uwaeleze wote ukweli,mumeo,huyo uliyechepuka nae,ndugu zako Na viongozi wako wa kabisa,hapo ndipo utakuwa huruMimi ni mwanamke mwenye miaka 33, naishi hapa Tanzania, mkoa naogopa kutaja. Nimeolewa na nimebahatika kuzaa watoto wawili katika ndoa yangu. Ila hapa siku za karibuni niliamua kuokoka na tumefundishwa kusema ukweli huko kanisani..
Sasa ukweli nilionao mimi ni kuhusu huyu mtoto wangu wa mwisho, sio wa mume wangu wa ndoa. Nilichepuka tu huko nje kwa ushawishi wa huyu jamaa maana nilijikuta nimevutiwa naye ghafla. Ila mimi kama mama najua ukweli huyu mtoto sio wa mume wangu, ila mume wangu anajua ni wake na pia hata yule baba wa mtoto naye hajui kama ni wake hii ni siri ambayo nimekuwa nayo toka muda sana..
Sasa kila nikienda kanisani nafsi inanisuta hata amani ya kusali inakosa najiuliza nimwambie ukweli mume wangu au niendelee kunyamaza. Kuhusu kunipenda mume wangu ananipenda na anipa kila kitu hadi gari alininunulia ni shetani tu alinipitia na kujikuta nafanya tukio hilo..
Naombeni ushauri ndugu zangu nifanyeje kuhusu hili
View attachment 861310
Kwa niaba.
Huwa tunakurupuka tu. Hatusomi na kutafakariForm four ulipita kweli? Soma habari mpaka mwisho...nilishasema kwa niaba...au mpka niweke na sauti?
Dah miaka 33 nae anaita kuwa na adabu kijana as if yeye ndo monitor humu ndani. Binti wewe humu ndo teenager. Wote tumekubuhu hata ndefu tunanyolea chupaForm four ulipita kweli? Soma habari mpaka mwisho...nilishasema kwa niaba...au mpka niweke na sauti? Uwe na adabu kijana
Do u smoke?Dah miaka 33 nae anaita kuwa na adabu kijana as if yeye ndo monitor humu ndani. Binti wewe humu ndo teenager. Wote tumekubuhu hata ndefu tunanyolea chupa
Mkiachiwa mnajiweza sasa au kujishaua tu?Mm namwambia ukweli habari za kike atuachie wenyewe
Asante kwa kujichangiawe ni punga unatafuta bahasha au vp mbona hueleweki male or female